Umetaja Wagogo nimemkumbuka "rafiki" yangu Le Mutuz. Mkuu Sikonge inamaana huwezi mpatia Le mutuz akili zako akushikie japo kidogo?Tundu Lissu kama Mnyaturu, sina utani naye na hivyo siwezi kusema kitu kwake.
Ila Mwakyembe na mimi ni damu damu kumtania. Hapo wewe fikiri Tumbo lililomshusha Mwakyembe. Huyu Mama yake kama kweli yupo hai na alisoma kidogo, sidhani kama atakuwa anamsifu Mwanaye kwa sasa. Kyela kaliza watu wengi sana kwa ahadi na wengine hadi wakapoteza kazi kwa kuwaahidi kuwanunulia hadi magari. Mzee mmoja alipewa hadi makaratasi aweke sahihi kuwa gari linakuja..... hakukuwa na gari na wakamfukuza kazi. Aliuguwa Mzee wa watu na akaja mbio kwa Mpinzani wake kuomba Msaada na Msamaha.
Mwakyembe na usomi wake wote, uwezo wake Mkubwa wa kisomi, kakabidhi akili zake kwa Ndungay. Unajua madhara ya kumpa akili zako Mgogo? Wagogo akili pungufu sana na watakachofanya ni kujaza Pumba (Mhumba) ili uwe kama wao. Ila mwisho wa siku, inabidi uwe umebarikiwa na Mama yako kukubali akili zako zishikwe na Lusinde Kudadadeki.
Mwakembe kama kweli ni jasiri ajaribu kutangaza nia ya kugombea urais,ajue kwamba safari hii hawatafanya kosa
Naamini Lissu ni hatari jwa wezi na waongo!!!
Sasa Mwakyembe anataka aseme maneno yale aliandikiwa na mtu na si yake?
Au Lissu alijitungia?
Nadhani Mh. Dr Mwakyembe aachane na siasa hizi za uchafu alinde heshima yake ambayo katika ccm kidogo bado tunamwona ni mtu wa maana. Akiendeleza ubishi usio na hoja kama huu, ataishusha heshima aliyonayo.
Lissu, endelea kamanda. Wewe ni jasiri maana watu kibao wameiomba hi hati hawajaoneshwa, ila Mnyika alipolianzisha umetufundisha mengi ambayo hayamo kwenye vitabu shuleni, mwishoni wakathubutu kuleta walau fake!!!
In that case, Nyerere wa western educated and became a communist but his communism was church based, so it was acceptable by church and never once criticized by any church like the so called eastern communism, could it be the reason of his beatification?
Remember, I have opposed Nyerere since 1967 (Azimio la Arusha) to date, but I was a TANU Youth League cadre and a member of CCM since its inception. The parties he was a chairman and leader.
Umeona eh! Kazi kweli kweli!mwakyembe,,,, ile sumu inamuathiri kwel mzee wa wa2
duh! We nawe umechoka mbaya. Mwakyembe hakujibu hoja za Lisu na iku siku ataambuka zaidi. Ile sumu haikuharibu ngozi yake. Iliharibu ubongo.Tundu Lissu ni mpotoshaji mkubwa sana na ni mtu hatari sana usalama, umoja na mshikamano wa nchi yetu! Ni mtu asiye na heshima na adabu kwa wakubwa zake!
Msije mkashangaa akimtukana baba yake hadharani kisa eti kadigrii kake ka sheria!
Ndio maana siku zote nakuita wewe ni Ajuza kaa pembeni waachie vijana tuondolee ugoro hapa
In that case, Nyerere was western educated and became a communist but his communism was church based, so it was acceptable by church and never once criticized by any church like the so called eastern communism, could it be the reason of his beatification?
Remember, I have opposed Nyerere since 1967 (Azimio la Arusha) to date, but I was a TANU Youth League cadre and a member of CCM since its inception. The parties he was a chairman and leader.
duh! We nawe umechoka mbaya. Mwakyembe hakujibu hoja za Lisu na iku siku ataambuka zaidi. Ile sumu haikuharibu ngozi yake. Iliharibu ubongo.
Ni huyu mwakyembe alieshindwa akasaidiana na Sita kuwacha wezi wa Richimond na kutubebesha wananchi gharama za umeme.hana hata huruma na wananchi mtu huyu je dactari kweli na alisoma wapi chuo kibovu hivi
Ni huyu mwakyembe alieshindwa akasaidiana na Sita kuwacha wezi wa Richimond na kutubebesha wananchi gharama za umeme.hana hata huruma na wananchi mtu huyu je dactari kweli na alisoma wapi chuo kibovu hivi
Mwakembe kama kweli ni jasiri ajaribu kutangaza nia ya kugombea urais,ajue kwamba safari hii hawatafanya kosa
Mwakyembe ndiye ana matatizo ya kitaaluma, na huenda hata hajui alichoandika. Ingawa sikubaliani kabisa na Lissu jinsi anavyo-characterize mambo mengine, ninajua maana ya taaluma kuwa kuna views nyingi, na mara zote siwezi kusema aliye na view tofauti na yangu hastahili digrii aliyo nayo; ninaweza kuquestion kabisa credibility ya chuo alichapatia digrii hizo lakini siyo kuwa anyanganywe digrii hizo.
Iwapo Lissu hastahili digirii hiyo, ambayo imemfanya ashinde kesi nyingi sana mahakamani, basi waliomfundisha na kumpa digrii hiyo ndio sifuri kabisa, wanatakiwa kwanza wafutiwe digrii zao ndipo tuanze kuangalia digrii za wanafunzi wao.