Mwacheni Mungu aitwe Mungu

Mwacheni Mungu aitwe Mungu

Kwani kuna mahali popote nimetaja jina la mtu?

Mkuu, ndo mana kuna pronouns, adjectives n.k ambazo huweza kusimama badala ya nouns, narudia kunukuu

"Binafsi mimi najua kuwa
mwendawazimu ndie
anaebisha au kufanya jambo
bila kuwa na sababu
yoyote!"

Katika maelezo yako, huyo mwendawazimu na anayebisha, ni watu hata kama hujawataja majina.

Sasa tukija kujiuliza ni nan anabisha, tunawajua including Dreadnought
 
Last edited by a moderator:
Wewe si ulikuwa unataka nikuoneshe mambo ya ajabu niliyosema unaandika?

Ndio, na mim nikakwambia hakuna cha ajabu nlichoandika, kama ni cha ajabu basi onesha relevance ya mfano wako ili kuthibitisha kwamba nlichoandika ni cha ajabu.
 
Umenifanya nicheke mpaka nimehisi njaa!!!!
Khaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Sasa rekebisha hiyo signature yako hapo chini. Grammatical/syntactical mistake...Halafu ukiishairekebisha sasa jaribu kuiishi hiyo signature uone kama hutaelewa mjadala huu, na mingine.
 
Halafu unakuta jitu zima halijishughulishi kazi kukalisha tu linategemea kupita bar kuja kuomba... mwenyez mungu amzidishie
 
Umenifanya nicheke mpaka nimehisi njaa!!!!
Khaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mdau wa pili huyo anakwambia mfano Irrevant na mjadala, halafu unaishia kucheka,

Narudia tena, onesha relevance ya mfano wako Eiyer kama hutaki, bas kubali umeshindwa kama ulivyoshindwa kuthibitisha uwepo wa Mungu unayemuamini na maandiko yake umeyafanyia utafiti.
 
Last edited by a moderator:
Yaani wewe sijui umekurupukia wapi

Ukute watu wanaongea kuhusu jambo fulani kutokea halafu uwakatalie kutokea kwa jambo hilo bila kuwa na uthibitisho wowote halafu ujione ni mzima?

Ukishasema kwamba "watu wanaongea kuhusu jambo fulani kutokea" ujue tayari hao watu wana mzigo wa ku prove kwamba hilo jambo limetokea.

Let's say anakuja mtu kama Nyani Ngabu , ambaye yeye ni agnostic. Hasemi kwamba mungu yupo wala hayupo. Anakusanya habari tu. Kwa hiyo huyu hana mzigo wa ku prove chochote kwa sababu hasemi kwamba mungu yupo au hayupo.

Anawasikia mnaongea kwamba mungu yupo, which equals "jambo fulani limetokea".

Hawapingi, anataka mumpe ushahidi ajiridhishe kwamba mungu yupo.

Utampa yeye burden of proof?

Utampaje mtu burden of proof kwa kuuliza tu bila kuchukua position, ha propose chochote, anauliza tu ili ajue.

Sasa Nyani Ngabu the agnostic akikuuliza umpe proof ya kuwepo kwa mungu utasemaje?
 
Last edited by a moderator:
Let's say anakuja mtu kama Nyani Ngabu , ambaye yeye ni agnostic. Hasemi kwamba mungu yupo wala hayupo.

Inawezekana wewe na wenzako huwa hamsomi ninachoandika au mnasoma halafu hamuelewi

Kama nyie mngekuwa mnasema hamjui kama Mungu yupo au hayupo hapo ningewaelewa
Lakini huyo Nyani Ngabu,wewe, na wengine mmekuwa mkisema Mungu hayupo
Hapa ndipo nilipowauliza mna ushahidi gani kuwa hayupo?

Hamjanijibu hadi leo!

Mtu anaposema jambo fulani au kitu fulani kipo halafu wewe ukaja na kusema hakipo utaulizwa ni kwanini unadai hakipo
Kama vile watu nyakati za nyuma walivyokuwa wanadai kuwa dunia ni flat halafu wakaja wengine kudai kuwa dunia sio flat,ilibidi waseme ni kwanini sio flat sio kudai tu kuwa sio flat bila kuwa na sababu!
 
Mdau wa pili huyo anakwambia mfano Irrevant na mjadala, halafu unaishia kucheka,

Narudia tena, onesha relevance ya mfano wako Eiyer kama hutaki, bas kubali umeshindwa kama ulivyoshindwa kuthibitisha uwepo wa Mungu unayemuamini na maandiko yake umeyafanyia utafiti.

Utatumia muda mwingi sana kuelewa ninachosema!!
 
Sasa rekebisha hiyo signature yako hapo chini. Grammatical/syntactical mistake...Halafu ukiishairekebisha sasa jaribu kuiishi hiyo signature uone kama hutaelewa mjadala huu, na mingine.

Hiki ndicho tunachokizungumzia hapa!
 
Mkuu, ndo mana kuna pronouns, adjectives n.k ambazo huweza kusimama badala ya nouns, narudia kunukuu

"Binafsi mimi najua kuwa
mwendawazimu ndie
anaebisha au kufanya jambo
bila kuwa na sababu
yoyote!"

Katika maelezo yako, huyo mwendawazimu na anayebisha, ni watu hata kama hujawataja majina.

Sasa tukija kujiuliza ni nan anabisha, tunawajua including Dreadnought

Kama umeamua kujiweka wewe mwenyewe kwenye kundi hilo na kukiri kuwa unabisha bila kuwa na ushahidi wa kubisha sasa mimi nahusikaje hapo?
 
Ndio, na mim nikakwambia hakuna cha ajabu nlichoandika, kama ni cha ajabu basi onesha relevance ya mfano wako ili kuthibitisha kwamba nlichoandika ni cha ajabu.

Wewe uliuliza cha ajabu nilichokiona nikakuonesha
Nadhani tuachane na hili

Turudi kwenye mada!!!!!!!
 
Lakini huyo Nyani Ngabu,wewe, na wengine mmekuwa mkisema Mungu hayupo
Hapa ndipo nilipowauliza mna ushahidi gani kuwa hayupo?

Yaani we jamaa sijui hata nikuweke kwenye kundi gani tu!

Niseme mara ngapi kwamba mimi ni agnostic? Maswali mengi waliyonayo atheists hata mimi ninayo na ndiyo maana sipishani sana na Kiranga kwenye kuhoji huo uwepo wa mungu.

Sasa nadhani labda hicho ndo kinacho kuchanganya wewe. Mimi siyo atheist. Ni agnostic. Unajua maana ya agnosticism wewe?

Sikatai kabisa uwepo wa mungu na wala sisemi yupo. Wewe nipe ushahidi utakaonishawishi nichukue msimamo madhubuti wa yupo ama hayupo.
 
Last edited by a moderator:
Wao ndo wameanza kukanusha sijakataa.

Je wameonesha uthibitisho wa wao kubisha?

Ila wewe umewabishia pasi na uthibitisho, ungeaza wewe kuprove kwamba Mungu yupo, sasa wewe ndo ukawaambia waprove,

Mh!!!

Hiv unawezaje prove kitu ambacho hakipo? Huwezi kukisense by the five sense organs, hw can u prove it?

Na hapa ndipo shida inapoanzia
Umejuaje hakipo?
Kwa ushahidi upi?
Nipe ushahidi wa kutokuwepo hicho unachodai hakipo!
 
Yaani we jamaa sijui hata nikuweke kwenye kundi gani tu!

Niseme mara ngapi kwamba mimi ni agnostic? Maswali mengi waliyonayo atheists hata mimi ninayo na ndiyo maana sipishani sana na Kiranga kwenye kuhoji huo uwepo wa mungu.

Sasa nadhani labda hicho ndo kinacho kuchanganya wewe. Mimi siyo atheist. Ni agnostic. Unajua maana ya agnosticism wewe?

Sikatai kabisa uwepo wa mungu na wala sisemi yupo. Wewe nipe ushahidi utakaonishawishi nichukue msimamo madhubuti wa yupo ama hayupo.

Unazikumbuka hizi kauli zako?

Kitu ambacho hakipo kitakuwaje na ushahidi wa uwepo wake au kutokuwepo kwake?

Kitu ambacho hakipo ni hakipo tu.
 
Unazikumbuka hizi kauli zako?

Aahahahahahahaaaaaaaaaa:becky::becky::becky::becky::becky:

Ndiyo maana jana Kiranga akalazimika kuweka kwenye parandesi 'for argument's sake' karibu kama mara nne au tano hivi ili uelewe pasipo shaka alichokuwa kakiandika.

Umenichekesha kweli leo wewe.

Hivi hata unaelewa nini maana ya 'for argument's sake'? Je, unajua kusoma context na kuelewa jambo ambalo mtu kaandika kwa ujumla wake?
 
Aahahahahahahaaaaaaaaaa:becky::becky::becky::becky::becky:

Ndiyo maana jana Kiranga akalazimika kuweka kwenye parandesi 'for argument's sake' karibu kama mara nne au tano hivi ili uelewe pasipo shaka alichokuwa kakiandika.

Umenichekesha kweli leo wewe.

Hivi hata unaelewa nini maana ya 'for argument's sake'? Je, unajua kusoma context na kuelewa jambo ambalo mtu kaandika kwa ujumla wake?

Binadamu ana viroja vyake
Kama umechemka si unakuwa mkweli tu?

Unazua mambo yasiyokuwepo

Muungwana hukiri kuchemka sio kukesha akitetea mambo ya ajabu kama haya!

Eti "for argument sake"
Khaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Binadamu ana viroja vyake
Kama umechemka si unakuwa mkweli tu?

Unazua mambo yasiyokuwepo

Muungwana hukiri kuchemka sio kukesha akitetea mambo ya ajabu kama haya!

Eti "for argument sake"
Khaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Eeh, haya bana.

I give up.
 
Ulichokiandika kina mantiki fulani ila mimi ninaweza kusema labda Mungu anawaumba hawa vilema ili utukufu/matendo yake makuu yaweze kuonekana au unasemaje?

Ni mambo kama haya ndiyo yanayofanya watu tutambue uwepo wa Mungu. Pasingekuwa na watu kama hawa kila kitu kingekuwa sawa hakuna mtu ambaye angemkumbuka Mungu.

Cc; Kiranga.

Kuhani mkuu Nebuchadnezzar, mwache huyo mweye imani haba asikufanye nawe ukamkufuru Muumba wa vitu vinavyoonekana na visvyoonekana. Tujaribu kutafakari uumbaji wetu matumboni mwa mama zetu baada ya kujamiiana na baba zetu! Kuzaliwa kwetu,kukua hata kufa! Kuna mambo mengi ya kuustajabia utukufu wa Mungu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom