Mwacheni Mungu aitwe Mungu

Mwacheni Mungu aitwe Mungu

Hakika Yeye Ndiye Aliyeko, Mungu wa Kweli!! kabla Yake hakuwako na baada Yake hakutakuwako. Libarikiwe Jina Lake.
 
god-haters_big.jpg


Romans 1:30


Backbiters, haters of God, despiteful, proud, boasters, inventors of evil things, disobedient to parents,
 
Sheria za kibinadamu tu haziruhusu baba yako afanye zali halafu ufungwe wewe. Sasa huyu mungu anayehukumu watu vizazi na vizazi kwa "dhambi ya asili" sense yake ya justice ni mbovu kuliko ya mahakama zetu zilizojaa rushwa na uonevu za kibongo?
Jibu la swali hilo wanasema wewe unafikiria kibinadamu binadamu ndio maana huwezi kuelewa sense of justice ya Mungu na Mungu kwa ujumla, na kama Mungu angeweza kuwa analyzed na kueleweka kwa akili za kibinadamu basi asingekuwa anaitwa Mungu.

To which I say fine, excellent argument, hatuwezi kumuelewa Mungu kwa akili zetu za kibinadamu na ndio maana anaitwa Mungu.

Well, that begs a question: Wewe unaesema Mungu hawezi kuwa analysed na kueleweka kwa akili za kibinadamu umewezaje kujua kwamba Mungu anaelezeka only kwa akili nyingine nyingine za kimungu za juu beyond hizi zetu wakati we mwenyewe binadamu?
 
Jibu la swali hilo wanasema wewe unafikiria kibinadamu binadamu ndio maana huwezi kuelewa sense of justice ya Mungu na Mungu kwa ujumla, na kama Mungu angeweza kuwa analyzed na kueleweka kwa akili za kibinadamu basi asingekuwa anaitwa Mungu.

To which I say fine, excellent argument, hatuwezi kumuelewa Mungu kwa akili zetu za kibinadamu na ndio maana anaitwa Mungu.

Well, that begs a question: Wewe unaesema Mungu hawezi kuwa analysed na kueleweka kwa akili za kibinadamu umewezaje kujua kwamba Mungu anaelezeka only kwa akili nyingine nyingine za kimungu za juu beyond hizi zetu wakati we mwenyewe binadamu?

Watoto wanaozaliwa miaka hii wakikua, watoto wao watakuwa washaachana mbali sana na hizi imani.

Uzuri ni kwamba entropy moves from order to disorder, halafu ku maintain uongo kunataka order, information wants to be free, zamani Egypt huko watu waliamini kina Firauni walikuwa miungu, China huko walisema wanatawala kwa "mandate of heaven".

Leo marais wanatupiwa mayai, wanachorwa vikaragosi, hawa ndio miungu wa zamani.

Kadiri miaka inavyokwenda watu watajua kuwa hata huyo mungu muumba yote anayesemwa ni fiksi tu.

Bora hata kuabudu mti unaouona (Nyerere anasema Wazanaki "wanaabudu "Chaka la Wazanaki""), tunaweza ku rationalize kwamba wewe ni mwanamazingira, utakataa kukata miti na kusababisha mvua zisipungue, kuliko kuamini mungu asiyeonekana wala kuthibitishika.
 
Watoto wanaozaliwa miaka hii wakikua, watoto wao watakuwa washaachana mbali sana na hizi imani.
Sidhani, kwa sababu hata ukienda Magharibi ambako elimu, sanaa, sayansi na teknologia vimepanuka sana bado imani za Mungu ziko deeply calcified in their social psyche. Obama asipomalizia hotuba yake na "Mungu Ibariki Marekani" anapoteza voting block kubwa tu.

Lakini wataanza wao kwanza, sisi bado mno. Wanaharakati wa Tanzania wa leo ndio kwanza tunadai muungano wa dola na msikiti wakati wenzetu walipigania mtengano wa dola na kanisa miaka 300 iliyopita. Imagine that, mivutano ya serikali na Sheikh Ponda ya kuunganisha ama kutenganisha msikiti, dola na kanisa wenzetu walibishana haya miaka 300 iliyopita! hahahaaaaa....

kabla Yake hakuwako na baada Yake hakutakuwako. Libarikiwe Jina Lake.
Umejuaje kabla yake hakuwako, ulikuwepo?
 
Anheuser "In God We Trust" nyiiingi, "One Nation Under God" nyiingi, mara tu national day of prayers na nini etc.

Mtu kama Obama hata kama haamini mungu yupo inabidi acheze mchezo wa kuigiza tu, kwa sababu kama unavyosema kanisa ni voting block moja kubwa sana. Na kinyamwezi, hususan kwa watu weusi huwezi kutenganisha kanisa na siasa, wapigania haki wao ndio hao hao kina Rev. Martin Luther King, Rev. Jesse Jackson, Rev. Al Sharpton. Inaonekana kanisa limekuwa a social vehicle tu. Wangefuata "mpe Kaisari cha Kaisari" kama biblia inavyosema wasingefanya hivyo.

Kwa hiyo sishangai mtu kama Obama kujifanya mtu wa kuamini kwa sana, ni sehemu ya mchezo wa kuigiza.

Habari hii inanikumbusha Ben Mkapa, ambaye kanisa lake lilikuwa Palm Beach Hotel na Sakramenti yake ilikuwa Johnny Walker.

Baada ya kuukwaa urais ikabidi a project image ya heshima na dini, akawa hakosi St. Immaculata pale kila Jumapili.

Kuja kumaliza urais tu, akawa haonekani. Ni kama vile alikuwa anasema alikuwa obligated kwenda kwa sababu ya urais tu, sasa kashastaafu na kanisa kastaafu.

Tofauti ya wenzetu na sisi, hata wanaoamini wako wengi wanakubali kwamba wanaamini "for social and psychologiocal reasons". Kuna mpaka ma atheist huko Netherland wana kanisa lao, wanasema wanapenda vile vioo vya rangi vya makanisa, majengo, kwaya, na kushirikiana, lakini hawaamini kama mungu yupo.

Kanisa la social club.

Huku kwetu ukisema mungu hayupo unaweza kukatwa mapanga.
 
Watoto wanaozaliwa miaka hii wakikua, watoto wao watakuwa washaachana mbali sana na hizi imani.

Uzuri ni kwamba entropy moves from order to disorder, halafu ku maintain uongo kunataka order, information wants to be free, zamani Egypt huko watu waliamini kina Firauni walikuwa miungu, China huko walisema wanatawala kwa "mandate of heaven".

Leo marais wanatupiwa mayai, wanachorwa vikaragosi, hawa ndio miungu wa zamani.

Kadiri miaka inavyokwenda watu watajua kuwa hata huyo mungu muumba yote anayesemwa ni fiksi tu.

Bora hata kuabudu mti unaouona (Nyerere anasema Wazanaki "wanaabudu "Chaka la Wazanaki""), tunaweza ku rationalize kwamba wewe ni mwanamazingira, utakataa kukata miti na kusababisha mvua zisipungue, kuliko kuamini mungu asiyeonekana wala kuthibitishika.

Ndo mana huyu alisema hivi
"If I had to choose a religion, the sun as the universal giver of life would be my god".

(Napoleon Bonaparte)
 
au kusema yesu alikuja kukomboa dhambi zetu.sasa kama dhambi zetu zishabebwa na mkombozi kwanini sisi tuhangaike kuomba na kutubu.
exactly...! kwa nini tutubu wakati tushakombolewa? Na kwa nini tulihitaji kukombolewa?

Unakumbuka tulipokuwa tunacheza kombolela? Mtu aliyekombolewa ni mtu aliyedakwa, aliyetekwa, aliyepotea, alipokonywa kutoka mahala huru na kadhalika. Sasa ilikuwa kuwaje sisi tukatekwa na shetani ilhali tulikuwa kwenye himaya ya Mungu? Mungu alikuwa off that day paka akapokonywa watu wake? Kwa nini asijiuzuru, manake alilala kazini!

mungu sio mtu afanani na chochote ukifikiriachi.u have a worse concept about God.
Mungu sio mtu, hafani na chochote? Si kweli.

Mwanzo 1:27:
Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.

Okay, kwa hiyo Mungu wa Ibrahim ni mtu kaa sisi, sio mti wa mbuyu wala sanamu wala ng'ombe.

Okay? Sasa kaa mkao wa kula somo, nataka kukupa my closing argument, the most powerful point against creationism.

do u think u and ur body mechanism came from no where.go on hell will be ur home
That is a formidable proposition, great observation.

Kwamba mwili wangu huu na complications za mechanism zake na biochemistry haziwezi kuwa zimetoka hewani hewani.

Okay, kama kitu complicated kama binadamu hakiwezi kutoka hewani hewani je Mungu yeye ambae tumesha establish kwamba ni kama mtu ( Mwanzo 1:27) nae lazima ni complicated kama sisi au kuzidi, sasa yeye ametokeaje hewani hewani?

Sijui unanielewaaaa? Hebu niruhusu nidadavue ninachokisema.

Ukifungua saa ya Rolex ndani ukakuta iko very complicated jinsi vyuma vidogo vidogo vilivyopangiliwa na jinsi inavyodunda kama moyo wa binadamu unasema duuh, ni lazima hii imebuniwa, imeumbwa kiakili.

Lakini aliyeumba saa ya Rolex, binadamu, nae lazima awe na complications na akili kama hiyo saa au kuzidi, yani awe na yeye amebuniwa, ameumbwa. Ambae ni mtu.

Na aliyemuumba mtu nae lazima awe na complicated mechanisms na akili kama binadamu au kuzidi. Ambae ni Mungu.

Na Mungu nae, kwa sababu nae ana complicated body mechanisms ni lazima awe amebuniwa na ameumbwa na kitu complicated kuliko yeye Mungu.

Sasa imekuwaje complicated "body mechanism" za yeye Mungu zimetoka hewani hewani?

Hahahaaaaaaaa.......
 
exactly...! kwa nini tutubu wakati tushakombolewa? Na kwa nini tulihitaji kukombolewa?

Unakumbuka tulipokuwa tunacheza kombolela? Mtu aliyekombolewa ni mtu aliyedakwa, aliyetekwa, aliyepotea, alipokonywa kutoka mahala huru na kadhalika. Sasa ilikuwa kuwaje sisi tukatekwa na shetani ilhali tulikuwa kwenye himaya ya Mungu? Mungu alikuwa off that day paka akapokonywa watu wake? Kwa nini asijiuzuru, manake alilala kazini!

Mungu sio mtu, hafani na chochote? Si kweli.

Mwanzo 1:27:
Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.

Okay, kwa hiyo Mungu wa Ibrahim ni mtu kaa sisi, sio mti wa mbuyu wala sanamu wala ng'ombe.

Okay? Sasa kaa mkao wa kula somo, nataka kukupa my closing argument, the most powerful point against creationism.

That is a formidable proposition, great observation.

Kwamba mwili wangu huu na complications za mechanism zake na biochemistry haziwezi kuwa zimetoka hewani hewani.

Okay, kama kitu complicated kama binadamu hakiwezi kutoka hewani hewani je Mungu yeye ambae tumesha establish kwamba ni kama mtu ( Mwanzo 1:27) nae lazima ni complicated kama sisi au kuzidi, sasa yeye ametokeaje hewani hewani?

Sijui unanielewaaaa? Hebu niruhusu nidadavue ninachokisema.

Ukifungua saa ya Rolex ndani ukakuta iko very complicated jinsi vyuma vidogo vidogo vilivyopangiliwa na jinsi inavyodunda kama moyo wa binadamu unasema duuh, ni lazima hii imebuniwa, imeumbwa kiakili.

Lakini aliyeumba saa ya Rolex, binadamu, nae lazima awe na complications na akili kama hiyo saa au kuzidi, yani awe na yeye amebuniwa, ameumbwa. Ambae ni mtu.

Na aliyemuumba mtu nae lazima awe na complicated mechanisms na akili kama binadamu au kuzidi. Ambae ni Mungu.

Na Mungu nae, kwa sababu nae ana complicated body mechanisms ni lazima awe amebuniwa na ameumbwa na kitu complicated kuliko yeye Mungu.

Sasa imekuwaje complicated "body mechanism" za yeye Mungu zimetoka hewani hewani?

Hahahaaaaaaaa.......

Mkuu Anheuser, unawaonea bure watu hao maana "hawajui watendalo". Biblia ni yao na wanaisoma kila siku lakini hawaielewi. Sasa wewe unawapiga kwa biblia hiyo hiyo kama Kiranga alivyosema, anawapiga kwa Jiujitsu!

Yaani kamwe hawatakupa jibu...wakashindwa kabisa watakwambia God works in mysterious ways...sasa kwa nini Mungu ajifiche wakati akitenda/kufanya kazi? Mie mbona wakati nalima na kuvuna ili familia yangu ile naonekana?
 
Wewe ndio huwezi kufikiri na kuhoji mantiki ya mnayoyafanya mkikusanyika kwenye hizo ibada zenu na ndio maana hata hapa unakurupuka kuandika pasipo kufikiri! Eti Kiranga, hebu ona hawa jamaa jinsi walivyo: Biblia ina vitabu tena vimeandikwa clearly, kwa mfano, WARAKA WA MTUME PAULO KWA WAEBRANIA! Sasa waraka (ama barua kwa lugha nyepesi) imekuwa addressed kwa Muebrania, leo hii Msukuma wa kule mashenzini anaikimbilia na kuichana ili aisome na kisha kuanza kupagawa akiamini ujumbe uliomo ni wa kwake! Biblia hiyo hiyo ina kitabu kinachoitwa "MAMBO YA WALAWI!", sasa mswahili mmoja wa kule Umakondeni anang'ang'ana na kutoa mishipa kusoma akiamini naye ni Mlawi, bila hata kujua hata hao Walawi wako nchi gani ktk dunia yetu ya leo. Sasa watu kama hao si sawa na huyu kiazi Eiyer? Ndio maana sishangai hata anapo-argue kama hazimtoshi vile! What Nonsense!

Wewe ndio kiazi kweli!

Yale madai yako ya mwanzo umeona yamekosa mashiko sasa unakuja na madai mengine

Halafu hivi wewe hujawahi kuona utafiti uliofanywa New Delhi unajadiliwa na kufanyiwa kazi Chile?
 
exactly...! kwa nini tutubu wakati tushakombolewa?

Kukombolewa ni nini kwa mtazamo wako?
Unakumbuka tulipokuwa tunacheza kombolela? Mtu aliyekombolewa ni mtu aliyedakwa, aliyetekwa, aliyepotea, alipokonywa kutoka mahala huru na kadhalika. Sasa ilikuwa kuwaje sisi tukatekwa na shetani ilhali tulikuwa kwenye himaya ya Mungu? Mungu alikuwa off that day paka akapokonywa watu wake? Kwa nini asijiuzuru, manake alilala kazini!

Mungu ni nini/nani?

Mungu sio mtu, hafani na chochote? Si kweli.

Mwanzo 1:27:
Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.

Ukiambiwa umefana na mwanao anakuwa wewe?
Bado nahitaji unijibu kuwa Mungu nini/nani

Kwamba mwili wangu huu na complications za mechanism zake na biochemistry haziwezi kuwa zimetoka hewani hewani.

Okay, kama kitu complicated kama binadamu hakiwezi kutoka hewani hewani je Mungu yeye ambae tumesha establish kwamba ni kama mtu ( Mwanzo 1:27) nae lazima ni complicated kama sisi au kuzidi, sasa yeye ametokeaje hewani hewani?

Complicated mechanism ni nini?
Jibu kwanza hili swali halafu tuendelee!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom