Wengi hivi sasa hata wasiokuwa waislam wanajua kwamba leo ni mwaka mpya wa kiislam. Hii ni kutokana na mapumziko ya watu wa Zanzibar kupewa offer ya mapumziko na kufanya watu wengi kufatilia. Kabla ya hapo, mwaka mpya wa kiislam Tanzania ulikua haufatiliwi si kwa waislam au waislam wenyewe..
Hii sawa na kalenda ya wasiokuwa waislam yaani January mosi
Hii sawa na kalenda ya wasiokuwa waislam yaani January mosi