Mwaka mpya majanga...

Mwaka mpya majanga...

Weewe mwaka mpya unafanya nini huko chuo huendi kwa mumeo? Kwani mna paper tarehe 2 jan? Maana lecture wengine wanamakusudi.
Pole by the way hubby atakuwa yuko kwenye moja mbili anapoteza mawazo maana anaona kirudi hone mke hayupo anaweza kymbaka house girl buree. Na usijifariji kuifungia simu kabatini amechukia kwa nini hujaenda home mkala wote mwaka mpya. La kwako hilo limalize mwenyewe, kama huna test wahi hone usiku huu.
Wanayme akili zao ndogo sana wakishakunywa zanzi wahi mamaa kabla hakujakucha.
 
Weewe mwaka mpya unafanya nini huko chuo huendi kwa mumeo? Kwani mna paper tarehe 2 jan? Maana lecture wengine wanamakusudi.
Pole by the way hubby atakuwa yuko kwenye moja mbili anapoteza mawazo maana anaona kirudi hone mke hayupo anaweza kymbaka house girl buree. Na usijifariji kuifungia simu kabatini amechukia kwa nini hujaenda home mkala wote mwaka mpya. La kwako hilo limalize mwenyewe, kama huna test wahi hone usiku huu.
Wanayme akili zao ndogo sana wakishakunywa zanzi wahi mamaa kabla hakujakucha.

Mpendwa kesho nina test nisingeweza kwenda...Ina maana ameshindwa kunivumilia jamani.
 
Ahsante...Mwaka mpya huu umeniijia vibaya

Mumeo kukosakupokea simu ndio waita mwaka umekuja vibaya!!! mbona hilo ni jambo dogo sana kuususa mwaka kihivyo!!!
 
Ningejisikia faraja mume wangu angekuwa wa kwanza kuniwish mwaka mpya...Na siku zote huwa hivyo...Nashangaa mwaka huu...Ndo maana nimeingiwa na hofu.
 
we muache tu...Kunikeshesha mie kama popo
 
Kwanini iwe leo tu?Mbona siku zingine anaisikia?
Si unajua mambo ya sherehe au yuko kwenye maombi hivyo hawezi kupokea cm na leo kaamua kufanya sala za ukweli hivyo no phone.
 
kwanini uhisi unaibiwa usihisi kaibiwa simu na vibaka au kaidondosha?
 
Vannele.. mpaka sasa hapokei simu yako?

kwani alikuaga anaenda wapi? isijekuwa kapotea bana!! nipe taarifa kabisa, namba yake ya simu na yako pia! nianze kuwatafuta nifanye matching!!
 
Last edited by a moderator:
Mmmmmmh hau ndio huyu jilani yangu hapa maana namuona mtu kajipinda tu na kidem hapa simu inaiita hapokei.....
 
Si unajua mambo ya sherehe au yuko kwenye maombi hivyo hawezi kupokea cm na leo kaamua kufanya sala za ukweli hivyo no phone.

Angeniaga basi manake niliongea nae mida ya saa 4 usiku.
 
kwanini uhisi unaibiwa usihisi kaibiwa simu na vibaka au kaidondosha?

Namba yangu anaifahamu vizuri...angenipigia hata na simu nyingine anieleze hayo kuliko kuniweka roho juu.
 
Angeniaga basi manake niliongea nae mida ya saa 4 usiku.
Jamaniii sasa ghafla simu ikawa haipokelewi basi piga moyo konde kesho muulize kwa upole atakujuza kwanini hakupokea cm yako. Lkn ukijifanya una hasira basi sahau hutaambiwa chochote bora uwe mpole tu kumbuka dawa ya moto sio moto
 
Vannele.. mpaka sasa hapokei simu yako?

kwani alikuaga anaenda wapi? isijekuwa kapotea bana!! nipe taarifa kabisa, namba yake ya simu na yako pia! nianze kuwatafuta nifanye matching!!

Hapokei...Nimetuma sms weee sijajibiwa
 
Last edited by a moderator:
Jamaniii sasa ghafla simu ikawa haipokelewi basi piga moyo konde kesho muulize kwa upole atakujuza kwanini hakupokea cm yako. Lkn ukijifanya una hasira basi sahau hutaambiwa chochote bora uwe mpole tu kumbuka dawa ya moto sio moto

Dah...Roho inaniuma sana.
 
Namba yangu anaifahamu vizuri...angenipigia hata na simu nyingine anieleze hayo kuliko kuniweka roho juu.
sasa hilo la mwanaume kuanza kuomba simu ndo mwanzo wa majanga,maana anaweza kumwomba mdada wa kaunta afu yule dada akajiokotea kirahisi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom