Tina hongera sana kwa msimamo.......inawezekana kabisa kuna ukweli wa unachosimamia........jambo la msingi ni kumwaga yale unayojua...na kuondoa anydoubt zinazofanya watu wakuone ni wale wale waliobanwa na Mwakyembe......
tell us something that we do not know........kitu gani kinaendelea TPA.........
1.Tuanze kwenye hili la kuajiri.....upi ni utaratibu sahihi......kupitia Bodi au Civil Service Commission......kama utaratibu sahihi ni kupitia Bodi.....kwa nini Civil Service Commission watoe Baraka kwa Management ya TPA ku-proceed na ku-appoint nafasi zilizotangazwa na Bodi iko kwenye process........
2. pili, Procurement ya Kampuni kutoka Belgium........
Naomba ufafanuzi kwenye masuala hayo mawili hapo juu.......
tell us something that we do not know........kitu gani kinaendelea TPA.........
1.Tuanze kwenye hili la kuajiri.....upi ni utaratibu sahihi......kupitia Bodi au Civil Service Commission......kama utaratibu sahihi ni kupitia Bodi.....kwa nini Civil Service Commission watoe Baraka kwa Management ya TPA ku-proceed na ku-appoint nafasi zilizotangazwa na Bodi iko kwenye process........
2. pili, Procurement ya Kampuni kutoka Belgium........
Naomba ufafanuzi kwenye masuala hayo mawili hapo juu.......
Last edited by a moderator: