Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Vipi na wewe ni wale wale?
Kaitampunu otai?
Vipi na wewe ni wale wale?
Umekerwa na madawa ya kulevya au hiyo wizara?
Halafu we huwa nakumaind, unapenda sana kuropoka mambo bila kuwa na facts! We utakuwa sio mtanzania wewe, ovyo kabisa!
Ntyo, ag'edominika? Wab'oshomile mbwenu?Kaitampunu otai?
Kakutekenya ndo maana umecheka!Mwakyembe kawasafisha kweli bandarini na airportHalafu we huwa nakumaind, unapenda sana kuropoka mambo bila kuwa na facts! We utakuwa sio mtanzania wewe, ovyo kabisa!
This is true PDidy. Watu wengi wanashindwa kuelewa umuhimu wa zile statements alizotoa majuzi kuhusu treni na malori. Kuna issue kubwa sana inayohusiana na monopolization ya biashara ya malori pale bandarini. Mwulize mtu yeyote atakuambia jinsi wafanya biashara wa malori wanavyonyimwa riziki pale bandarini shauri ya ku favour malori ya mtu mmoja tu Anayejulikana. Bandari imekuwa kama bandari ya New Jersey zamani enzi za Mobsters kule Marekani. Mwakyembe knows this history na alikuwa na lengo la kuiondoa hii cancer kabla haijaweka mizizi. It has to be removed. Unfortunately he lost the fight, but time will come.Mpwa sio kweli. Aligusa. Mboniyamaisha yawatu hasa majuzi alipotangaza atahakikisha mabehewayanaponaharaka nakuanzisha safari za mikoani,,alioopoaribu zaidi ni kusema malori yotee yamizigo tutakaanayo tuangalie pale treni inapoishia na wao waanziehapo kupeleka mizigo...wakuu wangu malori mengi yanayobeba mizigo ni memaya nchi ya wakubwa sana nahisi wamemuheshimu hata kumpeleka huko ukweli walimkasirikia wenginaawwkutaka. Kumwonatena. Uongozini
Ntyo, ag'edominika? Wab'oshomile mbwenu?
Huyo mwakiembe hamna kitu nimpenda sifa tu