Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,463
- 21,194
Bondia Hassan Mwakinyo ukipenda muite Colorado King A.K.A CHAMPEZ ONE TIME , Tornado amtaka Asemahle Wellem amuoneshe kazi baada ya kuona Watanzania wamenyoosha mikono kwamba hawamuwezi bwana mdogo ni bora wasikubali kucheza naye kinyume na hapo atazidi kuwadhalilisha mabondia Watz kama alivyowafanya mabondia top 2 wanaotazamwa zaidi hapa bongo kwenye uzito wao wa super middle weight ambao ni Selemani Kidunda na Twaha Kiduku.
Mwakinyo mwanzoni hakuonesha interest ya kupigana na huyu kijana licha ya kuitwa mara kadhaa ila safari hii ameona dharau zimezidi acha aingie mzigoni.
Asemahle baada ya kumchapa Twaha, bondia aliyemtaka alikuwa ni Hassan Mwakinyo lakini management ya Mwakinyo haikutoa ushirikiano mzuri ndipo Selemani Kidunda alipoiomba hii mechi alipe kisasi matokeo yake naye kajumuishwa kwenye listi ya waliopigwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mwakinyo kigezo cha kwanza anachoangalia kwa bondia wa kupigana naye ni mkanda ,na kwa kuwa Asemahle ana mkanda wa WBF kwa hiyo ameshakidhi kigezo cha kwanza cha kupigana na Mwakinyo.
Kigezo cha pili huwa anaangalia maslahi , hivyo ni rahisi hili pambano kufanyika ,kutokana na uwezo mkubwa aliouonesha Asemahle hivyo ni rahisi mapromota kuingia mzigoni maana pambano lao litabeba attention kubwa sana.
Binafsi sina imani sana na Mwakinyo ,maana mara nyingi hakosi visingizio yani kama attention seeker fulani hivi 😂😂😂😂😂😂😂.
Mbali na Mwakinyo, Twaha naye amelitaka hili pambano kwa mara ya pili ili kurudisha heshima yake aliyoipoteza .
Mwakinyo mwanzoni hakuonesha interest ya kupigana na huyu kijana licha ya kuitwa mara kadhaa ila safari hii ameona dharau zimezidi acha aingie mzigoni.
Asemahle baada ya kumchapa Twaha, bondia aliyemtaka alikuwa ni Hassan Mwakinyo lakini management ya Mwakinyo haikutoa ushirikiano mzuri ndipo Selemani Kidunda alipoiomba hii mechi alipe kisasi matokeo yake naye kajumuishwa kwenye listi ya waliopigwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mwakinyo kigezo cha kwanza anachoangalia kwa bondia wa kupigana naye ni mkanda ,na kwa kuwa Asemahle ana mkanda wa WBF kwa hiyo ameshakidhi kigezo cha kwanza cha kupigana na Mwakinyo.
Kigezo cha pili huwa anaangalia maslahi , hivyo ni rahisi hili pambano kufanyika ,kutokana na uwezo mkubwa aliouonesha Asemahle hivyo ni rahisi mapromota kuingia mzigoni maana pambano lao litabeba attention kubwa sana.
Binafsi sina imani sana na Mwakinyo ,maana mara nyingi hakosi visingizio yani kama attention seeker fulani hivi 😂😂😂😂😂😂😂.
Mbali na Mwakinyo, Twaha naye amelitaka hili pambano kwa mara ya pili ili kurudisha heshima yake aliyoipoteza .