Msameheni wadau njaa inamsumbua yule, si yeye ndio alikua analia lia kama mtoto mdogo kwamba mafisadi wa chama chake kwa kushirikia na TISS wanataka kumuua? rafik zangu wazaramo wanamsemo "vilongwa mbali vitenda mbali", leo wamempa cheo (uwaziri kamili) kalizikaaaaa, mwacheni b4 2015 atalia tena!!!! huwezi kulala na adui hakakuacha salama.
Hivi na yule mnafiki mwenzie SITTA yupo? coz now days simsikii sikii, yeye gazeti likimwandika tofauti na anavyotaka utamsikia limenunuliwa na mafisadi!! mpaka JF imenunuliwa na mafisadi? Lol