Tina
JF-Expert Member
- Jul 9, 2007
- 572
- 584
Agenda ya Mwakyembe ya kufanya mkutano na wafanyakazi wa TPA ni kutafuta kuungwa mkono pamoja na kuprempt kikao cha Bodi kilichopangwa kufanyika siku ya Jumanne ijayo agenda zake mojawapo ikiwa kujadili maswala ya maslahi ya wafanyakazi.
Kwa kawaida Bodi ndicho chombo cha kupitia mapendekezo yoyote yanayowasilishwa na management na kuyapitisha au kuyafanyia marekebisho kabla ya waziri kufahamishwa ikiwa ni kwa taarifa tu. Hapa inavyoonyesha waziri amekaa na management( Kipande) na kuamua kutangaza kuyapandisha maslahi ya wafanyakazi bila Bodi kuhusika!
Kwenye kikao katika kile kilichoonekana ni kutaka kukonga nyoyo za wafanyakazi Mwakyembe amewaambia eti kwa sasa kuna ufa kwenye Bodi yake aliyoiweka kwa mbwembe mwaka jana hivyo atatumia cement kali kuziba na kuahidi kumweka mwakilishi wa wafanyakazi ( DOWUTA ) kwenye bodi atakayoisuka umpya! Hapa Mwakyembe na Kipande wametengeneza sanaa ya kutafuta kuungwa mkono na wafanyakazi kwa kuwapa aina fulani ya rushwa kwa njia ya uboreshaji wa maslahi!
Waziri anataka kurudisha utendaji ndani ya TPA kama enzi za mashirika ya umma ambayo yalifilisika. Wakati ule mwenyekiti wa chama cha wafanyakazi alikuwa anaingizwa kwenye bodi nafasi ambayo anaweza hata kumkemea DG wake!!
tukio la kusikitisha ni Kipande kuanguka na tuliokuwapo tunamuombea Mungu apone na tunasema waliovumisha kuwa alikua na hirizi zilizomuelemea washindwe kwani ni uzushi kwa kuwa Madeni alipata tatizo la kawaida la kiafya na ni uchovu pamoja na maradhi
Kwa kawaida Bodi ndicho chombo cha kupitia mapendekezo yoyote yanayowasilishwa na management na kuyapitisha au kuyafanyia marekebisho kabla ya waziri kufahamishwa ikiwa ni kwa taarifa tu. Hapa inavyoonyesha waziri amekaa na management( Kipande) na kuamua kutangaza kuyapandisha maslahi ya wafanyakazi bila Bodi kuhusika!
Kwenye kikao katika kile kilichoonekana ni kutaka kukonga nyoyo za wafanyakazi Mwakyembe amewaambia eti kwa sasa kuna ufa kwenye Bodi yake aliyoiweka kwa mbwembe mwaka jana hivyo atatumia cement kali kuziba na kuahidi kumweka mwakilishi wa wafanyakazi ( DOWUTA ) kwenye bodi atakayoisuka umpya! Hapa Mwakyembe na Kipande wametengeneza sanaa ya kutafuta kuungwa mkono na wafanyakazi kwa kuwapa aina fulani ya rushwa kwa njia ya uboreshaji wa maslahi!
Waziri anataka kurudisha utendaji ndani ya TPA kama enzi za mashirika ya umma ambayo yalifilisika. Wakati ule mwenyekiti wa chama cha wafanyakazi alikuwa anaingizwa kwenye bodi nafasi ambayo anaweza hata kumkemea DG wake!!
tukio la kusikitisha ni Kipande kuanguka na tuliokuwapo tunamuombea Mungu apone na tunasema waliovumisha kuwa alikua na hirizi zilizomuelemea washindwe kwani ni uzushi kwa kuwa Madeni alipata tatizo la kawaida la kiafya na ni uchovu pamoja na maradhi