Kwenye siasa ukisimamia msimamo bila kuyumba utaingia msituni. Kama kufanya hivyo kutasaidia kuwafanya madiwani wafanye kazi sioni kama Mbowe amekosea
unaweza kutujuza source ya taarifa yako mkuu, tafadhaliHatimae ule utata wa meya ulio sababisha watu watatu kupteza maisha umepatiwa ufumbuzi baada ya mazungumzo yaliyokuwa yakifanywa na Waziri mkuu na Freeman Mbowe, kufikia mwafaka kuwa madiwa wakae wakubaliane ndipo leo walipo kaa madiwa wakafikia wamfaka kama ifatavyo...
Meya Gaundence Lyimo CCM
Naibu Meya Mallah CDM alipata kura 22 kati ya 25...2 zilisema hapana na 1 iliharibika
Kamati ya Uchumi na Elimu Bayo CDM
Kamati ya Fedha Lyimo TLP
soma kwenye thread...Uchaguzi umefanyika na Mallah akapata kura 22 kati ya 25 na kwenye kamati ya Uchumi na Elimu alie changuliwa mwezi wa 12 aliondolewa na kuchanguliwa John Bayo....
Mkuu mawazo yako ni sawa ya wengi na niliwauliza wakasema huu ni mwanzo tulimalize kwanza hili kumbuka hata budget haijapitishwa na madiwani....tuwaachie tuone mipango yaoTaratibu zilivunjwa, CCM walipora demokrasia. Ushindi wa mezani ni uzandiki. Tunataka uchaguzi mpya wa Meya ili kuilinda Demokrasia. Damu za waliokufa zinathamani kubwa. Lazima serikali ya CCM iwalipe ndugu wa marehemu na watoto wao fidia stahiki na waombe umma msamaha kwa kuuwa wananchi bila hatia.
Chadema bwana kwa hiyo mmejifariji?
we spika wa redio acha kumwandama kamanda wetu.So tatizo ilikua ni kupata nafasi za uongozi tuna sio mchakato wa uchaguzi kubakwa? shame on mbowe,you can't stand for what is right!Yaani hii itatumika kisiasa dhidi yenu kwamba "mna uchu wa madaraka"hadi mjute,Am watching
kojoa ukalaleKumbe kura hazikuibiwa na mshindi alikuwa halali! Sasa ilikuwaje? Mlikuwa mnatafuta umaarufu tu! CDM Mnashangaza!
So tatizo ilikua ni kupata nafasi za uongozi tu
na sio mchakato wa uchaguzi kubakwa?
shame on mbowe,you can't stand for what is right!
Yaani hii itatumika kisiasa dhidi yenu kwamba "mna uchu wa madaraka"
hadi mjute,
Am watching
Gaudence Lyimo