duuh pole sana,usikute kalalaa
usimdangaje mwenzako alale na sikukuu yote hii? halafu mwaka atauzindua lini? la muhimu apa tujiulize je amekumbuka kutumia tiba? or sorry kinga? oooh god forbid!!!
Dah!unazidi kunitia machungu.
My husband hapokei simu yangu jamanii...Nahisi naibiwa
vibaka wamemuibia hawawezi kupokea wala kuizima
pole best kwani yupo safarini?
vibaka wamemuibia hawawezi kupokea wala kuizima
Mlipizie na wewe njoo kwangu alafu usipokee simu yake.
Kaza moyo tuu atakuja baadae sanaa!!
Nahisi kama hao vibaka wamemuiba mwenye simu...
Ndio suprise zenyewe za mwaka mpya. Kila mtu anafanya kitu cha tofauti ilimradi tu mambo yaende kiupyaupya.
Pole...ndio mwaka mpya na mambo mapya hayo
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us