Mwacheni Mungu aitwe Mungu

Mwacheni Mungu aitwe Mungu

Mazee ukishaamini tu kwamba mungu ndiye muumba wa kila kitu, basi mungu anakuwa responsible kwa dhambi zote zilizoko duniani, pamoja na vyote vilivyoumbwa.

Hata ukitaka kumpakazia shetani nitakuuliza huyo shetani kaumbwa na nani?

Huo uwezo wa dhambi kuwezekana umetoka wapi?

Halafu bora hata wangetuambia kwamba mungu hakuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu mzuri zaidi ya huu, ikambidi tu aumbe huu atupe maisha.

Lakini tunaambiwa mungu ana ulikuwa na uwezo wote na upendo wote!

Hogwash.

Huyo Heiyer haoni hii? Au kaenda kwa Baba sijui Mwana Askofu kutafuta majibu? Halafu usikute pamoja na ubishi wote alio nao, shuleni alikimbia mara tu baada ya kujua kusoma na kuandika, basi! Mtu kama huyu hata huyo mungu wake, kama ana akili timamu kabisa, lazima amshangae kabisa!
 
Sasa hapa ndio unainyesha jinsi unavyoweza kuwa ni insane, kwani wewe ni kitu gani kinachokupeleka kanisani iwapo tu unajua kusoma, kuhesabu na kuandika kiasi kwamba hata hivyo vifungu vya kwenye Biblia / Quran unaweza ukavisoma wewe mwenyewe nyumbani? Au hujui kusoma mpaka ukasomewe na wanaume wenzio?

Kwanza hii post yako imenifanya nicheke sana
Yaani wewe hata hujui kanisani tunakwenda kufanya nini halafu unajidai unahoji kuhusu Mungu
Hovyo kabisa

Mimi nilikuuliza hivi

Kwa hiki kipande tu cha maelezo yako kinaonesha unasubiri mtu afikiri kwa niaba yako

Hivi unaendaje kumuuliza mtu habari za Mungu?
Halafu unayachukua majibu ya mtu huyo kama ushahidi wa madai yako
Hovyo kabisa!

Hapo kuna mambo yafuatayo
Huyo unaemuuliza na akakupa maelezo kuna uwezekano wa wewe kutokumuelewa
Huyo unaemuuliza anaweza akawa hajui unachomuuliza

Kwa mtazamo huo tu maelezo yako hayana maana yoyote ile
Inawezekana ulichoandika hapa sicho alichokuambia kwa kuwa hata tukikuambia ulete ushahidi huwezi
Inawezekana nae hajui lolote kuhusu swali ulilomuuliza kama wewe!

Hivyo haya maelezo yako mpelekee mwanao wa miaka miwili!!!!

Haya yalikuwa majibu yako

What nonsense! Haya yamo katika Agano la Kale na kwa taarifa yako mimi nimesoma Biblia nzima yenye vitabu 66 zaidi ya mara tano! Ndio maana wanaoijua vizuri Biblia hawajauliza na wala hawawezi kuuliza maswali ya kipuuzi kama ya kwako! By the way, wewe unayesema unao ushahidi wa huyo mungu si ujibu swali langu la msingi? Iweje lusifa amchachafye huyo mungu wenu kule mbinguni hapo zamani na ashindwe kufanya hivyo kwenye ulimwengu ujao mnaokaririshwa kuwa hautakuwa na shida, taabu wala mauti tena? Ukijibu hili swali vizuri, uje hata leo unibatize / unisilimishe whatever will that mean!

Hapa nilishangaa sana
Kilichonifanya nishangae ni kuwa,iweje mtu usome biblia halafu mtu huyohuyo unaenda tena kuuliza?
Ina maana hufikirii?
Au huiamini akili yako?
Ndipo nikakuuliza kilichokupeleka kwa mchungaji kama wewe unafikiria vyema

Nini kilikupeleka kwa mchungaji?

Na haya yalikuwa majibu yako

Sasa hapa ndio unainyesha jinsi unavyoweza kuwa ni insane, kwani wewe ni kitu gani kinachokupeleka kanisani iwapo tu unajua kusoma, kuhesabu na kuandika kiasi kwamba hata hivyo vifungu vya kwenye Biblia / Quran unaweza ukavisoma wewe mwenyewe nyumbani? Au hujui kusoma mpaka ukasomewe na wanaume wenzio?

Unaweza tu kuona namna ulivyokuwa hujijui na hujui lolote
Hizi akili zinazokufanya uone majibu ya huyo mchungaji hayana maana kwanini hukuzitumia kugundua ukweli uliposoma biblia?

Ndio maana nikakuambia kuwa wewe umetuletea hapa maelezo ya mchungaji yenye shaka
Kwanza hatuamini kama ni ya mchungaji kweli
Pili hata kama alizungumza na wewe inawezekana hukumwelewa kama alivyotarajia kwakuwa kama ulishindwa kuielewa biblia kitendo kilichokufanya umtafute mchungaji,utaweza vipi kumuelewa?

Hapa nakuona kama bendera inyofuata upepo tu maana huwezi kufikiri kwa niaba yako mwenyewe!

Sasa ambae ni insane kati yangu mimi na wewe ni nani?
 
Huyo Heiyer haoni hii? Au kaenda kwa Baba sijui Mwana Askofu kutafuta majibu? Halafu usikute pamoja na ubishi wote alio nao, shuleni alikimbia mara tu baada ya kujua kusoma na kuandika, basi! Mtu kama huyu hata huyo mungu wake, kama ana akili timamu kabisa, lazima amshangae kabisa!

Kati yangu mimi na wewe ni nani aliyeenda kutafuta majibu kanisani?
 
What nonsense! Haya yamo katika Agano la Kale na kwa taarifa yako mimi nimesoma Biblia nzima yenye vitabu 66 zaidi ya mara tano! Ndio maana wanaoijua vizuri Biblia hawajauliza na wala hawawezi kuuliza maswali ya kipuuzi kama ya kwako! By the way, wewe unayesema unao ushahidi wa huyo mungu si ujibu swali langu la msingi? Iweje lusifa amchachafye huyo mungu wenu kule mbinguni hapo zamani na ashindwe kufanya hivyo kwenye ulimwengu ujao mnaokaririshwa kuwa hautakuwa na shida, taabu wala mauti tena? Ukijibu hili swali vizuri, uje hata leo unibatize / unisilimishe whatever will that mean!

Mkuu hayo maswali unayouliza kamwe hutapata majawabu...ndio maana unaona hata idadi ya wachangiaji wenye imani imeshuka sana...kwa sababu hakuna majibu ndiyo maana kuna church dogmas, hasa kwa wakatoliki, you take it o leave it (what nonsense)! Wakati nikiwa nafuata mafundisho ya kummunio ya kwanza tulimuuliza sana sister kuhusu mambo mbali mbali, akatushauri tusome Katekisimu Yetu...huko nako hakuna majibu zaidi ya kuzidi kuchanganywa tu! Mwisho sister akakasirika na kutishia kutunyima nafasi ya kukomunika!

Sana sana swali lililonitatiza ni "dhambi ya asili", eti mateso yetu duniani ni kutokana na kiburi cha Adam na Eva huko Eden...swali lilikuwa mbona hayo mambo yalitokea huko mbali sana? Pili, mbona sie ni weusi, makabila tofauti kabisa na hao jamaa (hata ndani yetu tunatofautiana), sasa inakuwaje nihukumiwe kwa kiburi cha watu wengine kabisa, nisiokuwa na mahusiano yao kwa namna yoyote ile? Sister akawa mkali! Na pia inakuwaje mie nibanwe na sheria, mila na tamaduni za kiyahudi katika maisha yangu ilhali mie mweusi kabisa na hao jamaa ni weupe kabisa? Sasa mara zinaingia mila na desturi za kirumi na kiarabu...yani ukiwauliza hakuna jibu milele!
 
Ninyi watu mna matatizo sana
Kama nyie ni watu mnaofikiria sawasawa si mngekuwa mnaleta ushahidi hapa?
Hivi kudai tu "wizi wa kazi za kale" na ukaishia hapo unakuwa umesema kweli?


Ukiuliza ukakosa jibu la kuridhisha tayari unakuwa uongoi?



Ushahidi uko wapi?



Hapa ndipo unapodhihirisha ujinga wako
Kwahiyo watu kusema Mungu wao ni tofauti na mungu wa watu wengine kwako ni ajabu!


Dah!
Inaonekana wewe hujui chochote kuhusu Yesu wala Isa
Nakushauri nenda kajifunze tena halafu uje upya!

Sawa, let us assume for argument's sake (cc Kiranga!) kwamba sim(wa)jui Yesu na/au Isa. Niambie Yesu/Isa ni yule yule mmoja au watu wawili tofauti?

Na je kama ni yule yule inakuwaje huku anakuwa Mungu Mtu (au mwana = Nafsi ya Pili ya Uungu katika Utatu Mtakatifu) na wakati huo huo Isa asiwe Mungu Mtu (na wala sehemu ya Utatu Mtakatifu)?

Pia una-reconcile vipi hoja katika quran kwamba Mungu (Allah) ni mmoja tu na hana mwenza au msaidizi na biblia kwamba Mungu ni mmoja ila katika nafsi tatu (Utatu Mtakatifu)?
 
Kwanza hii post yako imenifanya nicheke sana
Yaani wewe hata hujui kanisani tunakwenda kufanya nini halafu unajidai unahoji kuhusu Mungu
Hovyo kabisa

Mimi nilikuuliza hivi



Haya yalikuwa majibu yako



Hapa nilishangaa sana
Kilichonifanya nishangae ni kuwa,iweje mtu usome biblia halafu mtu huyohuyo unaenda tena kuuliza?
Ina maana hufikirii?
Au huiamini akili yako?
Ndipo nikakuuliza kilichokupeleka kwa mchungaji kama wewe unafikiria vyema



Na haya yalikuwa majibu yako



Unaweza tu kuona namna ulivyokuwa hujijui na hujui lolote
Hizi akili zinazokufanya uone majibu ya huyo mchungaji hayana maana kwanini hukuzitumia kugundua ukweli uliposoma biblia?

Ndio maana nikakuambia kuwa wewe umetuletea hapa maelezo ya mchungaji yenye shaka
Kwanza hatuamini kama ni ya mchungaji kweli
Pili hata kama alizungumza na wewe inawezekana hukumwelewa kama alivyotarajia kwakuwa kama ulishindwa kuielewa biblia kitendo kilichokufanya umtafute mchungaji,utaweza vipi kumuelewa?

Hapa nakuona kama bendera inyofuata upepo tu maana huwezi kufikiri kwa niaba yako mwenyewe!

Sasa ambae ni insane kati yangu mimi na wewe ni nani?

Wewe ndio huwezi kufikiri na kuhoji mantiki ya mnayoyafanya mkikusanyika kwenye hizo ibada zenu na ndio maana hata hapa unakurupuka kuandika pasipo kufikiri! Eti Kiranga, hebu ona hawa jamaa jinsi walivyo: Biblia ina vitabu tena vimeandikwa clearly, kwa mfano, WARAKA WA MTUME PAULO KWA WAEBRANIA! Sasa waraka (ama barua kwa lugha nyepesi) imekuwa addressed kwa Muebrania, leo hii Msukuma wa kule mashenzini anaikimbilia na kuichana ili aisome na kisha kuanza kupagawa akiamini ujumbe uliomo ni wa kwake! Biblia hiyo hiyo ina kitabu kinachoitwa "MAMBO YA WALAWI!", sasa mswahili mmoja wa kule Umakondeni anang'ang'ana na kutoa mishipa kusoma akiamini naye ni Mlawi, bila hata kujua hata hao Walawi wako nchi gani ktk dunia yetu ya leo. Sasa watu kama hao si sawa na huyu kiazi Eiyer? Ndio maana sishangai hata anapo-argue kama hazimtoshi vile! What Nonsense!
 
Wafuasi wa LUCIFER mnajitahidi kuwapoteza wauminiii lakini mtaishia kuwaokota wajinga wenzenu wenyekushobokea viinglish vyenu vinavyowajaza vichwa mkajiona mmesoma sanaaa kumbe hovyooo upeo wafikra zenu ni zero MUNGU ameweka kila kitu bayana ila kwa kutaka kwenu kujionyesha mnaakili matokeo yake mnajichanganya wenyewe anaetaka kumjua Mungu ,Munguyupo karibu yako zaidi ya mshipa wako washingo kwahiyo nirahisi kujidhihirisha kwako lkn ukitaka mtu akudhihirishie uwepo wamungu we hujataka kumjua Mungu unataka kubishana au kujionesha unajua na hapo ndio itakapokuwa imekula kwako.
 
Mkuu hayo maswali unayouliza kamwe hutapata majawabu...ndio maana unaona hata idadi ya wachangiaji wenye imani imeshuka sana...kwa sababu hakuna majibu ndiyo maana kuna church dogmas, hasa kwa wakatoliki, you take it o leave it (what nonsense)! Wakati nikiwa nafuata mafundisho ya kummunio ya kwanza tulimuuliza sana sister kuhusu mambo mbali mbali, akatushauri tusome Katekisimu Yetu...huko nako hakuna majibu zaidi ya kuzidi kuchanganywa tu! Mwisho sister akakasirika na kutishia kutunyima nafasi ya kukomunika!

Sana sana swali lililonitatiza ni "dhambi ya asili", eti mateso yetu duniani ni kutokana na kiburi cha Adam na Eva huko Eden...swali lilikuwa mbona hayo mambo yalitokea huko mbali sana? Pili, mbona sie ni weusi, makabila tofauti kabisa na hao jamaa (hata ndani yetu tunatofautiana), sasa inakuwaje nihukumiwe kwa kiburi cha watu wengine kabisa, nisiokuwa na mahusiano yao kwa namna yoyote ile? Sister akawa mkali! Na pia inakuwaje mie nibanwe na sheria, mila na tamaduni za kiyahudi katika maisha yangu ilhali mie mweusi kabisa na hao jamaa ni weupe kabisa? Sasa mara zinaingia mila na desturi za kirumi na kiarabu...yani ukiwauliza hakuna jibu milele!

Sheria za kibinadamu tu haziruhusu baba yako afanye zali halafu ufungwe wewe.

Mahakama zetu mbovu za bongo mtu akikushtaki kwa kosa alilofanya baba yako hakimu anaitupilia mbali kesi.

Sasa huyu mungu anayehukumu watu vizazi na vizazi kwa "dhambi ya asili" sense yake ya justice ni mbovu kuliko ya mahakama zetu zilizojaa rushwa na uonevu za kibongo?

Hivi hili linaingiaje akilini kwa wanaoamini habari hizi?
 
Mpaka sasa, Kiranga, et al wana 95% while the opponents wana 1%! The rest (ambao wana 4%) hawajui kitu. Tahadhari: Hii ni kwa mujibu wa Wachangiaji na si maoni ya Mwandishi!

Kiranga huwa ananipa elimu tosha..lazima niweke wazi. Kwa kifupi bado sioni uhusiano wa hii picha na kinachoitwa "mwacheni Mungu aitwe Mungu".
 
Ninyi watu mna matatizo sana
Kama nyie ni watu mnaofikiria sawasawa si mngekuwa mnaleta ushahidi hapa?
Hivi kudai tu "wizi wa kazi za kale" na ukaishia hapo unakuwa umesema kweli?


Ukiuliza ukakosa jibu la kuridhisha tayari unakuwa uongoi?



Ushahidi uko wapi?



Hapa ndipo unapodhihirisha ujinga wako
Kwahiyo watu kusema Mungu wao ni tofauti na mungu wa watu wengine kwako ni ajabu!


Dah!
Inaonekana wewe hujui chochote kuhusu Yesu wala Isa
Nakushauri nenda kajifunze tena halafu uje upya!

Was the bible plagiarized from other works of fiction? - FreeThoughtPedia

[h=1]Was the bible plagiarized from other works of fiction?[/h]
The similarities between the stories and characters in the Bible and those from previous mythologies are both undeniable and well-documented. It is only due to extreme religious bias that pervades our world today that people rarely get exposed to this information.
In this short piece I'll attempt to show blatant similarities with regard to two of the most important Biblical narratives: the Genesis story and the character of Jesus Christ. The Book of Genesis's Flood Story Mirrors The Epic Of Gilgamesh From Hundreds Of Years Earlier
Here are a number of elements that both Gilgamesh and the flood story in Genesis share:

  1. God decided to send a worldwide flood. This would drown men, women, children, babies and infants, as well as eliminate all of the land animals and birds.
  2. God knew of one righteous man, Ut-Napishtim or Noah.
  3. God ordered the hero to build a multi-story wooden ark (called a chest or box in the original Hebrew), and the hero initially complained about the assignment to build the boat.
  4. The ark would have many compartments, a single door, be sealed with pitch and would house one of every animal species.
  5. A great rain covered the land with water.
  6. The ark landed on a mountain in the Middle East.
  7. The first two birds returned to the ark. The third bird apparently found dry land because it did not return.
  8. The hero and his family left the ark, ritually killed an animal, offered it as a sacrifice.
  9. The Babylonian gods seemed genuinely sorry for the genocide that they had created. The God of Noah appears to have regretted his actions as well, because he promised never to do it again.
Keep in mind the level of detail in these similarities. It's not a matter of just a flood, but specific details: three birds sent out, resisting the call to build the arc, and a single man being chosen by God to build the arc. [Then consider that the first story (Gilgamesh) came from Babylon -- hundreds of years before the Bible was even written.
Do you honestly think, based on the similarities above, that those who wrote the Genesis story had not heard the Gilgamesh story? And if they had heard it, and they were simply rehashing an old, very popular tale, what does that say about the Bible?
[h=3]Jesus's Story Is An Obvious Rehashing Of Numerous Previous Characters[/h]Perhaps even more compelling is the story of Christ himself. As it turns out it's not even remotely original. It is instead nothing more than a collection of bits and pieces from dozens of other stories that came long before. Here are some examples.

  1. Asklepios healed the sick, raised the dead, and was known as the savior and redeemer.
  2. Hercules was born of a divine father and mortal mother and was known as the savior of the world. Prophets foretold his birth and claimed he would be a king, which started a search by a leader who wanted to kill him. He walked on water and told his mother, "Don't cry, I'm going to heaven." when he died. As he passed he said, "It is finished."
  3. Dionysus was literally the "Son of God", was born of a virgin mother, and was commonly depicted riding a donkey. He healed the sick and turned water to wine. He was killed but was resurrected and became immortal. His greatest accomplishment was his own death, which delivers humanity itself.
  4. Osiris did the same things. He was born of a virgin, was considered the first true king of the people, and when he died he rose from the grave and went to heaven.
  5. Osiris's son, Horus, was known as the "light of the world", "The good shepherd", and "the lamb". He was also referred to as, "The way, the truth, and the life." His symbol was a cross.
  6. Mithra's birthday was celebrated on the 25th of December, his birth was witnessed by local shepherds who brought him gifts, had 12 disciples, and when he was done on earth he had a final meal before going up to heaven. On judgment day he'll return to pass judgment on the living and the dead. The good will go to heaven, and the evil will die in a giant fire. His holiday is on Sunday (he's the Sun God). His followers called themselves "brothers", and their leaders "fathers". They had baptism and a meal ritual where symbolic flesh and blood were eaten. Heaven was in the sky, and hell was below with demons and sinners.
  7. Krishna had a miraculous conception that wise men were able to come to because they were guided by a star. After he was born an area ruler tried to have him found and killed. His parents were warned by a divine messenger, however, and they escaped and was met by shepherds. The boy grew up to be the mediator between God and man.
  8. Buddha's mother was told by an angel that she'd give birth to a holy child destined to be a savior. As a child he teaches the priests in his temple about religion while his parents look for him. He starts his religious career at roughly 30 years of age and is said to have spoken to 12 disciples on his deathbed. One of the disciples is his favorite, and another is a traitor. He and his disciples abstain from wealth and travel around speaking in parables and metaphors. He called himself "the son of man" and was referred to as, "prophet", "master", and "Lord". He healed the sick, cured the blind and deaf, and he walked on water. One of his disciples tried to walk on water as well but sunk because his faith wasn't strong enough.
  9. Apollonius of Tyana (a contemporary of Jesus) performed countless miracles (healing sick and crippled, restored sight, casted out demons, etc.) His birth was of a virgin, foretold by an angel. He knew scripture really well as a child. He was crucified, rose from the dead and appeared to his disciples to prove his power before going to heaven to sit at the right hand of the father. He was known as, "The Son of God".
The problem, of course, is that these previous narratives existed hundreds to thousands of years before Jesus did.
Logic Sets In
Many are familiar with Occam's Razor, which states that, all things being equal, one should not seek complex explanations when more simple ones are available. No one disputes that these other stories predate the Judeo-Christian Bible, so we really only have two options:

  1. The religious explanation is that while the other stories were very much the same as those in the Bible, they are all false. But when they occur in the Bible (despite it being much the same content), this time the stories are true. One explanation of the resemblances to the earlier myths is that Satan created them to lead people astray from the true Messiah that would come much later. So essentially, an ultra-powerful and evil being (Created by God) influenced humanity to create deceptive stories -- thousands of years before the real version -- so that people wouldn't believe the real thing when they saw it.
  2. The alternative explanation is that the nature of storytelling during the period was such that central themes propagated through time. This combined with the natural tendency to have certain repeating elements in human stories, and the fact that the Bible stories came after the other ones, explains the similarities to previous myths. And since the stories of worldwide floods, virgin births, and people rising from the dead that the Bible is based on were false to begin with (which everyone agrees on) -- they are also false in the Bible. In short, the Bible is simply another iteration of the same themes that came long before it.
Which of these two explanations makes more sense to you?
 
hakuna aliyesena ana uwezo hapa.tunahoji vipi mungu mwema awaumbie wengine yasiyo mema, hiyo ndio pointi kufa kwaweza kuwa nature tu.mimi kukubali kufa hakunifanyi nikubali au nikatae uwepo wa mungu kwa kua sikuanzisha kufa.au sitakuwa wa kwanza kufa.
vipi mungu mwema mwenye nguvu mkarimu mweza wa yote aruhusu mateso kwa viumbe wake?.kwanini asitumie utukufu wake kutufanya tusikengeuke?.ni sawa na mzazi kuwazaa watoto halafu anatumia njia mbadala kuwafanya wamuheshimu.kwanini asingewajaza pumzi ya wema.
imani huja kwa kusikia na kwa kiasi kikubwa kabisa kwa kuona.tumesikia toka utotoni mafundisho ya mungu.na kwa kutumia akili na maarifa tuliyonayo tukichanganya na kuona ambao ndio msingi mkubwa kabisa wa kuamini,tunaona dunia inaangamia ingali tulisimuliwa kuna nguvu kubwa sana ya kupambana na shida za binaadamu.
There can be many reasons for the disabilities amongst the children.There many factors or situations before or after birth which can lead to the abnormalities and disabilities in the children.
(i)During prenatal period an impact on mother's womb can harm the child.If the mother gets infection or disease ,the baby is also badly affected .During pregnancy if the mother suffers from any kind of nutrional deficiency,it can also lead to deficiency in baby.As a result,the baby can be physically or mentally deficient.
(i)At the time of birth
During the process of delivery sometimes many factors can lead to bad effect on the child.Difficulty in delivery can cause temporary stoppage of oxygeny supply to the brain of the baby.It damages nervous tissue of the brain of spinal cord and this effect is permanent.This can cause mental deficiency in the baby.Sometimes the baby becomes physically handicapped.
When the doctors take help of various equipments during the delivery,for example,in forceps delivery,the 'brain' or 'nerve' is pressed by the forceps.If the doctor or nurse is not very well trained,they can cause damage to the baby.
 
Mungu anayehitaji kuumba vilema ili utukufu wake uonekane hana utukufu.

Ana standards za morality zilizo chini ya za mwanadamu.

Mungu kumuumba binadamu kilema ili utukufu wake uonekanewakati ana uwezo wa kumuumba mzima ni sawa na baba kukmkata mtoto wake mguu kwa makusudi ili tu ubaba wake uonekane.

That is one sicko god if you ask me.

Kama mungu kweli ana uwezo wa yote basi angekuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao hauna vilema, halafu bado tukawa na uwezo wa kumtambua, hata kama angeweka bango tu juu angani linalosema "Niabuduni mimi mungu niko huku juu".

Ukichunguza sana utaona hizi habari za mungu ni kamba tu. Hazina uthibitisho wala consistency.


Damn ,you are an ATHEIST!!
 
Was the bible plagiarized from other works of fiction? - FreeThoughtPedia

Was the bible plagiarized from other works of fiction?


The similarities between the stories and characters in the Bible and those from previous mythologies are both undeniable and well-documented. It is only due to extreme religious bias that pervades our world today that people rarely get exposed to this information.
In this short piece I'll attempt to show blatant similarities with regard to two of the most important Biblical narratives: the Genesis story and the character of Jesus Christ. The Book of Genesis's Flood Story Mirrors The Epic Of Gilgamesh From Hundreds Of Years Earlier
Here are a number of elements that both Gilgamesh and the flood story in Genesis share:

  1. God decided to send a worldwide flood. This would drown men, women, children, babies and infants, as well as eliminate all of the land animals and birds.
  2. God knew of one righteous man, Ut-Napishtim or Noah.
  3. God ordered the hero to build a multi-story wooden ark (called a chest or box in the original Hebrew), and the hero initially complained about the assignment to build the boat.
  4. The ark would have many compartments, a single door, be sealed with pitch and would house one of every animal species.
  5. A great rain covered the land with water.
  6. The ark landed on a mountain in the Middle East.
  7. The first two birds returned to the ark. The third bird apparently found dry land because it did not return.
  8. The hero and his family left the ark, ritually killed an animal, offered it as a sacrifice.
  9. The Babylonian gods seemed genuinely sorry for the genocide that they had created. The God of Noah appears to have regretted his actions as well, because he promised never to do it again.
Keep in mind the level of detail in these similarities. It's not a matter of just a flood, but specific details: three birds sent out, resisting the call to build the arc, and a single man being chosen by God to build the arc. [Then consider that the first story (Gilgamesh) came from Babylon -- hundreds of years before the Bible was even written.
Do you honestly think, based on the similarities above, that those who wrote the Genesis story had not heard the Gilgamesh story? And if they had heard it, and they were simply rehashing an old, very popular tale, what does that say about the Bible?
Jesus's Story Is An Obvious Rehashing Of Numerous Previous Characters

Perhaps even more compelling is the story of Christ himself. As it turns out it's not even remotely original. It is instead nothing more than a collection of bits and pieces from dozens of other stories that came long before. Here are some examples.

  1. Asklepios healed the sick, raised the dead, and was known as the savior and redeemer.
  2. Hercules was born of a divine father and mortal mother and was known as the savior of the world. Prophets foretold his birth and claimed he would be a king, which started a search by a leader who wanted to kill him. He walked on water and told his mother, "Don't cry, I'm going to heaven." when he died. As he passed he said, "It is finished."
  3. Dionysus was literally the "Son of God", was born of a virgin mother, and was commonly depicted riding a donkey. He healed the sick and turned water to wine. He was killed but was resurrected and became immortal. His greatest accomplishment was his own death, which delivers humanity itself.
  4. Osiris did the same things. He was born of a virgin, was considered the first true king of the people, and when he died he rose from the grave and went to heaven.
  5. Osiris's son, Horus, was known as the "light of the world", "The good shepherd", and "the lamb". He was also referred to as, "The way, the truth, and the life." His symbol was a cross.
  6. Mithra's birthday was celebrated on the 25th of December, his birth was witnessed by local shepherds who brought him gifts, had 12 disciples, and when he was done on earth he had a final meal before going up to heaven. On judgment day he'll return to pass judgment on the living and the dead. The good will go to heaven, and the evil will die in a giant fire. His holiday is on Sunday (he's the Sun God). His followers called themselves "brothers", and their leaders "fathers". They had baptism and a meal ritual where symbolic flesh and blood were eaten. Heaven was in the sky, and hell was below with demons and sinners.
  7. Krishna had a miraculous conception that wise men were able to come to because they were guided by a star. After he was born an area ruler tried to have him found and killed. His parents were warned by a divine messenger, however, and they escaped and was met by shepherds. The boy grew up to be the mediator between God and man.
  8. Buddha's mother was told by an angel that she'd give birth to a holy child destined to be a savior. As a child he teaches the priests in his temple about religion while his parents look for him. He starts his religious career at roughly 30 years of age and is said to have spoken to 12 disciples on his deathbed. One of the disciples is his favorite, and another is a traitor. He and his disciples abstain from wealth and travel around speaking in parables and metaphors. He called himself "the son of man" and was referred to as, "prophet", "master", and "Lord". He healed the sick, cured the blind and deaf, and he walked on water. One of his disciples tried to walk on water as well but sunk because his faith wasn't strong enough.
  9. Apollonius of Tyana (a contemporary of Jesus) performed countless miracles (healing sick and crippled, restored sight, casted out demons, etc.) His birth was of a virgin, foretold by an angel. He knew scripture really well as a child. He was crucified, rose from the dead and appeared to his disciples to prove his power before going to heaven to sit at the right hand of the father. He was known as, "The Son of God".
The problem, of course, is that these previous narratives existed hundreds to thousands of years before Jesus did.
Logic Sets In
Many are familiar with Occam's Razor, which states that, all things being equal, one should not seek complex explanations when more simple ones are available. No one disputes that these other stories predate the Judeo-Christian Bible, so we really only have two options:

  1. The religious explanation is that while the other stories were very much the same as those in the Bible, they are all false. But when they occur in the Bible (despite it being much the same content), this time the stories are true. One explanation of the resemblances to the earlier myths is that Satan created them to lead people astray from the true Messiah that would come much later. So essentially, an ultra-powerful and evil being (Created by God) influenced humanity to create deceptive stories -- thousands of years before the real version -- so that people wouldn't believe the real thing when they saw it.
  2. The alternative explanation is that the nature of storytelling during the period was such that central themes propagated through time. This combined with the natural tendency to have certain repeating elements in human stories, and the fact that the Bible stories came after the other ones, explains the similarities to previous myths. And since the stories of worldwide floods, virgin births, and people rising from the dead that the Bible is based on were false to begin with (which everyone agrees on) -- they are also false in the Bible. In short, the Bible is simply another iteration of the same themes that came long before it.
Which of these two explanations makes more sense to you?

Kiranga,

Rejea no. 6 hapo juu na huu msemo "As above so below" katika Hermeticism...na Sala ya Bwana (Baba Yetu) katika biblia/ukristo..."utakalo lifanyike duniani kama mbinguni"...see the similarities? Hermeticism - Wikipedia, the free encyclopedia

Hata hiyo ishara ya msalaba imekuwa mamia ya miaka kabla Kristo, mambo ya Utatu Mtakatifu, i.e. Baba+Mwana+Roho nilisoma mahali sikumbuki kuwa ni concept/mythology iliyokuwepo tangu enzi za ancient Egypt, Babylon au Assyria. In fact much of bible and Judeo-Christian concepts za life and death and afterlife zimejengwa katika hizo early civilizations. Sasa sijui tu ni kwa nini waumini huwa wanashindwa kujisomea literarure lukuki zilizojaa kwenye mtandao na bookshops angalau waweze kujua hasa ni nini hasa wanachoamini au walichoaminishwa. Islam, merely being a latest offspring kutoka katika mlolongo huo nadhani mtu huwezi ku-dwell sana kuibukua, save where necessary.
 
There can be many reasons for the disabilities amongst the children.There many factors or situations before or after birth which can lead to the abnormalities and disabilities in the children.
(i)During prenatal period an impact on mother's womb can harm the child.If the mother gets infection or disease ,the baby is also badly affected .During pregnancy if the mother suffers from any kind of nutrional deficiency,it can also lead to deficiency in baby.As a result,the baby can be physically or mentally deficient.
(i)At the time of birth
During the process of delivery sometimes many factors can lead to bad effect on the child.Difficulty in delivery can cause temporary stoppage of oxygeny supply to the brain of the baby.It damages nervous tissue of the brain of spinal cord and this effect is permanent.This can cause mental deficiency in the baby.Sometimes the baby becomes physically handicapped.
When the doctors take help of various equipments during the delivery,for example,in forceps delivery,the 'brain' or 'nerve' is pressed by the forceps.If the doctor or nurse is not very well trained,they can cause damage to the baby.

Therefore, we do not need the god hypothesis.
 
Therefore, we do not need the god hypothesis.

Sasa wewe Kiranga utaniudhi, nimeshakuamnbia nyamaza sasa maana score yako na wengine walio upande wako sasa ni 99.99%. Sasa unataka iwe 100% ndipo uache? Tangu lini akili ndogo (Eiyer et al,) ikaongoza akili kubwa (Kiranga et al)? Si itakuwa sawa na Bajaj kuvuta treni?
 
Kama kila mtu kwa nafasi yake angejituma kufanya kazi kama huyu kijana,dunia ingekuwa mbali sana!
 
Wafuasi wa LUCIFER mnajitahidi kuwapoteza wauminiii lakini mtaishia kuwaokota wajinga wenzenu wenyekushobokea viinglish vyenu vinavyowajaza vichwa mkajiona mmesoma sanaaa kumbe hovyooo upeo wafikra zenu ni zero MUNGU ameweka kila kitu bayana ila kwa kutaka kwenu kujionyesha mnaakili matokeo yake mnajichanganya wenyewe anaetaka kumjua Mungu ,Munguyupo karibu yako zaidi ya mshipa wako washingo kwahiyo nirahisi kujidhihirisha kwako lkn ukitaka mtu akudhihirishie uwepo wamungu we hujataka kumjua Mungu unataka kubishana au kujionesha unajua na hapo ndio itakapokuwa imekula kwako.

Mkuu, mbona kama ni lugha zimetumika zote, Kiingereza na Kiswahili? Sasa nani kakuambia hii mada ilikuwa inahusu lugha? Na wewe hauzuiliwi kuleta hoja zako iwe kwa Kizungu, Kiingereza, Ki-English, Kireno, Kirumi, Kichagga au Kimasai ili mradi tu uwe na hoja! Sasa kwa hicho ulichotupia hapo juu ni dhahiri kuwa umezidiwa kuanzia hoja mpaka lugha ndio maana ukaona angalau usifie Kiingereza cha Kiranga maana huna hoja za kimantiki au kisayansi kuzibatilisha hoja za Kiranga! Sasa nakupongeza anagalau kwa upeo wako umeona Kiingereza kiko swadakta, ila hang-over ya dogma za dini ikiisha utakuja ung'amue pia kuwa si lugha tu, bali hata hoja zake zimetulia! Hujishitukii kuwa umebaki peke yako? Wenzio wote wamepotea kama harufu mbaya vile!
 
Similarities between
Non-theists and Muhammadans

EXHIBIT 1
Both Non-theists and Muhammadans deny the existence of God.
Islam:
1. Allah: There is NO God but Allah, ……
Non theists:
2. Darwinites: God does not exist,……

As you can see, both non-theists and Muslims deny the existence of God.


EXHIBIT 2
Both Non-theists and Muhammadans support evolutions:
Islam:
1. Allah will change all Jews into Apes and Pigs…….
Non theists:
2. Man evolved from Monkeys, …..

As you can see, both non-theists and Muhammadans dogma fallacies say humans are related to Primates.

EXHIBIT 3
Both Non-theists and Muhammadans hate Black Africans.
Islam:
1. Prophet Muhammad said Black Africans looks like Satan….
Non theists:
2. Black Africans are savages and less intelligent beings and should be eliminated.

As you can see, both non-theists and Muslims are racial profiling Black Africans.

EXHIBIT 4
Both Non-theists and Muhammadans hate Christians.
Islam:
1. Allah: Do not make friendship with Christians and ….
Non theists:
2. Kill all Christians who believe in God. Example Malicious killing of Christians at the time of USSR/Communists /Non theists Hate God.

As you can see, both non-theists and Muslims want to eliminate Christians.

EXHIBIT 5:
Both Non-theists and Muhammadans are diabolical cult and believe in dead prophets.
Islam:
1. Prophet Muhammad died in the year…
Non theists:
2. c darwin died in the year…..

As you can see, both non-theists are Muslims are diabolical cult and believe and follow dead humans.
 


Ni hivi, wewe unayedai kwamba kipo bado hujanishawishi vya kutosha na kuridhisha kuwa hicho unachoniambia kipo, kipo kweli. Kwa hiyo wala sihitaji kufanya utafiti kufikia jibu langu. Jukumu kubwa unalo wewe unayedai kuwa kipo kunishawishi mimi kwa kutumia ushahidi unaoyapa nguvu madai yako. Hivyo msingi wa mimi kukataa na kusema hakipo ni madai yako wewe pamoja na vizibiti ulivyonipa. Umeelewa?
I am not here to convince people, you must be talking to a wrong person, inter-alia, YOU HAVE FAILED TO SUPPORT your dogma fallacy.




Dhihaka kama hizi hazifanyi madai yako yawe na ushawishi. Usipoteze muda wako kudhihaki watu ambao wanakataa na kutilia shaka madai yako. Washinde na washawishi kwa hoja zenye nguvu na si viroja. Sawa Bw. Maxshimba?
​Ushawishi ndio kitu gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom