YEYE
JF-Expert Member
- Nov 12, 2011
- 437
- 72
Hajui atendalo, angejua kuwa kupona kwake kuna mkono wa JF angeishukuru na kuichangia mara dufu!
Jf ndio inayofichua maovu ya nchi hii na ndio kisima cha hekima kwa wanasia machipuko, na zaidi jf ndio iliyofichua njama za jaribio la yeye kuuawa na kila aina ya hila dhidi yake lakini leo anaiona si chochote?
Aje ajiunge huko tumpige msasa huyo!
JF ndo ilikuwa inamtibu?