Balaaa lake hapo unaweza opoa paka shume halitazamiki asubuhiHongera kama huna hizo interest
Wengine wanapiga vyote, Ulabu na Mikasi
Binafsi sikushauri. Ila jaribuNataka nijaribu Chief, nimeambiwa uchimbaji ukiwa na bahati unapiga hela ndefu sana.
Nitaleta mrejesho mwezi December
Kule kuna umafia na mauzauza mengi sana. Inahitaji iwe na roho ngumu sana.Kwanini Chief? Tafadhali share uzoefu wako nasi
Ni kweli😅😅Hiyo inatokea kama unapiga vyombo Sana then unaopoa at the same time
Kama unapiga ado ado huwezi kukumbana na hizo ajali 😂
watakuja tu inbobo...ulimbo mkali huu...mitano tenaSalaam,
Mwaka 2020 umeisha na sasa tumeanza Mwaka Mpya 2021. Wengi mtakuwa mlijiwekea malengo mbalimbali yawe makubwa, ya kati au madogo kwa mwaka uliopita, lakini kwa sababu mbalimbali kuna mliofanikiwa kuyatimiza na wengine mkashindwa kuyatimiza. Sizungumzii kuhusu malengo ya kuoa au kuolewa kwani binafsi nahisi ni kama malengo ya kijamii zaidi kwani ili kuyafanikisha unahitaji Support ya Ndugu na Jamaa.
Kufanikiwa kutimiza malengo yako au kushindwa kuyatimiza malengo yako, hakukufanyi ushindwe kujiwekea malengo Mapya mwaka huu wa 2021. Muda wa kujiwekea malengo ni sasa, kwa kuwa ndiyo kwanza Januari 2021.
Binafsi Mwaka huu 2021 nimejiwekea malengo yafuatayo;-
Vyanzo vya Fedha
- Kukamilisha Ujenzi wa apartment mbili kwa ajili ya kupangisha
- Kuanza Ujenzi wa Lodge ya vyumba 12
- Kuanzisha shamba la ekari 50 za Korosho
- Kufungua mgodi mdogo wa Dhahabu na kuanza uchimbaji
- Kununua gari la kutembelea
- Kuhakikisha malipo ya ada ya Mwaka kwa Watoto inalipwa.
Ili kutimiza malengo yeyote uliyojiwekea ni muhimu kuwaza kuhusu rasilimali fedha itakayohitajika, Binafsi nategemea vyanzo vifuatavyo kutumika kupata fedha kwa ajili ya kutimiza malengo yangu. Vyanzo hivyo ni;-
Maisha yana changamoto lukuki, lakini bila kujiwekea malengo itakuwa tunahesabu miaka ikikatika huku hali zetu za kimaisha na Kijamii zikibaki vilevile miaka nenda miaka rudi.
- Kupitia Mikopo kutoka Taasisi za Fedha
- Kupitia mapato ya biashara
- Kupitia mapato ya Kodi kutoka kwenye apartments zangu
- Kupitia Mavuno ya Shambani
- Kupitia mauzo ya gari lililopo
Swali ni Je, Umejiwekea Malengo gani Mwaka huu 2021?
Mjasiliamali tu pamoja na kulima lima
haraka haraka investment zako kama zipo Tanzania nzima..dhahabu shinyanga/mbeya appartment arusha/dar es salaam dodoma, korosho-mtwara/newala....hongera unaweza break down tuone unataka wekeza kiasi ganiSalaam,
Mwaka 2020 umeisha na sasa tumeanza Mwaka Mpya 2021. Wengi mtakuwa mlijiwekea malengo mbalimbali yawe makubwa, ya kati au madogo kwa mwaka uliopita, lakini kwa sababu mbalimbali kuna mliofanikiwa kuyatimiza na wengine mkashindwa kuyatimiza. Sizungumzii kuhusu malengo ya kuoa au kuolewa kwani binafsi nahisi ni kama malengo ya kijamii zaidi kwani ili kuyafanikisha unahitaji Support ya Ndugu na Jamaa.
Kufanikiwa kutimiza malengo yako au kushindwa kuyatimiza malengo yako, hakukufanyi ushindwe kujiwekea malengo Mapya mwaka huu wa 2021. Muda wa kujiwekea malengo ni sasa, kwa kuwa ndiyo kwanza Januari 2021.
Binafsi Mwaka huu 2021 nimejiwekea malengo yafuatayo;-
Vyanzo vya Fedha
- Kukamilisha Ujenzi wa apartment mbili kwa ajili ya kupangisha
- Kuanza Ujenzi wa Lodge ya vyumba 12
- Kuanzisha shamba la ekari 50 za Korosho
- Kufungua mgodi mdogo wa Dhahabu na kuanza uchimbaji
- Kununua gari la kutembelea
- Kuhakikisha malipo ya ada ya Mwaka kwa Watoto inalipwa.
Ili kutimiza malengo yeyote uliyojiwekea ni muhimu kuwaza kuhusu rasilimali fedha itakayohitajika, Binafsi nategemea vyanzo vifuatavyo kutumika kupata fedha kwa ajili ya kutimiza malengo yangu. Vyanzo hivyo ni;-
Maisha yana changamoto lukuki, lakini bila kujiwekea malengo itakuwa tunahesabu miaka ikikatika huku hali zetu za kimaisha na Kijamii zikibaki vilevile miaka nenda miaka rudi.
- Kupitia Mikopo kutoka Taasisi za Fedha
- Kupitia mapato ya biashara
- Kupitia mapato ya Kodi kutoka kwenye apartments zangu
- Kupitia Mavuno ya Shambani
- Kupitia mauzo ya gari lililopo
Swali ni Je, Umejiwekea Malengo gani Mwaka huu 2021?
Why should I tell every thing Sir.ha
haraka haraka investment zako kama zipo Tanzania nzima..dhahabu shinyanga/mbeya appartment arusha/dar es salaam dodoma, korosho-mtwara/newala....hongera unaweza break down tuone unataka wekeza kiasi gani
Hiyo imekaa bomba Sana 👏👏👏Even wastaafu tuna mipango uuuuwiii, nifungue fresh food niweke na two rooms for renting na niwe na serving ya kuamkia mwakani. God knows will do