mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 22,312
- 55,973
1. Africa ya Kusini kabla ya Mandela kuwa huru ilikuwa na uchumi unaotisha na timu kali ( bafanabafana ),baada ya waafika kushika dola uchumi hauridhishi na timu imebaki jina.
2. Wachezaji wa soka toka Africa kama Yaya Toure,Drogba,Etoo nk utawajua ni wachezaji wakiwa ulaya wakija kuchezea timu zao za Afrika si lolote si chochote.
3. Zimbabwe kabla ya uhuru ilikuwa kama London mliofika Harare mtaona mitaa yake ilivyo sasa si lolote si chochote
4. Tanzania kiwanda cha bia na sigara vilitaka kufa baada ya wazungu kuvichukua vinaongoza kwa kulipa kodi
5. Reli zote za Tanzania ,(tazara mchina)majengo mazuri ya serikali kando ya bahari ya hindi including ikulu na Oysterbay ni kazi ya wazungu.
6. Chaguzi zote za kidemokrasia huwa zinapata bajeti toka kwa wazungu.
7. Wasomi wazuri wa Africa wengi wao waliwahi kwenda nje ya nchi kujiendeleza kielimu.
8. Karne ya kumi na tano Africa na Ulaya vilikuwa sana kiuchumi na kitechnolojia leo ni mbingu na ardhi
Hitimisho
Kwa vile katiba zetu zinaandaliwa na waafika wenyewe si lolote si chochote.
2. Wachezaji wa soka toka Africa kama Yaya Toure,Drogba,Etoo nk utawajua ni wachezaji wakiwa ulaya wakija kuchezea timu zao za Afrika si lolote si chochote.
3. Zimbabwe kabla ya uhuru ilikuwa kama London mliofika Harare mtaona mitaa yake ilivyo sasa si lolote si chochote
4. Tanzania kiwanda cha bia na sigara vilitaka kufa baada ya wazungu kuvichukua vinaongoza kwa kulipa kodi
5. Reli zote za Tanzania ,(tazara mchina)majengo mazuri ya serikali kando ya bahari ya hindi including ikulu na Oysterbay ni kazi ya wazungu.
6. Chaguzi zote za kidemokrasia huwa zinapata bajeti toka kwa wazungu.
7. Wasomi wazuri wa Africa wengi wao waliwahi kwenda nje ya nchi kujiendeleza kielimu.
8. Karne ya kumi na tano Africa na Ulaya vilikuwa sana kiuchumi na kitechnolojia leo ni mbingu na ardhi
Hitimisho
Kwa vile katiba zetu zinaandaliwa na waafika wenyewe si lolote si chochote.