karekwachuza
JF-Expert Member
- Dec 23, 2013
- 999
- 335
Yaani wewe mwenyewe umekosea kwa kumfananisha huyo mburula mwakyembe na mzee warioba,mwakyembe hana kumbu kumbu na kitabu alichokiandika yeye mwenyewe,e huy ni dr.kweli au ni wale vihiyo???
Sijui inakuaje tu naona mkuu ulichosema kama kina ukweli flani hivi kwamba ukiipenda ccm taaluma yako na akili yako weka kapuni. Kuna siku watakana hata majina yao hawa.Shule za kudesa. Hakumbuki hata alichoandika maskini. Ukiipenda ccm akili uache kwenu. Sasa ya nini kutwa dr angali alikopi na kupesti?
Nini faida ya upinzani kama haujapinga kila kitu cha walio madarakani?
Hapo ndo umejibu hoja sio..hongera sana..Umelaaniwa wewe na UKOO WAKO
Umesoma hicho kitabu..!?Kwa nini? Kusema alivyo fundishwa sio sahihi, au alivyo sema Lissu anatumia sentensi badala kusoma para nzima.. Mimi naona tuwaachie wenyewe wana sheria na mwalimu wao. Manake kuna Prof Shevji kanukuliwa na mwl Mwakyembe kuhusu nukuu ya wakili Lissu.
Acha unafki wewe..ingia utube tafuta semina ya mzee moyo na akina nahodha na jussa ndo utajua nini unatetea..mnafki anawekwa daraja la chini kabisa la moto..Nini faida ya upinzani kama haujapinga kila kitu cha walio madarakani?
Ni kweli kichaa haumbuliki.
Acha unafki wewe..ingia utube tafuta semina ya mzee moyo na akina nahodha na jussa ndo utajua nini unatetea..mnafki anawekwa daraja la chini kabisa la moto..