Mwacheni Mungu aitwe Mungu

Mwacheni Mungu aitwe Mungu

Inawezekana wewe na wenzako huwa hamsomi ninachoandika au mnasoma halafu hamuelewi

Don't flatter yourself, hatuwezi kuelewa kitu ambacho hakieleweki to begin with, you put garbage in, you get garbage out, tutaelewaje?

Wewe mtu signature yako mwenyewe inakusuta, inasema "Sane people doubts" (sic), and I might add "insane people believe with no doubt".

Watu sane wakija ku doubt na kuuliza maswali relevant wewe unawakejeli?

Kama nyie mngekuwa mnasema hamjui kama Mungu yupo au hayupo hapo ningewaelewa

Nyani Ngabu as an agnostic is of this position, umeshindwa kumjibu maswali hayahaya.

Lakini huyo Nyani Ngabu,wewe, na wengine mmekuwa mkisema Mungu hayupo

You don't understand the meaning of "for arguments sake". Let's say mimi nakuja kama agnostic, sijui kama mungu yupo au hayupo, wewe unasema mungu yupo, nakwambia nipe ushahidi kama yupo ili na mimi niamini hivyo, utasemaje?

Hapa ndipo nilipowauliza mna ushahidi gani kuwa hayupo?

Kitu ambacho hakipo hakina ushahidi kwamba hakipo. Kwa sababu hakipo.

Nikikuambia unipe ushahidi kwamba juu ya mlima Kilimanjaro hakuna ukoo wa Wachagga wenye miguu mitatu na macho matatu utaweza kunipa ushahidi huo?

Hamjanijibu hadi leo!

Umejibiwa mara lukuki, umejibiwa Kiingereza, ukasema wewe Maimuna huelewi Kiingereza, ukaomba tafsiri, ukatafsiriwa Kiswahili, sasa unataka nini? ujibiwe kilugha cha kabila lenu?

Mtu anaposema jambo fulani au kitu fulani kipo

Anakuwa na mzigo wa kukithibitisha kwamba kipo

halafu wewe ukaja na kusema hakipo utaulizwa ni kwanini unadai hakipo

Kwa sababu hakijathibitishwa kuwepo.

Mtu akiniambia kuna Ukoo wa Wachagga wenye miguu mitatu na macho matatu wanakaa juu ya mlima Kilimanjaro, yeye ndiye mwenye mzigo wa kunionyesha ushahidi, mimi kama siamini, kazi yangu ya kukamilisha kubisha ni ndogo tu, ni kumwambia "nioneshe uthibitisho". Kama hajanionesha uthibitisho kwa nini niamini kwamba ukoo huu upo?


Kama vile watu nyakati za nyuma walivyokuwa wanadai kuwa dunia ni flat

Ambao walikuwa na sababu zao kusema hivyo.

halafu wakaja wengine kudai kuwa dunia sio flat,

Hawakusema kwamba dunia hai exist, walisema dunia si flat ni round. Big difference. Unachanganya madawa.

Sisi hatusemi kwamba mungu wako flat si wa kweli, mungu wetu mviringo ndiye wa kweli.

Tukisema hivyo utatudai uthibitisho wa mungu mviringo na itabidi tuuoneshe.

Sisi tunasema mungu hayupo. Tutatoaje uthibitisho kwamba kitu hakipo ilhali hakipo?

Wewe unaweza kutoa uthibitisho kwamba ukoo wa Wachagga wenye miguu mitatu na macho matatu haupo juu ya mlima Kilimanjaro?

Ndiyo kazi unayotupa hapa. Anayesema huu ukoo upo ndiye anatakiwa kuthibitisha hilo, anayesema haupo hahitaji kuthibitisha chochote, anahitaji ku challenge tu apewe uthibitisho.

ilibidi waseme ni kwanini sio flat sio kudai tu kuwa sio flat bila kuwa na sababu!

Once again you are proving to be the undisputed king of bad analogies.
 
Kuhani mkuu Nebuchadnezzar, mwache huyo mweye imani haba asikufanye nawe ukamkufuru Muumba wa vitu vinavyoonekana na visvyoonekana. Tujaribu kutafakari uumbaji wetu matumboni mwa mama zetu baada ya kujamiiana na baba zetu! Kuzaliwa kwetu,kukua hata kufa! Kuna mambo mengi ya kuustajabia utukufu wa Mungu!

Unajuaje mungu anahusika?
 
Na hapa ndipo shida inapoanzia
Umejuaje hakipo?
Kwa ushahidi upi?
Nipe ushahidi wa kutokuwepo hicho unachodai hakipo!

Mkuu Eiyer kuna milango mitano ya fahamu katika miili yetu, kwa hiyo ili utambue kuwa kitu kipo, lazima hicho kitu kiweze kutumbuliwa na mlango wa fahamu mmoja au zaidi ya mmoja,

Mfano, ukisikie au ukione au ukinuse au ukishike n.k

Sasa ushahid rahis wa kwamba Mungu hayupo ni kwamba Mungu haonekani, hasikiki, hashikiki n.k yaan God can not be sensed by the five sense organs so he/she/it doesnt exist.
 
Last edited by a moderator:
Eeh, haya bana.

I give up.

Kila nikikutana na hii post yako unanikumbusha jamaa yangu mmoja

Huyu jamaa kila wakati kwenye mijadala mbalimbali alipokuwa anazidiwa kwa hoja alikuwa najitetea kwa kusema "mimi nilikuwa nasema kwa mfano ingekuwa hivyo na sio kweli nilikuwa namaanisha"

Kila nikiongea nae kwenye simu huwa namkumbushai nae hubaki kucheka tu!!!!
 
Mkuu Eiyer kuna milango mitano ya fahamu katika miili yetu, kwa hiyo ili utambue kuwa kitu kipo, lazima hicho kitu kiweze kutumbuliwa na mlango wa fahamu mmoja au zaidi ya mmoja,

Mfano, ukisikie au ukione au ukinuse au ukishike n.k

Sasa ushahid rahis wa kwamba Mungu hayupo ni kwamba Mungu haonekani, hasikiki, hashikiki n.k yaan God can not be sensed by the five sense organs so he/she/it doesnt exist.

Unazidi kujiongezea maswali ndugu yangu

Nani amekuambia Mungu hasikiki?
Kuona wewe unakujua ni kwa namna gani?
Kushika ni kukoje?
 
Unazidi kujiongezea maswali ndugu yangu

Nani amekuambia Mungu hasikiki?
Kuona wewe unakujua ni kwa namna gani?
Kushika ni kukoje?

Mungu hasikiki, kama una ushahid wa Mungu kusikika naokoka leo.

Kuona ninakokujua mim ni kuona kwa macho, kwa sababu katika mwili wa binadamu macho ndo organ pekee inayohusika na kuona.

Kushika nazungumzia kugusa, hapa sense organ inakuwa ngozi.

Nimekujibu maswali yako, na wewe nipe ushaid wa Mungu kusikika, au kushikika.
 
Mungu hasikiki, kama una ushahid wa Mungu kusikika naokoka leo.

Kuona ninakokujua mim ni kuona kwa macho, kwa sababu katika mwili wa binadamu macho ndo organ pekee inayohusika na kuona.

Kushika nazungumzia kugusa, hapa sense organ inakuwa ngozi.

Nimekujibu maswali yako, na wewe nipe ushaid wa Mungu kusikika, au kushikika.

Mwambie amrekodi amuweke kwenye mp3 na kuipost online.

Otherwise psychedellic hallucinations do not count as "the voice of god".

Ingekuwa hivyo mateja wangekuwa mitume.
 
Huyu jamaa kila wakati kwenye mijadala mbalimbali alipokuwa anazidiwa kwa hoja alikuwa najitetea kwa kusema "mimi nilikuwa nasema kwa mfano ingekuwa hivyo na sio kweli nilikuwa namaanisha"

Kuna wakati mtu anaweza akaacha kubishana na wewe kwa sababu hujui unachobishania na wewe ukajiona umeshinda kwa hoja kumbe wapi.
 
Kijana ana mkono mmoja lakini anaweza kujituma kufanya kazi kujipatia kipato halali. Kwa kazi anazofanya anaweza kuwahudumia wazazi wake ambao ni wazee kwa sasa.


mkuu kweli mungu ni wa ajabu...mfano hyu jamaa mwingine hana mikono wala miguu, lakini mambo mengi anayafanya mwenyewe na ana hela huyu mshikaji........ utampata kwa www.attitudeisaltitude.com

shot0022.png
 
Last edited by a moderator:
Don't flatter yourself, hatuwezi kuelewa kitu ambacho hakieleweki

Na hii ni for the sake of argument?


Wewe mtu signature yako mwenyewe inakusuta, inasema "Sane people doubts" (sic), and I might add "insane people believe with no doubt".

Haya wewe ambae ni sane,ushahidi wako uko wapi?

Watu sane wakija ku doubt na kuuliza maswali relevant wewe unawakejeli?

Mh!!!!!



Nyani Ngabu as an agnostic is of this position, umeshindwa kumjibu maswali hayahaya.

Realy?



You don't understand the meaning of "for arguments sake". Let's say mimi nakuja kama agnostic, sijui kama mungu yupo au hayupo, wewe unasema mungu yupo, nakwambia nipe ushahidi kama yupo ili na mimi niamini hivyo, utasemaje?

Hakuna aliyesema hivi,hii for argument sake thing mmeileta kama scape goat tu,kuanzia mwanzo wa mjadala hakukua na hii kitu
You pamoja na wenzako mmekuja hapa na kuanza kukataa uwepo wa Mungu,kwa tabia yenu hii kutakuwa hakuna haja ya kuwepo na mjadala,tutakuwa tunapoyeza muda na kujaza sever za JF bila maana yoyote!



Kitu ambacho hakipo hakina ushahidi kwamba hakipo. Kwa sababu hakipo.

"For argument sake"

Nikikuambia unipe ushahidi kwamba juu ya mlima Kilimanjaro hakuna ukoo wa Wachagga wenye miguu mitatu na macho matatu utaweza kunipa ushahidi huo?

Nani amesema wapo au hawapo?



ukasema wewe Maimuna huelewi Kiingereza,

Kwisha habari yako
Povu linaanza kukutoka kwa kusema uongo
Nani amesema hayo kijana?
Leta ushahidi wa mimi kusema hayo
Ukikosa unitake radhi!
CC MaxShimba !!!!!!!!
Hawakusema kwamba dunia hai exist, walisema dunia si flat ni round. Big difference. Unachanganya madawa.

Sisi hatusemi kwamba mungu wako flat si wa kweli, mungu wetu mviringo ndiye wa kweli.

Tukisema hivyo utatudai uthibitisho wa mungu mviringo na itabidi tuuoneshe.

Hapa tutakesha na watu hawa wanaojiita "sane"

Sisi tunasema mungu hayupo. Tutatoaje uthibitisho kwamba kitu hakipo ilhali hakipo?

"For argument sake"

Wewe unaweza kutoa uthibitisho kwamba ukoo wa Wachagga wenye miguu mitatu na macho matatu haupo juu ya mlima Kilimanjaro?

Huu uchafu wako kamtafute aliyesema umdai uthibitisho!!

Ndiyo kazi unayotupa hapa. Anayesema huu ukoo upo ndiye anatakiwa kuthibitisha hilo, anayesema haupo hahitaji kuthibitisha chochote, anahitaji ku challenge tu apewe uthibitisho.

Nani huyo?
Hivi umeona hii kitu ni muhimu sana hapa?
Unarudia rudia bila kutuambia ni nani amesema kuhusu hawa watu kuwepo au kutokuwepo kwao,wewe vipi?



Once again you are proving to be the undisputed king of bad analogies.

Thank you!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Mungu hasikiki, kama una ushahid wa Mungu kusikika naokoka leo.

Kuona ninakokujua mim ni kuona kwa macho, kwa sababu katika mwili wa binadamu macho ndo organ pekee inayohusika na kuona.

Kushika nazungumzia kugusa, hapa sense organ inakuwa ngozi.

Nimekujibu maswali yako, na wewe nipe ushaid wa Mungu kusikika, au kushikika.

Unaamini WEWE ni mwili?
Ukinijibu hili swali tutaendelea!
 
Mwambie amrekodi amuweke kwenye mp3 na kuipost online.

Otherwise psychedellic hallucinations do not count as "the voice of god".

Ingekuwa hivyo mateja wangekuwa mitume.


You can't say something is psychedellic hallucinations without proof

Labda uwe na huo uthibitisho!
 
Unaamini WEWE ni mwili?
Ukinijibu hili swali tutaendelea!

Hakuna kiumbe anayeitwa mwili. mimi ni binadamu ila nina mwili ndio.

Haya naomba unijibu maswali yangu Eiyer
 
Last edited by a moderator:
Na hii ni for the sake of argument?

Everything is for the sake of argumet to sane people, that's why sane people doubt.

Haya wewe ambae ni sane,ushahidi wako uko wapi?

I'm not only sane, I'm insanely sane. Ushahidi wangu ni kwamba hamna ushahidi, ukinionesha ushahidi utaondoa ushahidi wangu.


Utaguna sana mwaka huu.


"Realy" [sic] is not a word.Simple spelling tu issue, unataka kwenda kwenye cosmogony, theology na eschatology?

Hakuna aliyesema hivi,hii for argument sake thing mmeileta kama scape goat tu,kuanzia mwanzo wa mjadala hakukua na hii kitu

If sane people doubt, something which you brought here in your signature, then nothing is out of the bounds of argument. Every statement you make as a fact is predicated by the supposition that some axiomatic truths are actual. I am not sure you can understand that on your first read, based on your birdbrained input here.If necessary reread, or have someone to help you understand.

Judging from some of your "post hoc ergo procter hoc" non arguments that are inherently "non sequitur" and liberally dispensed with hardly any doubt, either you are not sane or you do not understand your own signature.

Of course it is entirely possible that you do not understand your own signature because you are not sane, hence both propositions A and B are true.

You pamoja na wenzako mmekuja hapa na kuanza kukataa uwepo wa Mungu,

Unapokataa kitu hujaanza kitu, una negate kitu kilichoanzishwa. Anayekataa hajaanzisha, anayekataliwa ndiye aliyeanzisha.

kwa tabia yenu hii kutakuwa hakuna haja ya kuwepo na mjadala,tutakuwa tunapoyeza muda na kujaza sever za JF bila maana yoyote!

Kwa tabia yako ya kukataa mjadala concept nzima ya JF itakufa, maana JF strive on mijadala, after all we are supposed to be able to talk openly here.

"For argument sake"

No. It is not "For argument sake" it is "For argument's sake". Get it right. If you cannot get the language right you make me doubt that you can get the logic right.

Nani amesema wapo au hawapo?

Nishakuambia kwamba mimi nimekuambia hivyo, wewe unaendelea ku stall nani kasema wapo au hawapo?

Mimi nimekuambia wapo, can you disprove me? Can you tell me kwamba hawapo?

Kwisha habari yako
Povu linaanza kukutoka kwa kusema uongo
Nani amesema hayo kijana?
Leta ushahidi wa mimi kusema hayo
Ukikosa unitake radhi!
CC MaxShimba !!!!!!!!

Nisha quote hapo juu. Besides, wewe uliyeshindwa kuleta ushahidi wa kuwepo kwa mungu leo unataka ushahidi kutoka kwangu?

Nipe ushahidi wa kuwepo kwa mungu nitakupa ushahidi kutoka kwenye thread hii.


Hapa tutakesha na watu hawa wanaojiita "sane"

I told you that I am not only sane, I am insanely sane. Usinishushe.

"For argument sake"

Ondoa uMaimuna. It's not "For argument sake", it's "For argument's sake".

Huu uchafu wako kamtafute aliyesema umdai uthibitisho!!

Swadaktaaaa, kama vile ninavyotaka wanaosema mungu yupo watoe uthibitisho.

Hapo ndipo nilipotaka kulenga.Inaonekana somo unalielewa hata kama ni serendipitously tu.

Huwezi kumuuliza mtu ambaye hajasema kwamba mungu yupo atoe ushahidi kwamba mungu hayupo, kazi ya kutoa ushahidi kuhusu mungu ni ya yule anayesema mungu yupo.

Siwezi kukuuliza wewe mtu ambaye hujasema kwamba kuna ukoo wa Wachagga wenye miguu mitatu na macho matatu wanaokaa juu ya mlima Kilimanjaro unipe ushahidi kwamba hawapo, kazi ya kutoa ushahidi ni ya mtu anayesema kwamba wapo.

Nani huyo?

Niliyesema wapo ni mimi. Sasa nipe ushahidi kwamba hawapo.

This is the absurdity of your case. Wewe unasema mungu yupo, huwezi kutoa ushahidi kwamba yupo, lakini unataka wasiokubaliana na wewe ndio wawe na mzigo wa kutoa ushahidi kwamba mungu hayupo.


Hivi umeona hii kitu ni muhimu sana hapa?

Kama si muhimu kwa nini unachangia up to this 18th page? Unaelewa significance na connection hapa? Au unataka kuthibitishia umma zaidi tu kwamba huna capacity ya uchambuzi inayotakiwa kuchambua haya mambo kwa undani?

The questions about Wachagga wenye miguu mitatu na macho matatu kuwapo juu ya mlima Kilimanjaro, and the absurdity of process to disprove that, exposes the weakness of the argument that it is possible to disprove the existence of god.

If you can't disprove these Wachagga exists, primarily because however finely you sweep Kilimanjaro there is a possibility that they will have escaped you, you cannot disprove the non-existence of god for the same reason. You are arguing "ad nausea" but if you cannot concede that point I doubt you have the requisite capacity for this discussion.


Unarudia rudia bila kutuambia ni nani amesema kuhusu hawa watu kuwepo au kutokuwepo kwao,wewe vipi?

Tatizo hujui kusoma, mara ngapi nimesema kwamba ni mimi nimesema, for the sake of argument, bwa hahahaha. I know you can hardly comprehend anything nuanced.

Thank you!!!!!!!!

You will thank me more by doing some basic readings and asking relevant questions, up to now unaendeleza u Maimuna tu, which is not entirely a bad thing - hey, it is not our language- lakini unapokuja na arrogance on top of u Maimuna una ji expose tu kwamba hujui kitu halafu una celebrate ignorance.
 
You can't say something is psychedellic hallucinations without proof

Labda uwe na huo uthibitisho!

Huyu hapa maskini hata maana ya "otherwise" haifahamu. Halafu badala ya kuomba kujulishwa anafoka kwa confidence zote.

Nikisema ni Maimuna anaye celebrate ignorance msinishangae.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom