Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 949
- 2,865
Bingwa Mtata Mtatuzi Hassan Mwakinyo amefanikiwa kunyakua Mkanda wa WBO baada ya kumtwanga Bondia kutoka nchini Ghana Elvis Ahorgah kwa KO raundi ya 7 katika pambano lililofanyika visiwani Zanzibar.
Bingwa huyo mtata Mtatuzi Champez Hassan Mwakinyo amewadhihirishia watu kuwa yuko fit na ana force KO muda wowote anaotaka yeye,hivyo kuwa bondia hatari kwa KO. Ni dhahiri Bingwa wa UBO Intercontinental,Bondia Twaha Kiduku amepata meseji na naamini atafanyia kazi KO za Champez Hassan Mwakinyo,Bingwa Mpya wa WBO.
Watanzania wengi wana hamu ya kuona pambano la Bingwa Hassan Mwakinyo vs Bingwa Twaha Kiduku na baada ya pambano hilo Watanzania wangependa tena kuona pambano lingine la kiufundi kati ya Bondia Loren Japhet vs Champez Hassan Mwakinyo,Naamini mkwanja utawekwa na mapromota na mapambano haya yatatokea mwaka huu 2024.
#HongeraChampezMwakinyo.
Bingwa huyo mtata Mtatuzi Champez Hassan Mwakinyo amewadhihirishia watu kuwa yuko fit na ana force KO muda wowote anaotaka yeye,hivyo kuwa bondia hatari kwa KO. Ni dhahiri Bingwa wa UBO Intercontinental,Bondia Twaha Kiduku amepata meseji na naamini atafanyia kazi KO za Champez Hassan Mwakinyo,Bingwa Mpya wa WBO.
Watanzania wengi wana hamu ya kuona pambano la Bingwa Hassan Mwakinyo vs Bingwa Twaha Kiduku na baada ya pambano hilo Watanzania wangependa tena kuona pambano lingine la kiufundi kati ya Bondia Loren Japhet vs Champez Hassan Mwakinyo,Naamini mkwanja utawekwa na mapromota na mapambano haya yatatokea mwaka huu 2024.
#HongeraChampezMwakinyo.