Kelevra
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 1,053
- 2,007
Acha kushekesha watu hujui ngumi wewe...hiyo ndo maana ya TKO? hivi unapata wapi ujasiri wa kuandika kitu usichokielewa huku ukijifanya unakielewa kaangalie hayo mapambano niliyoweka hapo juu...kuna TKO mbili tofauti hapo na bado siyo kwamba ndo mwisho.TKO unakubali kushindwa baada ya kuona umezidiwa na hautashinda na huwenda utashindwa kwa Ko kama ukiendelea kukaza kwa hiyo unakubali mapema kuepusha hilo
Katika pambano letu haikuwa hiyo refa aliingilia katikati ya movement na kuwatenga mabondia mpinzani bado alikuwa anajiweza na mpaka refa alipigwa ngumi ni kama mazingira ya kutengeneza tu moja ya member wa muagentina alikuwa anadoubt haelewi nini kimetokea
Angalia jinsi pambano lilivyoisha