Mwaka huu hakuna Njaa Tuipongeze Serikali ya CCM!

Lancashire

JF-Expert Member
Sep 20, 2014
14,045
10,329
Habari za jioni! mabibi na mabwana

Kama ilivyo desturi kipindi kama hiki wananchi wengi wa Tanzania hulia njaa na kuomba msaada wa chakula kwa Serikali .lakini mpaka sasa naona hali ya Chakula ni shwari nchi nzima na mvua za msimu zikiendelea kila kona ya nchi.
Nachukua fursa hii kuipongeza Serikali kwa kuchukua hatua kadhaa za kukomesha njaa hapa Nchini.
 
Habari za jioni! mabibi na mabwana

Kama ilivyo desturi kipindi kama hiki wananchi wengi wa Tanzania hulia njaa na kuomba msaada wa chakula kwa Serikali .lakini mpaka sasa naona hali ya Chakula ni shwari nchi nzima na mvua za msimu zikiendelea kila kona ya nchi.
Nachukua fursa hii kuipongeza Serikali kwa kuchukua hatua kadhaa za kukomesha njaa hapa Nchini.
Wakati njaa ilipokuwepo serikali ilikuwa ya chama gani!!!

Na ni wajibu wa serikali gani inayowajibika kuhakikisha njaa haipo nchini!!?

Ebu usitake kutujazia maandishi humu JF pasipo na hoja za msingi.
 
Tambua hakuna balance Kwa mkulima katumia hela nyingi kwenye pembejeo alafu gunia la mahindi elfu 30,000/ hapohapo still hautaki wauze njema ya nchi hence nchi ya viwonder
 
Habari za jioni! mabibi na mabwana

Kama ilivyo desturi kipindi kama hiki wananchi wengi wa Tanzania hulia njaa na kuomba msaada wa chakula kwa Serikali .lakini mpaka sasa naona hali ya Chakula ni shwari nchi nzima na mvua za msimu zikiendelea kila kona ya nchi.
Nachukua fursa hii kuipongeza Serikali kwa kuchukua hatua kadhaa za kukomesha njaa hapa Nchini.
Kwamba serekali ya CCM ndo imeleta nvua!!???.......
 
ACHA UJINGA WEWE JIRANI ZETU HAWAPO TULIPO!!!!!!!!
Kenya imetengeneza setilaiti yake ya kwanza kabisa ambayo imepangiwa kurushwa anga za juu Machi mwaka huu.

Wahandisi kutoka chuo kikuu cha Nairobi, wakisaidiwa na maafisa kutoka shirika la anga za juu la Japan walitenengeza chombo hicho katika mradi uliogharimu zaidi ya dola milioni moja.

Setlaiti hiyo itatumika kuchunguza mienendo ya kilimo, pamoja na kuchunguza maeneo ya pwani ya taifa hilo.

Mwandishi wa BBC Tomi Oladipo anasema setilaiti hiyo ni ya umbo la mchemraba na ina ukubwa wa sentimita 10 mraba - hujulikana kama nano-setilaiti.
Japan ilitoa ufadhili na jukwaa la kuitengenezea lakini ni Wakenya wenyewe walioitengeneza.

Setlaiti hiyo itatumwa hadi Kituo cha Kimataifa cha Anga za Juu (ISS) mnamo mwezi Machi na kuzinduliwa rasmi kuizungukza dunia na roboti mwezi mmoja baadaye.

Hatua hiyo itaifanya Kenya kuwa miongoni mwa mataifa mengine saba barani Afrika yaliyo na setilaiti zinazoizunguka dunia.

Mataifa mengine ni Misri, Afrika Kusini, Morocco, Algeria, Nigeria, Mauritius na Ghana.

Kundi la wahandisi kutoka chuo kikuu cha Nairobi walioitengeza walikuwa kundi la kwanza kufaidika kutokana na mradi wa pamoja kati ya Umoja wa Mataifa na shirila la anga za juu la Japan unaolenga kuzisaidia taasisi za elimu kutoka mataifa yanayostawi kutengeneza setilaiti zao.
 
Wakati njaa ilipokuwepo serikali ilikuwa ya chama gani!!!

Na ni wajibu wa serikali gani inayowajibika kuhakikisha njaa haipo nchini!!?

Ebu usitake kutujazia maandishi humu JF pasipo na hoja za msingi.
ni kweli wakati njaa ipo ilikuwa ni serikali ya CCM lakini kwa sasa pia njaa hakuna ni serikali ya CCM.penye pongezi tuseme jamani
 
Tumshukuru Mungu kwa mvua na wakulima kwa ulimaji. Mradi wa matrekta suma naona serikali hii haijaiwekea msisitizo.
ni kweli kabisa.lakini pia nadhani kitendo cha serikali kuzuia uuzwaji holela wa chakula nje ya mipaka yetu imesaidia kuzuia baa la njaa.
 
Tambua hakuna balance Kwa mkulima katumia hela nyingi kwenye pembejeo alafu gunia la mahindi elfu 30,000/ hapohapo still hautaki wauze njema ya nchi hence nchi ya viwonder
lengo la serikali ni jema kabisa. nje unaruhusiwa kuuza lakini utauza unga kama ni mahindi au mchele kama ni mpunga au mafuta kama ni mbegu za alizeti.lengo ni kukuza viwanda vya uchakataji ndani ya nchi. huko ndio kukuwa kwa viwanda.
 
ACHA UJINGA WEWE JIRANI ZETU HAWAPO TULIPO!!!!!!!!
Kenya imetengeneza setilaiti yake ya kwanza kabisa ambayo imepangiwa kurushwa anga za juu Machi mwaka huu.

Wahandisi kutoka chuo kikuu cha Nairobi, wakisaidiwa na maafisa kutoka shirika la anga za juu la Japan walitenengeza chombo hicho katika mradi uliogharimu zaidi ya dola milioni moja.

Setlaiti hiyo itatumika kuchunguza mienendo ya kilimo, pamoja na kuchunguza maeneo ya pwani ya taifa hilo.

Mwandishi wa BBC Tomi Oladipo anasema setilaiti hiyo ni ya umbo la mchemraba na ina ukubwa wa sentimita 10 mraba - hujulikana kama nano-setilaiti.
Japan ilitoa ufadhili na jukwaa la kuitengenezea lakini ni Wakenya wenyewe walioitengeneza.

Setlaiti hiyo itatumwa hadi Kituo cha Kimataifa cha Anga za Juu (ISS) mnamo mwezi Machi na kuzinduliwa rasmi kuizungukza dunia na roboti mwezi mmoja baadaye.

Hatua hiyo itaifanya Kenya kuwa miongoni mwa mataifa mengine saba barani Afrika yaliyo na setilaiti zinazoizunguka dunia.

Mataifa mengine ni Misri, Afrika Kusini, Morocco, Algeria, Nigeria, Mauritius na Ghana.

Kundi la wahandisi kutoka chuo kikuu cha Nairobi walioitengeza walikuwa kundi la kwanza kufaidika kutokana na mradi wa pamoja kati ya Umoja wa Mataifa na shirila la anga za juu la Japan unaolenga kuzisaidia taasisi za elimu kutoka mataifa yanayostawi kutengeneza setilaiti zao.
sasa mimi hapa naongelea satelite boss?
 
Wekeni akiba ya maneno nyinyi...
hakuna njaa mwaka huu boss. mwaka jana mwezi kama huu kuna njaa kali sana na gunia la mahindi ni 100.000 .leo gunia la mahindi ni 30.000 na mvua inamwagika nchi nzima.
 
ACHA UJINGA WEWE JIRANI ZETU HAWAPO TULIPO!!!!!!!!
Kenya imetengeneza setilaiti yake ya kwanza kabisa ambayo imepangiwa kurushwa anga za juu Machi mwaka huu.

Wahandisi kutoka chuo kikuu cha Nairobi, wakisaidiwa na maafisa kutoka shirika la anga za juu la Japan walitenengeza chombo hicho katika mradi uliogharimu zaidi ya dola milioni moja.

Setlaiti hiyo itatumika kuchunguza mienendo ya kilimo, pamoja na kuchunguza maeneo ya pwani ya taifa hilo.

Mwandishi wa BBC Tomi Oladipo anasema setilaiti hiyo ni ya umbo la mchemraba na ina ukubwa wa sentimita 10 mraba - hujulikana kama nano-setilaiti.
Japan ilitoa ufadhili na jukwaa la kuitengenezea lakini ni Wakenya wenyewe walioitengeneza.

Setlaiti hiyo itatumwa hadi Kituo cha Kimataifa cha Anga za Juu (ISS) mnamo mwezi Machi na kuzinduliwa rasmi kuizungukza dunia na roboti mwezi mmoja baadaye.

Hatua hiyo itaifanya Kenya kuwa miongoni mwa mataifa mengine saba barani Afrika yaliyo na setilaiti zinazoizunguka dunia.

Mataifa mengine ni Misri, Afrika Kusini, Morocco, Algeria, Nigeria, Mauritius na Ghana.

Kundi la wahandisi kutoka chuo kikuu cha Nairobi walioitengeza walikuwa kundi la kwanza kufaidika kutokana na mradi wa pamoja kati ya Umoja wa Mataifa na shirila la anga za juu la Japan unaolenga kuzisaidia taasisi za elimu kutoka mataifa yanayostawi kutengeneza setilaiti zao.
Unarusha satellite wakati kibera wanakufa njaa!!
 
ACHA UJINGA WEWE JIRANI ZETU HAWAPO TULIPO!!!!!!!!
Kenya imetengeneza setilaiti yake ya kwanza kabisa ambayo imepangiwa kurushwa anga za juu Machi mwaka huu.

Wahandisi kutoka chuo kikuu cha Nairobi, wakisaidiwa na maafisa kutoka shirika la anga za juu la Japan walitenengeza chombo hicho katika mradi uliogharimu zaidi ya dola milioni moja.

Setlaiti hiyo itatumika kuchunguza mienendo ya kilimo, pamoja na kuchunguza maeneo ya pwani ya taifa hilo.

Mwandishi wa BBC Tomi Oladipo anasema setilaiti hiyo ni ya umbo la mchemraba na ina ukubwa wa sentimita 10 mraba - hujulikana kama nano-setilaiti.
Japan ilitoa ufadhili na jukwaa la kuitengenezea lakini ni Wakenya wenyewe walioitengeneza.

Setlaiti hiyo itatumwa hadi Kituo cha Kimataifa cha Anga za Juu (ISS) mnamo mwezi Machi na kuzinduliwa rasmi kuizungukza dunia na roboti mwezi mmoja baadaye.

Hatua hiyo itaifanya Kenya kuwa miongoni mwa mataifa mengine saba barani Afrika yaliyo na setilaiti zinazoizunguka dunia.

Mataifa mengine ni Misri, Afrika Kusini, Morocco, Algeria, Nigeria, Mauritius na Ghana.

Kundi la wahandisi kutoka chuo kikuu cha Nairobi walioitengeza walikuwa kundi la kwanza kufaidika kutokana na mradi wa pamoja kati ya Umoja wa Mataifa na shirila la anga za juu la Japan unaolenga kuzisaidia taasisi za elimu kutoka mataifa yanayostawi kutengeneza setilaiti zao.
Hiyo satellite inawasaidia vipi wakaazi wa hili eneo? Sababu hapo napo ni Nairobi
images


Maneno meengi kumbe pumba tupu
 
Back
Top Bottom