Anthony Threedeyea
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 471
- 47
vibaka utawajua tuh!
Inawezekana kweli aisee si unajua mtu kupitiwa tena . Kwa sasa iamini taarifa hiyo mpaka utakapojua vinginevyo.Ahsante...Amenipigia asubuhi hii eti alipitiwa na usingizi.
My husband hapokei simu yangu jamanii...Nahisi naibiwa
alikuwa amelala wapi sasa?eti alikuwa amelala
Mpendwa kesho nina test nisingeweza kwenda...Ina maana ameshindwa kunivumilia jamani.