Nukta5
JF-Expert Member
- Jun 7, 2014
- 1,180
- 1,276
Nilikuwa na malengo ya kufungua kibiashara nilifanikiwa but kwa bahati mbaya kimeshindwa kuendelea hapa mwishon mwa mwaka ila mwakani nitatia nguvu kwenye biashara, Mwaka huu nimeandamwa na kuumwa sana tumbo kila nikipima
wanasema ni dalili ya vidonda au acid tumboni ila mwakani Mungu anisaidie niishi kwa kufuata mashart yasinitokee tena.
Nilipata hela kiasi nikafanya matumizi ambayo hayakuwepo kwenye budget hadi kupoteza pesa nyingi kwenye muda mfupi kisababishi ni mwanamke mwakani hela ya budget itayozidi ndio nitaitumia huko au nitatia nguvu kwenye ishu ya maana.
Nimempoteza watu niliokua nawafuatilia kujituma na kufanikiwa kwao Ruge Mutahaba na Regnald Mengi.
Mwisho na nachomshukuru Mungu zaidi niliweka lengo kwenye kijumba changu nifike kwenye lenta mwaka huu mafundi wapo site muda huu wanamalizia hizo line sita juu kutoka kwenye madirisha nifunge lenta licha ya hiki kipato kidogo.
wanasema ni dalili ya vidonda au acid tumboni ila mwakani Mungu anisaidie niishi kwa kufuata mashart yasinitokee tena.
Nilipata hela kiasi nikafanya matumizi ambayo hayakuwepo kwenye budget hadi kupoteza pesa nyingi kwenye muda mfupi kisababishi ni mwanamke mwakani hela ya budget itayozidi ndio nitaitumia huko au nitatia nguvu kwenye ishu ya maana.
Nimempoteza watu niliokua nawafuatilia kujituma na kufanikiwa kwao Ruge Mutahaba na Regnald Mengi.
Mwisho na nachomshukuru Mungu zaidi niliweka lengo kwenye kijumba changu nifike kwenye lenta mwaka huu mafundi wapo site muda huu wanamalizia hizo line sita juu kutoka kwenye madirisha nifunge lenta licha ya hiki kipato kidogo.