Mwacheni Mungu aitwe Mungu

Mwacheni Mungu aitwe Mungu

Unaelewa maana ya neno specific? Maana nisije kuwa nabishana na mtu kumbe haelewi key word.
 
Sawa, let us assume for argument's sake (cc Kiranga!) kwamba sim(wa)jui Yesu na/au Isa. Niambie Yesu/Isa ni yule yule mmoja au watu wawili tofauti?

Na je kama ni yule yule inakuwaje huku anakuwa Mungu Mtu (au mwana = Nafsi ya Pili ya Uungu katika Utatu Mtakatifu) na wakati huo huo Isa asiwe Mungu Mtu (na wala sehemu ya Utatu Mtakatifu)?

Pia una-reconcile vipi hoja katika quran kwamba Mungu (Allah) ni mmoja tu na hana mwenza au msaidizi na biblia kwamba Mungu ni mmoja ila katika nafsi tatu (Utatu Mtakatifu)?

Ndio maana kuna wakati inabidi tuwaulize Mungu ni nani/nini
Maana maswali kama haya ni ya ajabu sana

Hujajinibu kama unajua nini kuhusu Yesu na Isa unaniambia eti tuassume for the sake of argument kwanini?
Wewe sema unajua au hujui,na kama unajua utueleze unachokijua!
 
Unaelewa maana ya neno specific? Maana nisije kuwa nabishana na mtu kumbe haelewi key word.

Wakati mwingine huwa tunapotezeana muda na maswali ya hovyo sana!!!!!!!!!!
 
Wakati mwingine huwa tunapotezeana muda na maswali ya hovyo sana!!!!!!!!!!

Ya "hovyo" kwa mujibu wa nani? Nini kinayafanya yawe ya "hovyo"?

Kati ya asiye detail wala specificity anasema vitu kijumla jumla tu, na anayetaka kujikita katika detail with specificity nani anafanya mambo "hovyo"?
 
Ya "hovyo" kwa mujibu wa nani?

Kwa mujibu ya yenyewe!
Nini kinayafanya yawe ya "hovyo"?
Wewe!

Kati ya asiye detail wala specificity anasema vitu kijumla jumla tu, na anayetaka kujikita katika detail with specificity nani anafanya mambo "hovyo"?

Ni yule aliyeleta maelezo halafu anauliza mtu mwingine amuoneshe detaily with specificity wakati maelezo ni yake mwenyewe!
 
Kwa mujibu ya yenyewe!

Wewe!



Ni yule aliyeleta maelezo halafu anauliza mtu mwingine amuoneshe detaily with specificity wakati maelezo ni yake mwenyewe!

"Detaily"? Really?

That alone speaks volumes.

Umeshindwa kuuliza swali, huwezi kupata jibu.
 
Kukombolewa ni nini kwa mtazamo wako?


Mungu ni nini/nani?



Ukiambiwa umefana na mwanao anakuwa wewe?
Bado nahitaji unijibu kuwa Mungu nini/nani



Complicated mechanism ni nini?
Jibu kwanza hili swali halafu tuendelee!

Yaani wewe kwa kweli sijui tu tukueleweje. Ila kwanza nakupa credit kwa kujitahidi kudumu katika mjadala maana wenzako wameshakimbia. Sasa hapo juu unauliza maana "kukombolewa". Si hicho kitabu cha masimulizi ya wayahudi ndio kinachoongelea "ukombozi" na Mwana wa mtu kufa kwa dhambi zenu? Sasa unataka Anheuser akupe maana ipi ya "kukombolewa"? Kitabu chenu kwani kinasemaje?
 
Yaani wewe kwa kweli sijui tu tukueleweje. Ila kwanza nakupa credit kwa kujitahidi kudumu katika mjadala maana wenzako wameshakimbia. Sasa hapo juu unauliza maana "kukombolewa". Si hicho kitabu cha masimulizi ya wayahudi ndio kinachoongelea "ukombozi" na Mwana wa mtu kufa kwa dhambi zenu? Sasa unataka Anheuser akupe maana ipi ya "kukombolewa"? Kitabu chenu kwani kinasemaje?

Huyo jamaa kujadiliana naye ni vigumu sana.
 
Kwa lugha ya kwetu "kiranga maana yake ni shetani" sasa mnaobishana na shetani wakati ni mzoefu wa kubishana tangu kabla ya ulimwengu mnapoteza muda.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Ndio maana kuna wakati inabidi tuwaulize Mungu ni nani/nini
Maana maswali kama haya ni ya ajabu sana

Hujajinibu kama unajua nini kuhusu Yesu na Isa unaniambia eti tuassume for the sake of argument kwanini?
Wewe sema unajua au hujui,na kama unajua utueleze unachokijua!

Hivi shuleni ulifaulu vipi?

Mi Yesu huwa namsikia kutoka kwenu. Wengine wanasema ni Mwana wa Mungu. Wengine wanakataa siyo Mwana wa Mungu kwani Mungu Hana mshirikia achilia mbali mtoto. Sasa wewe ndio unijibu kuhusu huyo Yesu ili nizidi kumuelewa, na bila Shaka maswali zaidi.
 
Kwa lugha ya kwetu "kiranga maana yake ni shetani" sasa mnaobishana na shetani wakati ni mzoefu wa kubishana tangu kabla ya ulimwengu mnapoteza muda.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Shetani ni nani/nini? Alitokea wapi au aliumbwa na nani?
 
Huyo jamaa kujadiliana naye ni vigumu sana.

Tulisoma na watu wagumu shuleni, wagumu kweli kuelewa, that is years back...sasa mpaka leo hii bado unakutana na watu wa aina hiyo hiyo! Sijui huyu jamaa hata hiyo biblia anaielewa.
 
Yaani wewe kwa kweli sijui tu tukueleweje. Ila kwanza nakupa credit kwa kujitahidi kudumu katika mjadala maana wenzako wameshakimbia. Sasa hapo juu unauliza maana "kukombolewa". Si hicho kitabu cha masimulizi ya wayahudi ndio kinachoongelea "ukombozi" na Mwana wa mtu kufa kwa dhambi zenu? Sasa unataka Anheuser akupe maana ipi ya "kukombolewa"? Kitabu chenu kwani kinasemaje?

Kuna maana kubwa sana kujua YEYE anajua nini kuhusu kukombolewa
Kama hajui maana ya kukombolewa madai yake yote hayatakuwa na maana!!!!!!!!!!!!

Bado nahitaji nijue kama najua alichokuwa anazungumza,aje hapa ajibu!!!!!
 
Wewe ndio kiazi kweli!

Yale madai yako ya mwanzo umeona yamekosa mashiko sasa unakuja na madai mengine

Halafu hivi wewe hujawahi kuona utafiti uliofanywa New Delhi unajadiliwa na kufanyiwa kazi Chile?
Hebu cheki ulivyo chizi, kwahiyo nyie washika dini wa Tunduru huko ndio mmeamua kujadili tena na kuzifanyia kazi tafiti za miaka zaidi ya 6,000 iliyopita na tena tafiti zenyewe zilifanyika Mashariki ya Kati katika mazingira na jamii zenye utamaduni tofauti na wenu? Hivi nyie mmekosa kabisa akili na ubunifu hata wa kuazima ili muweze kufanya tafiti zenu current tena zinazoendana na mazingira ya kwenu mliyopo hadi muazime za miaka ya Pontio Pilato? Halafu na wewe unajiita Great Thinker? What nonsense!
 
Mi Yesu huwa namsikia kutoka kwenu. Wengine wanasema ni Mwana wa Mungu. Wengine wanakataa siyo Mwana wa Mungu kwani Mungu Hana mshirikia achilia mbali mtoto. Sasa wewe ndio unijibu kuhusu huyo Yesu ili nizidi kumuelewa, na bila Shaka maswali zaidi.

Hapa unathibitisha kuwa hujui chochote
Lakini kikubwa zaidi ni kuwa najiuliza mtu mwenye uwezo mzuri wa kufikiri anawezaje kubisha au kilikataa jambo asilolijua?

Muungwana huanza kuuliza kuhusiana na jambo asilolijua kisha anapata majibu halafu ndio anafanya maamuzi ya kukubali hayo maelezo ama kuyakataa

Sasa wewe kumbe huwa "unasikia kutoka kwa watu" halafu unakuja hapa kwa nguvu zote unasema hakuna Mungu!!!!!!!!!!!

Khaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hebu cheki ulivyo chizi, kwahiyo nyie washika dini wa Tunduru huko ndio mmeamua kujadili tena na kuzifanyia kazi tafiti za miaka zaidi ya 6,000 iliyopita na tena tafiti zenyewe zilifanyika Mashariki ya Kati katika mazingira na jamii zenye utamaduni tofauti na wenu? Hivi nyie mmekosa kabisa akili na ubunifu hata wa kuazima ili muweze kufanya tafiti zenu current tena zinazoendana na mazingira ya kwenu mliyopo hadi muazime za miaka ya Pontio Pilato? Halafu na wewe unajiita Great Thinker? What nonsense!

Hata jambo dogo namna hii umeshindwa kulielewa
Halafu unaita watu chizi

Lakini sishangai
Mtaani kwetu kuna mwendawazimu mmoja huwa anawaita watu wengine ambao hawapo kama yeye kuwa ni machizi!!!!!!!!!!
 
Hata jambo dogo namna hii umeshindwa kulielewa
Halafu unaita watu chizi

Lakini sishangai
Mtaani kwetu kuna mwendawazimu mmoja huwa anawaita watu wengine ambao hawapo kama yeye kuwa ni machizi!!!!!!!!!!

Sasa ndugu yangu, kama sio kwamba unaendeleza uchizi hapa ni kitu gani sasa? Yaani hicho ulicho-post hapo juu kwako wewe ndio majibu ya hoja yangu hii kweli? "kwahiyo nyie washika dini wa Tunduru huko ndio mmeamua kujadili tena na kuzifanyia kazi tafiti za miaka zaidi ya 6,000 iliyopita na tena tafiti zenyewe zilifanyika Mashariki ya Kati katika mazingira na jamii zenye utamaduni tofauti na wenu? Hivi nyie mmekosa kabisa akili na ubunifu hata wa kuazima ili muweze kufanya tafiti zenu current tena zinazoendana na mazingira ya kwenu mliyopo hadi muazime za miaka ya Pontio Pilato? Halafu na wewe unajiita Great Thinker? What nonsense!"
 
Hapa unathibitisha kuwa hujui chochote
Lakini kikubwa zaidi ni kuwa najiuliza mtu mwenye uwezo mzuri wa kufikiri anawezaje kubisha au kilikataa jambo asilolijua?

Muungwana huanza kuuliza kuhusiana na jambo asilolijua kisha anapata majibu halafu ndio anafanya maamuzi ya kukubali hayo maelezo ama kuyakataa

Sasa wewe kumbe huwa "unasikia kutoka kwa watu" halafu unakuja hapa kwa nguvu zote unasema hakuna Mungu!!!!!!!!!!!

Khaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Ni sawa na wewe unayesikia kutoka kwa "walimu wenu wa hizo dini zenu" halafu unakuja hapa kwa nguvu zote ukisema kuna mungu! Now, what is the difference between you and him?
 
Ni sawa na wewe unayesikia kutoka kwa "walimu wenu wa hizo dini zenu" halafu unakuja hapa kwa nguvu zote ukisema kuna mungu! Now, what is the difference between you and him?

Nimesema wapi kuwa nimesikia kutoka kwa walimu wa dini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom