Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,045
- 10,329
Habari za jioni! mabibi na mabwana
Kama ilivyo desturi kipindi kama hiki wananchi wengi wa Tanzania hulia njaa na kuomba msaada wa chakula kwa Serikali .lakini mpaka sasa naona hali ya Chakula ni shwari nchi nzima na mvua za msimu zikiendelea kila kona ya nchi.
Nachukua fursa hii kuipongeza Serikali kwa kuchukua hatua kadhaa za kukomesha njaa hapa Nchini.
Kama ilivyo desturi kipindi kama hiki wananchi wengi wa Tanzania hulia njaa na kuomba msaada wa chakula kwa Serikali .lakini mpaka sasa naona hali ya Chakula ni shwari nchi nzima na mvua za msimu zikiendelea kila kona ya nchi.
Nachukua fursa hii kuipongeza Serikali kwa kuchukua hatua kadhaa za kukomesha njaa hapa Nchini.