Dennis Robert Shughuru
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 4,124
- 6,141
###Lengo la uzi halina kusudi la kuisema vibaya taasisi ya UDSM bali unaelezea LIFE EXPERIENCE###
Corona hiyo inaanza mwaka 2019 mwishoni inaenda weweee zinafanyika jitihada nyingi za kutengeneza dawa mda sisi nchi za afrika tumebakia kama onlookers zinafanikiwa mwaka 2021
Kwanin ilikuwa UDSM
JAMBO AMBALO LILINIKERA SANA NI PALE NCHI ZA AFRIKA TULIVYOAMBIWA TUSUBIRIE FUNGULIWA MBWA A.K.A CHANJO ZA MSAADA LILE LILIKUWA TUSI KUBWA SANA FEDHEHA KAMA HIZI ZITAENDELEA MPAKA LINI
Ni ukweli nchi za afrika tunategemea misaada za dawa za misaada mpaka sahivi tunategemea dawa za misaada ila kwangu mimi mwaka 2021 ilikuwa ni Rock bottom baada ya masimango mengi kutoka kwa nchi ambazo kuna kampuni zimetengeneza chanjo
Maswali ambayo nilijiuliza kwa uchungu mkubwa sana ndani yangu
JIBU LANGU NI TUNAWEZA KUTENGENEZA DAWA VIZURI TU
Mimi elimu yangu ni bachelor of science in Economics Mzumbe sina historia ya masomo ya science ila mara nyingi nilikuwa na curiosity juu ya mambo ya science
Nilitumia elimu niliyokuwa nayo kama nilivyosema nilikuwa na curiosity ya mambo ya science japokuwa sikusoma masomo ya science
Lengo la kwanza ni kujua njia za kutengeneza dawa kumbuka hii science kwa nchi kama Afrika tumekuwa tukitishiwa kwamba ni ngumu na inahitaji mtaji mkubwa
NI KWELI SCIENCE YA DAWA NI NGUMU KWANINI WAO WAMEWEZA BASI HATA SISI TUNAWEZA
Kwa hiyo kupitia huu uzi ambao nilishaupost nikaainisha njia zitumikazo kutengenezea dawa na huku nilishaupost na link ni hii hapa
www.jamiiforums.com
NILICHOKIONA UDSM
Niliwapelekea barua ya KUTENGENEZA DAWA YA CORONA kama nilivyosema ni ugonjwa uliosumbua dunia nzima alafu sisi kama nchi za kiafrika tupo tu hatufanyi chochote tunasubira wengine wapambane wafanikiwe alafu tupewe dawa kwa misaada nikasema hapana hii haiwezi kuendelea
MAMBO NILIYOJIFUNZA USDM BAADA YA KUONGEA NAO
NINI NILIFANYA BAADA YA KUTOKUJIBIWA NA KUKATALIWA
MIMI NAAMINI NI MTU SAHII WA KUWEKA MSINGI WA KUTENGENEZA DAWA HAPA TANZANIA SABABU HATA SISI TUNAWEZA
www.jamiiforums.com
Toeni mawazo ya kujenga na sio kuiponda taasisi ya udsm sio lengo la uzi karibuni
Corona hiyo inaanza mwaka 2019 mwishoni inaenda weweee zinafanyika jitihada nyingi za kutengeneza dawa mda sisi nchi za afrika tumebakia kama onlookers zinafanikiwa mwaka 2021
Kwanin ilikuwa UDSM
- UDSM wanatoa degree ya molecular biology hii ni moja ya msingi wa kutengeneza dawa
- UDSM wanatoa degree ya microbiology hii ni moja ya msingi wa kutengeneza dawa
- UDSM wana toa degree ya chemistry na physics hii ni moja ya msingi wa kutengeneza dawa
JAMBO AMBALO LILINIKERA SANA NI PALE NCHI ZA AFRIKA TULIVYOAMBIWA TUSUBIRIE FUNGULIWA MBWA A.K.A CHANJO ZA MSAADA LILE LILIKUWA TUSI KUBWA SANA FEDHEHA KAMA HIZI ZITAENDELEA MPAKA LINI
Ni ukweli nchi za afrika tunategemea misaada za dawa za misaada mpaka sahivi tunategemea dawa za misaada ila kwangu mimi mwaka 2021 ilikuwa ni Rock bottom baada ya masimango mengi kutoka kwa nchi ambazo kuna kampuni zimetengeneza chanjo
Maswali ambayo nilijiuliza kwa uchungu mkubwa sana ndani yangu
- Hii dhihaka itaendelea mpaka lini kwa nchi kama Tanzania na afrika nyingi kuendelea kuwa tegemezi wa dawa
- Hivi ni kweli tumeshindwa kutengeneza dawa
JIBU LANGU NI TUNAWEZA KUTENGENEZA DAWA VIZURI TU
Mimi elimu yangu ni bachelor of science in Economics Mzumbe sina historia ya masomo ya science ila mara nyingi nilikuwa na curiosity juu ya mambo ya science
Nilitumia elimu niliyokuwa nayo kama nilivyosema nilikuwa na curiosity ya mambo ya science japokuwa sikusoma masomo ya science
Lengo la kwanza ni kujua njia za kutengeneza dawa kumbuka hii science kwa nchi kama Afrika tumekuwa tukitishiwa kwamba ni ngumu na inahitaji mtaji mkubwa
NI KWELI SCIENCE YA DAWA NI NGUMU KWANINI WAO WAMEWEZA BASI HATA SISI TUNAWEZA
Kwa hiyo kupitia huu uzi ambao nilishaupost nikaainisha njia zitumikazo kutengenezea dawa na huku nilishaupost na link ni hii hapa
Zifahamu njia zitumikazo kutengeneza hizi dawa zinazouzwa pharmacy
Nikiwa Rais wa Tanzania kutakua na mpango wa kuzalisha dawa hapa Tanzania, je wajua njia za kutengeneza dawa??? Zifuatazo ni njia za kutengeneza dawa Kama nchi tutategeneze library kubwa itakayokuwa na chemical or compound zinazopatika kwenye nature na zinaposes unique features kama;- ENGULF...
NILICHOKIONA UDSM
Niliwapelekea barua ya KUTENGENEZA DAWA YA CORONA kama nilivyosema ni ugonjwa uliosumbua dunia nzima alafu sisi kama nchi za kiafrika tupo tu hatufanyi chochote tunasubira wengine wapambane wafanikiwe alafu tupewe dawa kwa misaada nikasema hapana hii haiwezi kuendelea
- Baada ya mda udsm wakaja wakajibu wakaniita nikaenda kuongea nao
- Mwanzoni ilikuwa ni ngumu kwa mtu niliyekutana naye kunielewa nisingependa kumtaja jina kwa sababu mimi sina background ya science, nina bachelor tu sina hata PHD au masters ya mambo ya science niliongea nae baadae akanikabidhi kwa mtu mwingine ambaye ni wa chini yake kwenye department flani nisingependa kuitaja jina
- Nilienda kwa yule mtu tukaongea sana akanionyesha project na paper walizokuwa wanaandika tuliongea mambo mengi ila baadae akaniambia atanirecommend ili niitwe kwa kupigiwa simu tuangalie tunafanyaje na tunaanzaje kwa hiyo ntajibiwa kwa kupigiwa simu ila hawakuwahi kunitafuta mpaka leo
MAMBO NILIYOJIFUNZA USDM BAADA YA KUONGEA NAO
- Msisitizo mkubwa wa udsm na vyuo vingi vya Tanzania na Afrika ni kuona paper zao zinachapishwa kwenye journal za wazungu binafsi naona huu ni aina nyingine ya utumwa wa kifikra ambao unatakiwa ukomeshwe kwanini tusiwe na journal zetu
- Udsm miradi ya kuhusu dawa imejikita sana kwenye eneo la DRUG REPOSITIONING binafsi naamini mtu au taasisi iliyojikita kwenye DRUG REPOSITIONING ni wavivu na pia ni kutaka kutumia shortcut kitu ambacho kwangu mimi sion ni sahii
- Udsm kama zilivyotaasisi nyingi sana za Tanzania na Afrika zinakosa uthubutu wa kufanya yale wanayofanya wazungu kwenye hii case ni swala la kutengeneza dawa ya Corona. Na kwa aina ya fikra na mtazamo ambayo ipo usdm na taasisi nyingi AFRIKA ni ngumu sana kama nchi kufanya mambo makubwa
NINI NILIFANYA BAADA YA KUTOKUJIBIWA NA KUKATALIWA
- Nilikuwa disappointed sana nikajiuliza ni watu wangapi mawazo yao yamekataliwa na wamekata tamaa jibu ni wengi sipo pekee yangu na wengi wataendelea kukataliwa
- Niliwaza kwenda nje ya nchi ili kutimiza ndoto zangu, ni ukweli usiopingika wengi wameondoka na wako nje ya nchi baada ya kuwa na disappointed sana na mambo ambayo yanafanywa na taasisi nyingi za Afrika
- Lakin nikawaza sasa kama kila ukishindwa unawaza kwenda nje ya nchi sasa hii nchi siitabaki hivi hivi mambo yatakuwa ni haya haya ni dhahiri kuna-hitajika akili mpya na fikra mpya ambazo zitaitoa nchi hapa na kuwapa uthubutu wa kufanya mambo makubwa mbona na wao wameweza
MIMI NAAMINI NI MTU SAHII WA KUWEKA MSINGI WA KUTENGENEZA DAWA HAPA TANZANIA SABABU HATA SISI TUNAWEZA
Support hustle zangu mimi Rais mtarajiwa wa Tanzania
Maandalizi na mchakato wa kuwa Rais wa Tanzania yanaendelea at the same time harakati za kutafuta rizki zinaendelea in-short maisha lazima yaendelee JAMANI NAOMBA MNIUNGISHE Historia nzuri ni ile inayoandikwa in an ugly way, and awkward way 👇👇👇👇👇👇👇👇 Kwenye historia ya Tanzania ntakumbukwa kuwa...
Toeni mawazo ya kujenga na sio kuiponda taasisi ya udsm sio lengo la uzi karibuni