Mwaka mmoja CCM kwisha

Ccm chama imara tunajiimalisha kimfumo , kiutendaji,na kiuwajibikaji tujipanga na hatuteteleki , nhi hii sijaona kilichokomaa kubeba madaraka ya nhi zaid ya ccm kama hutaki we ni mubishi tu
kwa kiwsahili hichii! kama wewe sio msukuma basi ni mgita unaeishi simiyu
 
....
......acha ukabila chini ya kiwango J4 nyanoko sana onyelilee ...Mkuu jifunze sikutegemea
Unataka tuanze kutukanana Kisukuma hapa tena kwa ajili ya katuni ya mwanasiasa? Bahati nzuri sana nimeshaachana na ujinga/utoto huu wa kuporomosha matusi mtandaoni tena kwa watu nisiowajua. Hakuna faida wala haja ya kufanya hivyo na kuwa mtu mwema na mwenye subira zaidi ni mojawapo ya resolutions zangu za mwaka mpya (2017). We umetukana tena matusi mazito basi fanya sherehe au kama uko mahali accessible kamata sprite moja baridi nakuja kulipa [emoji23][emoji23][emoji23]...Na ukumbuke kwamba sasa kuna sheria ya makosa ya mtandao. Mtu akikukomalia unaweza kujikuta unatema milioni saba hivi hivi. Wabeja!
 
Na muungwana huwa hatukani licha ya hiyo sheria ya makosa ya mtandao
 
Juzi CCM imepokea waliokuwa viongozi wa chadema jijini Dar na kuhamia CCM.
 
Kuitoa ccm madarakan ni swala mtambuka na ukizingatia kwa sasa wapinzani hawana mtu mwenye mvuto kisiasa, na mbaya zaidi ni serkal kutumia zaidi nguvu ya dola kuliko kutumia Sera
 
Kuitoa ccm madarakan ni swala mtambuka na ukizingatia kwa sasa wapinzani hawana mtu mwenye mvuto kisiasa, na mbaya zaidi ni serkal kutumia zaidi nguvu ya dola kuliko kutumia Sera
Sawa,unataka kusema kuwa ccm ina kiongozi mwenye mvuto?umetumia kigezo gani kujua huo mvuto?
 
Siyo kwa uzembe huu wa Upinzani wa Tanzania!! Labda 2055
Wewe kuitetea ccm ni sawa tu maana bila ccm huna maisha ni sawa na simba na yanga kuwaondoa makomandoo milangoni
 
CCM ikidhoofu si ndiyo vizuri ili Mbowe achukue nchi au?
Bavicha bana.
 
Huyo

Mkuu Ritz habari za masiku?
Juu ya ccm kudhoofu hilo siyo siri tena naamini hata wewe unalijua ila basi tu
Ni kweli hata juzi nimemsikia Kadinal Pengo akisema maisha sasa hivi yamekuwa nafuu sana tofauti na kipindi cha nyuma, kama unapingana na mtumishi wa mungu laana itakutafuna.
 
Ni kweli hata juzi nimemsikia Kadinal Pengo akisema maisha sasa hivi yamekuwa nafuu sana tofauti na kipindi cha nyuma, kama unapingana na mtumishi wa mungu laana itakutafuna.
Hayo tumesha yazoea kutoka kwa wakuu wa dini,yeye kila kitu analetewa
 
Ni kweli hata juzi nimemsikia Kadinal Pengo akisema maisha sasa hivi yamekuwa nafuu sana tofauti na kipindi cha nyuma, kama unapingana na mtumishi wa mungu laana itakutafuna.
Wewe mwenyewe unayetafuta kwa jasho ndiyo unajua ugumu wa maisha,sasa hivi unalazimika kuishi kama shetani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…