falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,229
- 9,357
- Thread starter
-
- #21
amina mkuu nitakupa kadi ya mualikoMungu Muumba mbingu na dunia na vyote vilivyomo
akutangulie, akusimamie na akulinde na mabaya yote
akujalie hekima, busara na maarifa ktk mahusiano yenu (ndoa tarajiwa)
akubariki na uzao wako, uishi maisha marefu hata uje uwaone watoto wa watoto wako
Hata shela ntashika mkuuuje kunywa hata mbege
ubarikiwe sana mkuuJambo la ndoa ni jambo jema, Mungu akujalie na akupe ujasiri huo .
nakushauri,
1.usiwape nafasi waseja/WASIOPENDA NDOA KUKUSHAURI-watakupotosha
2.wasikilize WALIO KATIKA ndio
3.usianze kufikiria matatizo ya ndoa BALI mafanikio ya ndoa. (Matatizo ni jambo la kawaida)
4.usianze KUTAFUTA mchumba wako alikuwa na nani ,hii itaanza kukupa FIKRA mbaya BALI FIKIRIA MAAMUZI yake ya sasa.
5.Usifuate TABIA za wadada wengine hapa mjini ukadhania na wako atakuwa hivyo
6.Amua bila kujali MATOKEO YA ndoa yako (jiulize ,kaka baba yako angeanza kufikiria MATOKEO YA ndoa kwa negativity, usingepatikana)
KARIBU ktk ndoa ,karibu ktk ustaarabu ,karibu ktk jumba la FURAHA!
hehehehe hivi kumbe kunatakiwaga mtu wa kushika shelaHata shela ntashika mkuu
sawa mkuu,amina mkuu nitakupa kadi ya mualiko
Si msimamizi mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]ila siku hizi hawashikii wanakufuta jashoohehehehe hivi kumbe kunatakiwaga mtu wa kushika shela
amenMungu awabariki mfikie lengo lenu
vitabia vya kuponda ccm hehehesawa mkuu,
wakati mwingine omba kulingana na mahitaji yako na si km fulani
yale yale ya kuomba Mungu akupe Mume/Mke wa kufanana nae ili hali wewe mwenyewe una tabia tabia fulani
sasa unapomwambia Mungu akupe wakufanana na vijatabia vyako vya kichoyo, ulevi nk, humo ndani patakalika kweli?
kumbe itabidi nikutafute zaidi, unaonekana unaexperienceSi msimamizi mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]ila siku hizi hawashikii wanakufuta jashoo
ha ha ha wewe wasemavitabia vya kuponda ccm hehehe
Hivi kumbe we mwanamke ni mchokozi hivi, nilidhani ccm ndio unawachokoza tu, kumbe hata huku....[emoji12] [emoji12] [emoji12]ha ha ha wewe wasema
hasomiMkuu huyu mtu anasoma wapi??
Hata ya kwaito nnayo[emoji23][emoji23][emoji23]sijui lini ntacheza yangukumbe itabidi nikutafute zaidi, unaonekana unaexperience
jamani unanionea, hivi kwanini hunipendagi?Hivi kumbe we mwanamke ni mchokozi hivi, nilidhani ccm ndio unawachokoza tu, kumbe hata huku....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
....heri ya mwaka mpya!!
Wewe ni nani anaekulaga 'mzigo' mkuu?Kila jema nawatakia mkuu.
hehehehe we queen unanichekesha, ila hap ndio nawaza na aibu nilizo nazo halafu niambiwe nimkisss baby wangu mbele ya wakwe mara bwana harusi na bibi harusi nendeni mkacheze blues.... looohHata ya kwaito nnayo[emoji23][emoji23][emoji23]sijui lini ntacheza yangu