Mvua na dishi la Dstv kusumbua

RRONDO

JF-Expert Member
Jan 3, 2010
51,719
107,835
Mara nyingi mvua ikinyesha DSTV matangazo yanakatika. Kwa mwezi huu wa nne na masika hizi si ajabu mvua ikanyesha wiki nzima au mara tano kwa wiki na hapo hutaona matangazo ya DSTV.

Je hapo si sawa na mtu unalipia huduma na huipati? Afadhali Tanesco umeme ukikatika LUKU haisomi kwahio huliwi pesa bure. Mfano leo kuanzia mchana huku nilipo mvus inanyesha mwendo ni on off kwenye DSTV.

Kuna njia yoyote DSTV mnaweza kufidia siku ambazo matangazo yanakatika kwasababu ya mvua?
Cc TCRA
IMG_20180408_193005.jpg
 
Ni hivi, satellite dish nyingi zinazotumia LNB za Ku-band zinakuwab na matatizo hasa kukiwa na hali ya hewa mbaya, mvua nyingi, mawingu mengi. Tofauti na LNB za C-band ambazo zipo stable sana na signal strength inakuwa vizuri tu wakati wa mvua.
 
Ni hivi, satellite dish nyingi zinazotumia LNB za Ku-band zinakuwab na matatizo hasa kukiwa na hali ya hewa mbaya, mvua nyingi, mawingu mengi. Tofauti na LNB za C-band ambazo zipo stable sana na signal strength inakuwa vizuri tu wakati wa mvua.
Bro, mimi nalipa monthly subscription nione matangazo, wao ndio wananifungia dish nk sasa wakiweka lnb c band sijui jazz band mimi sijui nataka nione 24hrs nikijisikia.
 
Back
Top Bottom