watu wanagonga glasi kwa hali ya mwakyembe..na sasa wameamua kupita na kusafisha majina yao kupitia nyumba za ibada........
Hizo propaganda zenu hazitafanya kitu tunasonga mbele.Lowasa mbaya sana.
huyu alikuwa na kiherehere sana
Hizo propaganda zenu hazitafanya kitu tunasonga mbele.
Watu wa CCM ni wauaji kabisa na sisi huku Mbeya hatuwataki kabisa.
Mimi nakujua kwa komenti zako.hunijui sikujui ......wala usifikiri mimi ni sawa na wewe hapo
hata sisi wa huku zenji hatuwataki kabisa.........sema tu wamekioa chama chetu!Watu wa CCM ni wauaji kabisa na sisi huku Mbeya hatuwataki kabisa.
wee kitoweo unasemaje?
una evidence yoyote kwamba ni CCM ndio waliofanya hayo mambo...? watu mbeya si mmechagua galasa liwe mbunge wenu ati SUGU seriously... kawasahau as if mmemchagua aende bungeni kugombana na ruge
wakuu tuchange tumpeleke nigeria kwa t b joshua
Hizo propaganda zenu hazitafanya kitu tunasonga mbele.