Mwakyembe aigeuka rasmi bodi Bandari, kuivunja

Mwakyembe aigeuka rasmi bodi Bandari, kuivunja

tusiongee jumla jumla! Nimesema tuhuma nyingi ni mbwembwe na za kisanii, but nimeweka issue za Matema beach rest house 500m za mini? ECTN contract hadi kufoji minutes za kikao, nimesema Kuna ICD tazara, nimesema Kuna Sukita deal, Kuna ICT deals mamilioni,etc, hamjibu munatukana na kusema tu amefanikiwa!

Fafanua? amelipwaje mwakyembe?
Kwa kwanini unasema hizo ni deal? to you what is deal and what is not deal? Mwakyembe amefoji vipi minute za kikao?Usilete umbea leta ushahidi halafu tuujadili hapa, tena ushahidi wa vote ulivyovisema.
 
asante, sasa anatimuaje wanne bila ya majina, kweli kila kitu kinaendeshwa kiusanii

ndio style mpya ya utawala na wadau wanasema " Kwa mkakati wa BIG RESULTS NOW " BRN " ambao Transport sector ni mmoja wa mhimili mkuu, Mwakyembe hangetakiwa aivuruge tena TPA kwa wakati huu . Wadau tulimshtukia mapema sana style yake ya ufanyaji kazi ambayo kwa hakika imekuwa na walakini mkubwa kwenye the entire maritime transport sector."
 
Uombewe maana hujui utendalo. Na we kama hazikuumi ama kukuhusu, povu la mini? Kaa pembeni wasome wenye kujua ulipo uchumi wa nchi. Ninashiriki hivyo vikao na ujue sitoacha kusema japo KIPANDE NA WAZIRI WANANIPENDELEA KULIKO WENZANGU, MEZA WEMBE WEEE MAANA MIMI NINGEKUA MBINAFSI NISINGESEMA MAAMA NAPATA ULAJI KISHENZI. WATU WAMEENDA BAGAMOYO KIKAO CHA SIKU 2 ALHAMISI NA IJUMAA ULAJI POSHO YA SIKU SITA

Pole sana!! Cement itaziba wezi!! Mimi utashangaa nipo siku zote! Nenda kasome! We umeniona ktk suala la TPA tu maana hujui mambo! Wanaojua wanatafakari kwanini nimekomaa!! Wewe na wenzako munapapasa mgongo wa tembo na kusema "ukuta huu mkubwa sana" hadi mutakapokutana na meno ama mkia!

Ningekua mwizi nisingetangaza hadharani na pesa nimeshapeleka kunakohusika,we subiri joto ya jiwe ujieleze mulivyolipa malipo hewa.

wewe Tina una umri gani?? nafikiria tu uwezo wako wa kupembua mambo! Unafikiri kila anaepost hapa ni wa TPA na ana self interest na hayo makitu?? Punguza munkari ndugu

Nyie endeleeni kuiba/kula kodi zetu tu ... siku zenu zinahesabika
 
Mpaka sasa pamoja na serikali kuendesha workshop ya BIG RESULTS NOW kwa gharama kubwa kwenye upande wa Transport Lab anakosimamia Mwakyembe hakuna kilichofanyika. Hata kule tu kuwaita wadau husika kuweka mkakati wa kwenda mbele hakuna. Kwenye BRN imewekwa bayana kuwa ifikapo 2015 bandari ingepata msukumo wa haulage by Rail kwa kufikisha 1.5mts badala ya 200,000mt ya sasa. Shipping lines, Bandari na Railage zinakwenda sambamba.Hivi kwa mtizamo wa biashara tena ya kimataifa( international trade ) ni sahihi kweli waziri amteue mjumbe wa baraza la wafanyakazi aingie kwenye BODI!! Nadhani waziri ajiulize sababu zilizopelekea mashirika mengi ya umma yakafa!! Hakuna sanaa kwenye biashara!Waziri anamweka mkuu wa mkoa wa Mtwara kwenye bodi. Kama ni hivyo angemteua pia mkuu wa mkoa wa Tanga, Mwanza na Kigoma kwa kuwa kuna bandari pia! Ni vema kukafanyika " vetting " wakapatikana watu makini kwenye biashara husika kabla ya Waziri kutangaza uteuzi wa wajumbe wa Bodi!
 
wewe Tina una umri gani?? nafikiria tu uwezo wako wa kupembua mambo! Unafikiri kila anaepost hapa ni wa TPA na ana self interest na hayo makitu?? Punguza munkari ndugu

Nyie endeleeni kuiba/kula kodi zetu tu ... siku zenu zinahesabika

si lazima uwe wewe, ni unaowatetea. ILA umri wangu kama Wako.
 
si lazima uwe wewe, ni unaowatetea. ILA umri wangu kama Wako.
Baadhi ya mambo unayoyasema yanaukweli, ila
Kwa povu hili linavyo kutoka best naona kama Mwakyembe amekushika baya. Vumilia tu, tafuta na vyanzo vingine vya kipato.
 
.... Tina ..........kuna kitu kinaitwa "an inconvenient truth?".........wengi wetu hii kitu inatupa shida sana......
 
Tina vita yako imemlenga Dr Mwakyembe, kuna nini hapo???
 
Last edited by a moderator:
Mwakyembe pimbi sana..sijui hata udokta alipewe vipi
 
Back
Top Bottom