Mwaka huu hakuna Njaa Tuipongeze Serikali ya CCM!

Hiyo satellite inawasaidia vipi wakaazi wa hili eneo? Sababu hapo napo ni Nairobi
images


Maneno meengi kumbe pumba tupu
Kupata tarifa zao pia itatumika kwenye tafiti za kilimo!!!
images (3).jpeg
cq5dam.web.320.225.jpg

!!!!!
 
Habari za jioni! mabibi na mabwana

Kama ilivyo desturi kipindi kama hiki wananchi wengi wa Tanzania hulia njaa na kuomba msaada wa chakula kwa Serikali .lakini mpaka sasa naona hali ya Chakula ni shwari nchi nzima na mvua za msimu zikiendelea kila kona ya nchi.
Nachukua fursa hii kuipongeza Serikali kwa kuchukua hatua kadhaa za kukomesha njaa hapa Nchini.

Kwa hiyo hizo mvua za msimu zinazoendelea nazo ni juhudi ya serikali? Zaidi ya hapo, sababu ni uwepo wa mvua au serikali?

Je, sio ile marufuku iliyotolewa?
 
ACHA UJINGA WEWE JIRANI ZETU HAWAPO TULIPO!!!!!!!!
Kenya imetengeneza setilaiti yake ya kwanza kabisa ambayo imepangiwa kurushwa anga za juu Machi mwaka huu.

Wahandisi kutoka chuo kikuu cha Nairobi, wakisaidiwa na maafisa kutoka shirika la anga za juu la Japan walitenengeza chombo hicho katika mradi uliogharimu zaidi ya dola milioni moja.

Setlaiti hiyo itatumika kuchunguza mienendo ya kilimo, pamoja na kuchunguza maeneo ya pwani ya taifa hilo.

Mwandishi wa BBC Tomi Oladipo anasema setilaiti hiyo ni ya umbo la mchemraba na ina ukubwa wa sentimita 10 mraba - hujulikana kama nano-setilaiti.
Japan ilitoa ufadhili na jukwaa la kuitengenezea lakini ni Wakenya wenyewe walioitengeneza.

Setlaiti hiyo itatumwa hadi Kituo cha Kimataifa cha Anga za Juu (ISS) mnamo mwezi Machi na kuzinduliwa rasmi kuizungukza dunia na roboti mwezi mmoja baadaye.

Hatua hiyo itaifanya Kenya kuwa miongoni mwa mataifa mengine saba barani Afrika yaliyo na setilaiti zinazoizunguka dunia.

Mataifa mengine ni Misri, Afrika Kusini, Morocco, Algeria, Nigeria, Mauritius na Ghana.

Kundi la wahandisi kutoka chuo kikuu cha Nairobi walioitengeza walikuwa kundi la kwanza kufaidika kutokana na mradi wa pamoja kati ya Umoja wa Mataifa na shirila la anga za juu la Japan unaolenga kuzisaidia taasisi za elimu kutoka mataifa yanayostawi kutengeneza setilaiti zao.
Sijakuelewa unamanisha nin uzi unazungumzia chakula wew unazungumzia satelaiti si uandae uzi wa kuipongeza satelaiti ya kenya

Chapili Tanzania ingewekeza kwenye satelaiti mgesema wananchi hawali satelaiti kama msemavyo kwenye reli, ndege nk
 
Ma CCM ni majinga sijawahi kuona..loh
Hawachelewi kusema...

"Tunaipongeza serikali ya ccm kwa sababu hakuna tetemeko bukoba mwaka huu"
 
Habari za jioni! mabibi na mabwana

Kama ilivyo desturi kipindi kama hiki wananchi wengi wa Tanzania hulia njaa na kuomba msaada wa chakula kwa Serikali .lakini mpaka sasa naona hali ya Chakula ni shwari nchi nzima na mvua za msimu zikiendelea kila kona ya nchi.
Nachukua fursa hii kuipongeza Serikali kwa kuchukua hatua kadhaa za kukomesha njaa hapa Nchini.

Serikali inatakiwa ipongezwe kwa haya yafuatayo:

1. Pale ambapo imeweza kuandaa inputs bora kwa wakulima,mbolea bora, mbegu bora, na extension services za kuaminika
2. Pale ambapo imeweza ku- regulate soko la mazao wakulima wakaweza kuuza mazao yao kwenye soko ambalo ni competitive
3. Pale ambapo imeweza kuimarisha infrastructure mazao yakaenda sokoni bila shida.
4. Pale ambapo imeweza kujenga miundo mbinu ya umwagiliaji maji mashambani li kilimo chetu kisiwe cha kutegemea mvua

Sasa tujiulize mazao ya chakula yaliopo nchini ni results ya haya au ni kwa bahati tu sababu mvua zilinyesha na wakulima wakapambana na hali zao?
 
Habari za jioni! mabibi na mabwana

Kama ilivyo desturi kipindi kama hiki wananchi wengi wa Tanzania hulia njaa na kuomba msaada wa chakula kwa Serikali .lakini mpaka sasa naona hali ya Chakula ni shwari nchi nzima na mvua za msimu zikiendelea kila kona ya nchi.
Nachukua fursa hii kuipongeza Serikali kwa kuchukua hatua kadhaa za kukomesha njaa hapa Nchini.

Ilikuwa HAKI na Kweli ungewapongeza wakulima waliolima,kwani serikali haina shamba na pembejeo serikali haitoi bure.Tusipende kusema uongo hata kwa vitu vyenye facts
 
Serikali inatakiwa ipongezwe kwa haya yafuatayo:

1. Pale ambapo imeweza kuandaa inputs bora kwa wakulima,mbolea bora, mbegu bora, na extension services za kuaminika
2. Pale ambapo imeweza ku- regulate soko la mazao wakulima wakaweza kuuza mazao yao kwenye soko ambalo ni competitive
3. Pale ambapo imeweza kuimarisha infrastructure mazao yakaenda sokoni bila shida.
4. Pale ambapo imeweza kujenga miundo mbinu ya umwagiliaji maji mashambani li kilimo chetu kisiwe cha kutegemea mvua

Sasa tujiulize mazao ya chakula yaliopo nchini ni results ya haya au ni kwa bahati tu sababu mvua zilinyesha na wakulima wakapambana na hali zao?

Huyo ni mfia chama kazi anayoijua ni kusujudu na kuabudu.Aliyetakiwa kupongezwa ni Mkulima anayelima kwa Jembe la mkono
 
Hata unaowapongeza wanaweza kukuchukia hoja dhaifu kama hii. Sirikali ilisema haileti majanga kama tetemeko au njaa hivyo haiwezi saidia wananchi iweje sasa ilete mvua ya kutosha mpaka ukaamu kupongeza!! Sijui TZ ya kesho itakuwaje maana hawa vijana uwezo wa kufikiri unaogofya!! Heri hata ungesema serikali ilihimiza walikulima walime mazao ya muda mfupi na yanayohimili ukame au kuzuia kuuza mazao nje ya nchi imesaidia mazao ya chakula kuendela kuwepo kwa wingi nchini japo kwa upande mwingine wananchi/wakulima wamepata hasara.

Mwanachama kama huyu hana faida ndani ya chama na taifa zaidi ya kura yake tu wakati kwa uchaguzi.!
 
Back
Top Bottom