NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 12,322
- 10,898
wewe mbona hujiui ukawahi viwanja mbinguni maana tayari wamjua mungu.sisi tupo ili tuishi sio kusikiliza propaganda za watumwa wa kiimani.na kwa mfano huo ni lini uliona au kusikia mtu akafa akarudi.tunaogopa kufa kwa sababu dunia ni nzuri.nyie wenye mungu ndo mfe halafu mrudi na afya njema mturingishie, faida za mbinguni.Wote wanaoamini hakuna Mungu,hawataki kufa,ikiwa hakuna Mungu mbona hamjiui,ili mkahakishe roho zenu zikitoka kama yupo au hayupo.Jiue ukahakishe kama yupo au hayupo,na kama hayupo fanya urudi uwajulishe watu kama hayuko.Wasema hakuna Mungu lakini kufa waogopa,wajuwa kama utakutana naye.