Mwakyembe aigeuka rasmi bodi Bandari, kuivunja

Mwakyembe aigeuka rasmi bodi Bandari, kuivunja

Asante wewe una akili sana

utaendelea kuwa mwana mpotevu hivyo hivyo usipojitambua,acha akili fupi mimi sijazungumzia nani ana akili au la but be smart brother sio unakurupuka tu kupost na hata ukipost bado unaoption ya kuedit post yako ya kuwa umekisoma tena kama ulivyosema kile ulichoandika!! kuwa smart na vitu vidogo ndugu ndo vinakudefine what kind of person ur!!!
 
Tina interest zipi uchisha mambo ueleweke!, na hii kasumba ya wabongo kwamba mtu ulimteua ww sasa kama hafai umwache kisa ulimteua?? guys sio kwamba mimi ni mtetezi wa mwakyembe lakini anafuu ya watu wote walioko ccm yaani SIO MTU WA DILI!!!!

humjui ndio maana. Anchoogopa ndio hicho kujulikana na watu kama nyie wenye imani naye. Mimi nilikua mmoja wao.
 
utaendelea kuwa mwana mpotevu hivyo hivyo usipojitambua,acha akili fupi mimi sijazungumzia nani ana akili au la but be smart brother sio unakurupuka tu kupost na hata ukipost bado unaoption ya kuedit post yako ya kuwa umekisoma tena kama ulivyosema kile ulichoandika!! kuwa smart na vitu vidogo ndugu ndo vinakudefine what kind of person ur!!!

Asante dada nakushukuru kwa ujuzi na maarifa uliyonipa
 
acha ukasuku. Unaimba nyimbo usozijua. Weka data na source. Hesabu za TPA za robo mwaka na hata nusu mwaka hazijawahi kufikia 40bn kwa mwezi but Waziri anatangaza 50bn na we unaimba. Kagame kajitoa ama kajiingiza baada ama kabla ya bodi ya zamani ama management ya zamani? Kagame kasema hayo wakati wa Mwakyembe ama wakati wa Nundu? Japo naye alikua na madudu yake. PIA, sasa bodi unajua kazi zake? Management unajua kazi zake? Other player ktk port unawajua? TRA, road transport, police, railway, meli etc Kuna tatizo ktk akili zetu waTz


Hata useme nini pale TPA wakiingia watu wenye akili zao mapato lazima yaongezeke.haiwezekani bandari itumiwe na Nchi zaidi ya 6 halafu mapato yake yanakuwa sawa na kodi kutokana na KIBUKU wapi na wapi? usidhani unae ijua bandari ni wewe tu,tupo wengi na ndio maana sasa tunaona Mwakyembe is footing in the right direction.hongera DR,Fukuza wazembe wote.
 
Uombewe maana hujui utendalo. Na we kama hazikuumi ama kukuhusu, povu la mini? Kaa pembeni wasome wenye kujua ulipo uchumi wa nchi. Ninashiriki hivyo vikao na ujue sitoacha kusema japo KIPANDE NA WAZIRI WANANIPENDELEA KULIKO WENZANGU, MEZA WEMBE WEEE MAANA MIMI NINGEKUA MBINAFSI NISINGESEMA MAAMA NAPATA ULAJI KISHENZI. WATU WAMEENDA BAGAMOYO KIKAO CHA SIKU 2 ALHAMISI NA IJUMAA ULAJI POSHO YA SIKU SITA

Pole sana!! Cement itaziba wezi!! Mimi utashangaa nipo siku zote! Nenda kasome! We umeniona ktk suala la TPA tu maana hujui mambo! Wanaojua wanatafakari kwanini nimekomaa!! Wewe na wenzako munapapasa mgongo wa tembo na kusema "ukuta huu mkubwa sana" hadi mutakapokutana na meno ama mkia!

hapo niliko bold .. ndio maana nilisema wewe ni hamnazo, na haujitambui. Huna lolote wewe mwenyewe mwizi tu..ungekuwa msafi na una nia njema na Watz hizo pesa chafu zingekupita kando.
 
mbona TINA na MWANA MPOTEVU mko busy sana na Bandari? poleni mana hata mtoto akiwasoma atajua mambo yamewafika shingoni mko mnatapatapa..
 
Kazi kweli kweli,yangu macho na masikio,huyu anae leta habari hizi na dada mmoja ambae ni muhanga wa mabadiliko haya.Katika jina lake herufi ya mwisho ni ....e.Lakini tukubali tusikubali na ukweli utabaki kuwa ukweli Management system ya Bw.Kipande na Harrison sio mzuri.Na waziri kuvunja board aliyoiteua yeye mwenyewe tujiulize ni kwa maslahi ya nani.Kuhusu uongozi wa juu wa TPA kwa sasa ipo siku zitajulikana mbivu na mbichi.Lakini kiukweli TPA hapako shwari kwa sasa.Mambo ya ushemeji,bora board ife shemeji aendelee kuula.
 
Mwakyembe kitaaluma siyo mchumi wala mfanyabiashara hasa zile za kimataifa( international trade). Yeye ni mwanasheria na mwandishi wa habari. Timuatimua anayoifanya TPA si kiashirio kizuri kwenye uchumi! Kwa mwaka mzima TPA hakuna amani na wateja wameshaanza kuingiwa na wasiwasi kwa yanayotokea TPA kila kukicha! Huko juu mnahitajika kufanya maamuzi mengine!Mwakyembe anajiongezea maadui bila sababu yoyote. Bodi ya zamani ilimkatalia kuwasimamisha akina Mgawe bila kuona tuhuma zao na kuzichambua akaivunja. Leo hii tunaona akipinga maelekezo ya Bodi aliyoiweka kwa mbwembe nyingi kisa anataka management ifanye yale tu anayoyataka na yenye maslahi kwake . Kwa kuwa yeye ndiye kashika mpini ameivunja tena hiyo Bodi iliyodumu kwa miezi 10 tu! Hakuna utawala bora hapa .Mwakyembe anatumia agenda ya kupambana na ufisadi kwa malengo yake mengine. Bodi aliyoivunja imekuja na tuhuma karibu 22 dhidi ya Kipande na watu wake na baadhi ya tuhuma zilikuwa na harufu kubwa ya RUSHWA hasa ile ya mkataba wa Electronic cargo tracking note ( ECTN) .Kipande anajipanbanua kwa watu na pia kwa Mwakyembe kuwa yeye ni ndugu yake Kikwete kwa upande wa mama. Mwakyembe anatumia mwanya huo kwa kuwa bwana mkubwa atawalinda tu! Hata kijana aliyepewa kukaimu nafasi ya mkurugenzi wa IT anasingizia kuwa swahiba mkubwa wa Ridhiwani na pia ni Mnec kwa kupitia vijana na anatamba kuwa alipita kwa nguvu ya Riz. Miradi yote ya ICT ina harufu ya rushwa lakini waziri haoni! Yeye anakimbilia mafuta yanayoibiwa kwenye mabomba ya Tipper
 
hapo niliko bold .. ndio maana nilisema wewe ni hamnazo, na haujitambui. Huna lolote wewe mwenyewe mwizi tu..ungekuwa msafi na una nia njema na Watz hizo pesa chafu zingekupita kando.

Ningekua mwizi nisingetangaza hadharani na pesa nimeshapeleka kunakohusika,we subiri joto ya jiwe ujieleze mulivyolipa malipo hewa.
 
Mwakyembe cant expect to run TPA with zimamoto attitude, wahenga wanasema bandari haikauki maji, obviously jicho lote la serikali liko hapa, you cant nominate the board including its chair, which I think might be contravening president's authority ( am just thinking coz mostly all boardchairs wa public org anateua mheshimiwa ) and then later on revert and call them 'kasuku' just because they decided to do 'a tell all' hao uliowateua uliwamwagia sifa kemkem na kuwatangaza kwa mbwembwe, ninachokiona kwa Mwakyembe ni tama ya sifa, ulevi wa madaraka na 'big results now' Roma haikujengwa kwa siku moja na haikujengwa na waandishi wa habari na sifa za mitandaoni, tumeiona NHC ikienda, slowly but surely towards delivering its mandate and beyond, not by kejeli za humu ndani na povu nyingi kama za Mwakyembe, umewapa watu kazi, sit them down, evaluate those KPI's kama hazifai badilisha, unatakiwa ujifunze falsafa ya uongozi kutoka kwenye timu zenye mafanikio kama Arsenal na Arsene Wenger, who has continually failed to get the trophy but delivered best memorable games and his board and management isn't driven by fans comments but by his KPI's , sasa wewe Mwakyembe umekuwa mfokaji usiyekuwa na plan, style yako ni kama ya Mrema, kutoa siku za kufanya kazi (7) hiyo ni kutibu dalili na kuacha ugonjwa...haujapitia business plan wala strategy ya bandari, anayekuhoji unamuona kigingi, ndio maana zile sanaa zako za jambazi uliyetumiwa, ugonjwa unaoumwa, polisi wanaokufuatafuata hatuzisikii tena, Unachojua ni kujiongezea 'ulinzi' na kuita waandishi na kutoa deadlines za kipuuzi, ningeomba washabiki wa Mwakyembe waje hapa watuambie hii treni ya Mwakyembe imebreak even au ina run kwenye loss, tujue hii ATC inakodisha ndege kwa kiasi gani, tuibukie TAZARA nako tujue kama wanainject hela kurevive internal workshops, kurudisha viwanja vyao au its just a silly season of firing verbal diarrhea, mind you; all these things kama train, ndege and TAZARA hes been singing their song for over 8 months, its harvest time, I have no bone with TPA but I sincerely don't think Mwakyembe did justice to his board, we should get him a desk and working tools at Bandari so he can be a permanent fixture so he can run TPA from there..... CC Pasco wa JF
 
Kuna mtu simjui kanipa ushauri huu hapa, namuomba radhi but nauweka hadharani:

"Tina,
Nimeona siku za karibuni ukiandika mambo mengi kuhusu Mwakyembe.

Mimi nakushauri achana naye maana utaumiza tu kichwa chako. Watanzania wana ugonjwa wa kupenda na wakipenda basi hata mapungufu ya wanasiasa wao wanaona kama wanaonewa tu.

Uzuri wa dunia hii, muda ndio mwamuzi na baada ya muda watu watakuja kujua ukweli.

Mwakyembe anafurahia sana mnavyompinga wazi wazi maana hapo ni rahisi kuingiza uwongo ili watu waamini anapingwa kwasababu ni mchapa kazi. Ndio maana sasaanakuja na hayo ya mzungu kunyonya mafuta ya wizi nk.

Kule kwetu Kyela kila jambo alisema ni njama za Mwakipesile mpaka 2010 na kweli watu wakamwamini.

Lakini sasa Mwakipesile sio mkuu wa mkoa tena na alivyokuwa anasema JK anamchukia ndio maana hajampa uwaziri, sasa ni waziri na hivyo hana visingizio tena.

Muda haujapita watu wa Kyela wamejua ukweli kwamba Mwakyembe ni msanii tu. Ndio maana hata hapa JF huoni vijana wa Kyela wakichangia.

Hata huku Dar mkiacha kumpinga, itafika mahali ukweli utaonekana. Mwakyembe anajua kutoa amri lakini hana utendaji zaidi ya hapo. Mwacheni tu afanye kazi kwa matakwa yake na baada ya muda ukweli wote utajulikana.

Lakini mnavyompinga ndio mnampa nafasi ya kuficha makosa yake ambayo ni mengi sana na kushinda kusema anaandamwa.

Subiri 2015 utaona atakavyompigia magoti Lowassa kama alivyompigia magoti JK wakati huko nyuma alikuwa anamtukana JK kweli kweli.

Ushauri wa bure, achana na Mwakyembe maana utaumiza kichwa chako bure na mtakieni mema tu. Ila mara nyingi mtu msanii, usanii wake baada ya muda huwa wazi kwa kila mtu.

Ni ushauri tu."
 
Tina mimi nimekuelewa, hakika bandarini hakujatulia kwa sababu mwanzoni Mwakyembe alipoulizwa kwamba bodi inataka kumng'oa KIPANDE alikataa akasema bandari ni shwari na kinachoenezwa ni umbeya wa mitandao...wiki moja baadae amevunja bodi (ametimua wajumbe wanne). Kwa hiyo ninachokiona hapa ni kwamba pamoja na rekodi yake ya utendaji lakin kwa sasa mwakyembe mambo yamemshinda.
 
siasa na uchumi vinahitaji uvumilivu na imani ya kweli na nchi si Sanaa zinazoendelea sasa. Tumekwisha kama Taifa. Iko siku tutajua kuwa nchi imetumbukia ktk dimbwi la ulafi mkubwa. Hamtajua maana akili zimeshikwa na wengine wanawasaidia kufikiri na nyie munaimba kama kasuku.

Tina Be serious, Ina maana siku zote hujui kuwa nchi imekwisha!!Bandari ndio uchumi wetu, Sijui bodi kikaenda na kurudi hizo zote story, tunataka mageuzi. Bandari pesa ilikuwa inaingia mifukoni kwa wajanja wachache, lakini hatimaye sasa hivi pesa inaingia serikalini, na sio uko tu, bado na kwingineko!!
Makampuni ya simu hayalipi kodi ipasavyo, kwenye madini ndio wako huru kufanya watakavyo japo serikali inajidanganya kwa kuwa imeunda Mamlaka ya kusimamia madini, jitihada zaidi inatakiwa.

Tina mimi namsifu mwakyembe kuwa ameweza kuthubutu kuleta mageuzi pale bandari, mageuzi ambayo yameshindwa kufanyika kwa miaka mingi.
 
Tina Be serious, Ina maana siku zote hujui kuwa nchi imekwisha!!Bandari ndio uchumi wetu, Sijui bodi kikaenda na kurudi hizo zote story, tunataka mageuzi. Bandari pesa ilikuwa inaingia mifukoni kwa wajanja wachache, lakini hatimaye sasa hivi pesa inaingia serikalini, na sio uko tu, bado na kwingineko!!
Makampuni ya simu hayalipi kodi ipasavyo, kwenye madini ndio wako huru kufanya watakavyo japo serikali inajidanganya kwa kuwa imeunda Mamlaka ya kusimamia madini, jitihada zaidi inatakiwa.

Tina mimi namsifu mwakyembe kuwa ameweza kuthubutu kuleta mageuzi pale bandari, mageuzi ambayo yameshindwa kufanyika kwa miaka mingi.

mageuzi ya funika kombe wafanye ufisad?
 
mbona TINA na MWANA MPOTEVU mko busy sana na Bandari? poleni mana hata mtoto akiwasoma atajua mambo yamewafika shingoni mko mnatapatapa..

Pole sana. Jibuni hoja.
 
mageuzi ya funika kombe wafanye ufisad?

Tina
Naijua bandari, nawajua watendaji wake, kwa taarifa yako ile bandari kuna watu ilikuwa kama mali yao, hakuna aliyekuwa anajali, kila mtu alikuwa busy kujichotea, Pamoja na sheria za uendeshaji wa mashirika ya umma lakini bandari inataka mabadiliko makubwa sana, kwa sababu watu wale wale bado wapo.
Kwanini una mawazo sana ya ufisadi? kwani wewe fisadi? unajua mwizi haamini kama wengine hawaibi, kwa kuwa yeye anaiba basi! anachojua kuwa ni kila mtu anaiba.
 
Tina
Naijua bandari, nawajua watendaji wake, kwa taarifa yako ile bandari kuna watu ilikuwa kama mali yao, hakuna aliyekuwa anajali, kila mtu alikuwa busy kujichotea, Pamoja na sheria za uendeshaji wa mashirika ya umma lakini bandari inataka mabadiliko makubwa sana, kwa sababu watu wale wale bado wapo.
Kwanini una mawazo sana ya ufisadi? kwani wewe fisadi? unajua mwizi haamini kama wengine hawaibi, kwa kuwa yeye anaiba basi! anachojua kuwa ni kila mtu anaiba.

tusiongee jumla jumla! Nimesema tuhuma nyingi ni mbwembwe na za kisanii, but nimeweka issue za Matema beach rest house 500m za mini? ECTN contract hadi kufoji minutes za kikao, nimesema Kuna ICD tazara, nimesema Kuna Sukita deal, Kuna ICT deals mamilioni,etc, hamjibu munatukana na kusema tu amefanikiwa!
 
Back
Top Bottom