Mr Suggestion
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 605
- 317
Namwamini sana Mwenyekiti wa bodi toka akiwa Dean wa CEBE pale UDSM, Hizi tunazoongea ni mbwembwe tu,
Unaponda halafuùnaunga mkono? Pumb...u z.a.ko
Now you're talking!. Umetingishwa kidogo na wanaJF kwa sasa umeanza kufunguka. , it's the naked truth, you're acting as double agent kwa maslahi yako kwenye uwekezaji wa taifa kitu ambacho ni kosa kubwa sana.
Maelezo yako yanaonyesha UNAFIKI na UZANDIKI wa hali ya juu. Kama kweli unawapigania wajumbe wa bodi na taifa kama unavyodai, kwa nini huusemi ukweli kwenye bodi na kwenye uso wa Dr. Mwakyembe na badala yake uko very happy kupokea pesa za chini ya meza huku ukijifanya kwenye nyuso za kila kundi kuwa uko upande wao.
Maelezo yako yanaonekana wewe ni mwasilika wa mageuzi ndani ya bandari kwa sababu maelezo yako yanadhihilisha kuwa pesa unayopata kwa sasa ni ndogo ikilinganishwa na kipindi ambacho Dr. Mwakyembe na Kipande hawakuwepo ndiyo maana unadhani kuondoka kwa Kipande na Mwakyembe kutarejesha pesa uliyokuwa unapata mwanzoni.
I'm sorry, Unafiki ni kitu kibaya sana. Hii ni kansa kitaifa.
huyu Tina ni hamnazo kweli
ngoja kwanza cement ikupitie mie nitamwaga maji ili ishike vizuri
it seems haujitambui
Mtoa mada ni mnafiki aliyezidi kipomo! Kaniudhi sehemu Moja beyond explanation. Eti she is opposed to the idea of having a representative wa wafanyakazi kwenye bodi on flimsy grounds za mtu wa Memkwa! Go ahead wana JF, shake her a bit more! Viva Mwakyembe.
Jaman wangugu tuachen siasa let's focus on oher thinks kama hamna cha kuongea huku mana hizo ni habar za kidaku ss hii mada inachangia nn ktk maendeleo ya taifa!!!!!
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
ndugu Tina unaonaje kama tukiifunga kabisa Bandari yenyewe (tuache viboti vya kwenda unguja tu ) , maana zaidi ya kashfa ya meno ya Tembo sioni lingine !
Tufunge pesa za uchaguzi zitatoka wapi? Acha tufikishe malengo, tujenge rest house Matema Beach, tununue kiwanja cha CCM bado tuingie nayo ubia kujenga ICD! Tulete kampuni y Belgium kukusanya pesa tena! Duh!
c c bibikukuAgenda ya Mwakyembe ya kufanya mkutano na wafanyakazi wa TPA ni kutafuta kuungwa mkono pamoja na kuprempt kikao cha Bodi kilichopangwa kufanyika siku ya Jumanne ijayo agenda zake mojawapo ikiwa kujadili maswala ya maslahi ya wafanyakazi. Kwa kawaida Bodi ndicho chombo cha kupitia mapendekezo yoyote yanayowasilishwa na management na kuyapitisha au kuyafanyia marekebisho kabla ya waziri kufahamishwa ikiwa ni kwa taarifa tu. Hapa inavyoonyesha waziri amekaa na management( Kipande) na kuamua kutangaza kuyapandisha maslahi ya wafanyakazi bila Bodi kuhusika!!Kwenye kikao katika kile kilichoonekana ni kutaka kukonga nyoyo za wafanyakazi Mwakyembe amewaambia eti kwa sasa kuna ufa kwenye Bodi yake aliyoiweka kwa mbwembe mwaka jana hivyo atatumia cement kali kuziba na kuahidi kumweka mwakilishi wa wafanyakazi ( DOWUTA ) kwenye bodi atakayoisuka umpya!!!Hapa Mwakyembe na Kipande wametengeneza sanaa ya kutafuta kuungwa mkono na wafanyakazi kwa kuwapa aina fulani ya rushwa kwa njia ya uboreshaji wa maslahi!Waziri anataka kurudisha utendaji ndani ya Tpa kama enzi za mashirika ya umma ambayo yalifilisika. Wakati ule mwenyekiti wa chama cha wafanyakazi alikuwa anaingizwa kwenye bodi nafasi ambayo anaweza hata kumkemea DG wake!!
tukio la kusikitisha ni Kipande kuanguka na tuliokuwapo tunamuombea Mungu apone na tunasema waliovumisha kuwa alikua na hirizi zilizomuelemea washindwe kwani ni uzushi kwa kuwa Madeni alipata tatizo la kawaida la kiafya na ni uchovu pamoja na maradhi
namwamini sana mwenyekiti wa bodi toka akiwa dean wa cebe pale udsm, hizi tunazoongea ni mbwembwe tu,
mada haichangii kitu ktk maendeleo hadi tutakapoamka usingizini na kuacha kuimba nyimbo za "Kichina" na sarakasi za wanasiasa wanaojipanga kuendelea kuchota.. Kama tutajua Itakua too late maana sioni hata dalili ya kuamka. Kama majibu yenyewe ni haya hatutaki kuutumikisha ubongo tunasaidiwa kufikiri na Sanaa za kisiasa huku pesa zinayeyuka, master plan zimetupwa. Mungu Ibariki Tanzania maana hata mm nazungumza Kichina
Uombewe maana hujui utendalo. Na we kama hazikuumi ama kukuhusu, povu la mini? Kaa pembeni wasome wenye kujua ulipo uchumi wa nchi. Ninashiriki hivyo vikao na ujue sitoacha kusema japo KIPANDE NA WAZIRI WANANIPENDELEA KULIKO WENZANGU, MEZA WEMBE WEEE MAANA MIMI NINGEKUA MBINAFSI NISINGESEMA MAAMA NAPATA ULAJI KISHENZI. WATU WAMEENDA BAGAMOYO KIKAO CHA SIKU 2 ALHAMISI NA IJUMAA ULAJI POSHO YA SIKU SITA
Pole sana!! Cement itaziba wezi!! Mimi utashangaa nipo siku zote! Nenda kasome! We umeniona ktk suala la TPA tu maana hujui mambo! Wanaojua wanatafakari kwanini nimekomaa!! Wewe na wenzako munapapasa mgongo wa tembo na kusema "ukuta huu mkubwa sana" hadi mutakapokutana na meno ama mkia!