Mbugi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,488
- 258
Mola atapambana na watesi wake!
Siasa za kwetu ni exeptional (hamna tena) sizani kama nchi zilizoendelea (civilized) zinatufikia? sisi ni siasa kwelikweli.
Mola atapambana na watesi wake!
Nimetokwa machozi nilipoona picha ya Mh Mwakyembe gazeti la mwananchi ya leo akizungumza na Sitta akiwa bado hosipitalini. Mwli wake umekuwa kama nyoka. Kama ni watu walimpa sumu ili watu wapate madaraka walaaniwe
Picha kubwa: https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=41762&d=1321869350
UPDATE:
Jan 03, 2012
Busara zitumike katika kulihukumu hili. Na adhabu sahihi itolewe. Ila jazba na ushabiki usiwepo. Sikila apigiwae kelele za mwivi, ameiba kweli. Inabidi kumakinika, kabla ya kunyooshea watu vidole. Kila mwenye ushahidi, auweke hadharani. Wajerumani wana msemo unasema, sauti ya watu, ni sauti ya mungu.