Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 7,411
- 14,181
Pamoja sana mkuuThat's nice Man. Whatever you are doing is real fine as far you are making Money
Pamoja sana mkuuThat's nice Man. Whatever you are doing is real fine as far you are making Money
safari hii nimeamua kutumia diary nikifuatilia kila matumiziNajitahidi sana kupanga mipango mingi ila nikisikia ile kauli ya mipango sio matumizi naishiwa nguvu
ungedaka huu mchepuko wangu ungenisaidia sanaNafikiria kuongeza mke mmoja na mchepuko mmoja. Mapenzi hayana chama.
Ongeza bidii ya kutafuta pesa, ukiona umeshindwa kumudu michepuko basi kwisha habari yakoungedaka huu mchepuko wangu ungenisaidia sana
changgamoto kubwa ninayoiona kwangu inayotukabili ni jinsi ya kutumia muda tulionao na unaotumika tukilinganisha na kipato pamoja na muda tunaotumia kupata hicho kipato ili kiweze kufadhiri mahitaji yetu ya kila siku na mwisho wa siku tuishi in peace not in pieces katika umri wa miaka 70Najitahidi sana kupanga mipango mingi ila nikisikia ile kauli ya mipango sio matumizi naishiwa nguvu
tabu hautaki kwenda likizo umeganda balaaaaaaa!Ongeza bidii ya kutafuta pesa, ukiona umeshindwa kumudu michepuko basi kwisha habari yako
Lengo ni kuongeza matumiziHahaha......kwanini na huyo mchepuko usimrasimishe awe mke wa pili kupunguza bajeti??😂
Of course mambo ya time management ni muhimu pia, hasa ukiweza kujimanage ili kuweza kupata kipato cha ziada.changgamoto kubwa ninayoiona kwangu inayotukabili ni jinsi ya kutumia muda tulionao na unaotumika tukilinganisha na kipato pamoja na muda tunaotumia kupata hicho kipato ili kiweze kufadhiri mahitaji yetu ya kila siku na mwisho wa siku tuishi in peace not in pieces katika umri wa miaka 70
Ngoja wenye upungufu waje kutujuzaUmetisha boss, kuna mahali nilisoma eti nyumba ndogo zinaongeza nguvu za kiume.
I was surprised 😂
Una nini lakini? Jasmon Tegga🤣🤣🤣🤣Kupambana na wazushi wa korona