shenzi...
Nina kumbuka mkuu wewe ulikuwa mmoja ya walioipinga ile ripoti yangu!
MUNGU ni mwema,ipo siku wabaya wake watajulikana
Sasa Magamba Wanataka Kuuwa WATU Woote wenye akili na uelewa!! Wanataka Nani aongoze Hii Nchi? Wanataka watu Design ya Lusinde? Duh Huruma hadi Aibu Kwa Taifa!!
Nimetokwa machozi nilipoona picha ya Mh Mwakyembe gazeti la mwananchi ya leo akizungumza na Sitta akiwa bado hosipitalini. Mwli wake umekuwa kama nyoka. Kama ni watu walimpa sumu ili watu wapate madaraka walaaniwe
POLONIUM-210 not possible
Ni kweli kabisa halafu wanajifanya wancha Mungu na kwenda makanisani kusali nakuchangia fedha. Mwakyembe na Mwandosya watakufa Mungu akiamua kazi yao hapa duniani imekwisha na nyie wauaji mtaenda wapi ?Ivi hao waliompa sumu wanadhani wataishi daima?
Wote tutauonja umauti!
Ole wenu mkifika mbele ya mola sijui mtajibu nini juu ya huu ufukunyuku mlioufanya