mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 22,324
- 56,062
Kuna semina ya mwalimu Mwakasege imeisha leo viwanja vya chuo kikuu cha Dar es salaam.
Jana alisema wale wanaotafuta wachumba wasimame niwaombee ,My God zaidi ya nusu ya mabinti waliokuwepo viwanjani kwenye semina walisimama na kuombewa.
Kivumbi leo akiitimisha semina akasema jana nimeshangazwa na idadi ya wanaotafuta wachumba naomba msimame niwaombee tena ,hali ikawa zaidi ya jana niite ni umati wa single ladies who are searching ukasimama kwa maombi.
Naandika haya kwa uchungu kwani kuna wengine walikuwa above 35 ukiwaangalia usoni na its seems hawajawahi kuolewa.
Ila hakuacha kuwapa tip kuwa wadada wengi wa mjini wanaenda sana kwa waganga kwa ajili ya mambo ya mahusiano.
Dada zetu wanahitaji maombi sana kuna pepo baya limeandama.
Jana alisema wale wanaotafuta wachumba wasimame niwaombee ,My God zaidi ya nusu ya mabinti waliokuwepo viwanjani kwenye semina walisimama na kuombewa.
Kivumbi leo akiitimisha semina akasema jana nimeshangazwa na idadi ya wanaotafuta wachumba naomba msimame niwaombee tena ,hali ikawa zaidi ya jana niite ni umati wa single ladies who are searching ukasimama kwa maombi.
Naandika haya kwa uchungu kwani kuna wengine walikuwa above 35 ukiwaangalia usoni na its seems hawajawahi kuolewa.
Ila hakuacha kuwapa tip kuwa wadada wengi wa mjini wanaenda sana kwa waganga kwa ajili ya mambo ya mahusiano.
Dada zetu wanahitaji maombi sana kuna pepo baya limeandama.