Mvinyo ........... wine............. Karibu

hii tutajuaje level ya alcohol? na vipi nikitaka kutengeneza size kidogo ya nyumbani?
 
Uzi wa siku nyingi sana;
Moderators wakaamua kuuweka kwenye jukwaa la utani,
hii ni mojawapo ya dharau.
Meljons, alcoholic test zipo kwenye maduka ya sido au tfda unaweza kupata;
ukitaka kutengeneza kiasi chochote fomula ni hiyo hapo juu, kwa hiyo utagawa kulingana
na wingi unaotaka kutengeneza.

hii tutajuaje level ya alcohol? na vipi nikitaka kutengeneza size kidogo ya nyumbani?
 
Last edited by a moderator:
Uzi wa siku nyingi sana;
Moderators wakaamua kuuweka kwenye jukwaa la utani,
hii ni mojawapo ya dharau.
Meljons, alcoholic test zipo kwenye maduka ya sido au tfda unaweza kupata;
ukitaka kutengeneza kiasi chochote fomula ni hiyo hapo juu, kwa hiyo utagawa kulingana
na wingi unaotaka kutengeneza.

Asante my dear.
Uzi ni wa siku nyingi lakini bado una elimu nzuri. Wanatakiwa wauweke kwenye jukwaa husika.
 
Last edited by a moderator:
Mbona sukari imekuwa kiasi kikubwa? Kg 12 kwenye lita 20! Itakuwa tamu sana hihyo jamani, angalia upya!
 
.
IMG_20180707_151205_2.jpg
 
Mods, chonde chonde, huu uzi nakuombeni muuache hapa hapa.

Leo tutengeneze mvinyo wa rozela; Kutengeneza mvinyo wa rozela .......... lita 20.

Viambaupishi;
rozela gramu 200;
sukari kilo 12;
chungwa 2
limao 1
hamira vijiko vidogo 6
sufuria,
ndoo ya lita 20
dumu la lita 20
air lock 1
mwiko 1
jiko na mkaa au kuni


NAMNA YA KUTENGENEZA

1. chemsha maji pamoja na rozela, chuja weka kwenye ndoo, ikianza kupoa weka sukari, juisi ya chungwa, limao juisi yake pamoja
na maganda ya nje yaparue (hii ni kwa ajili ya fleva), hamira, koroga funika vizuri.
2. koroga kila siku mara moja kwa muda wa siku sita
3. siku ya saba chuja, tia kwenye dumu la lita ishirini, weka air lock ikiwa na maji ndani (kama huna air lock unaweza
kutumia mrija ambao utauingiza kwenye chombo chenye maji) hii ni kwa ajili ya kutoa hewa ndani ya mvinyo wako;
4. Mvinyo mzuri ni ule uliosindikwa ukakaa muda wa kutosha ....... miezi sita na kuendelea.
5. baada ya miezi sita unaweza kufunga tayari kwa kuuza; ukitaka chupa, lebo, sili unaweza kuniuliza zaidi.

Karibuni kwa maswali maoni na ushauri.

Nawakilisha.
Nimeelewa vema asante,but nilitaka itumike ndani ya siku saba,kumbe haiwezi
 
Mods, chonde chonde, huu uzi nakuombeni muuache hapa hapa.

Leo tutengeneze mvinyo wa rozela; Kutengeneza mvinyo wa rozela .......... lita 20.

Viambaupishi;
rozela gramu 200;
sukari kilo 12;
chungwa 2
limao 1
hamira vijiko vidogo 6
sufuria,
ndoo ya lita 20
dumu la lita 20
air lock 1
mwiko 1
jiko na mkaa au kuni


NAMNA YA KUTENGENEZA

1. chemsha maji pamoja na rozela, chuja weka kwenye ndoo, ikianza kupoa weka sukari, juisi ya chungwa, limao juisi yake pamoja
na maganda ya nje yaparue (hii ni kwa ajili ya fleva), hamira, koroga funika vizuri.
2. koroga kila siku mara moja kwa muda wa siku sita
3. siku ya saba chuja, tia kwenye dumu la lita ishirini, weka air lock ikiwa na maji ndani (kama huna air lock unaweza
kutumia mrija ambao utauingiza kwenye chombo chenye maji) hii ni kwa ajili ya kutoa hewa ndani ya mvinyo wako;
4. Mvinyo mzuri ni ule uliosindikwa ukakaa muda wa kutosha ....... miezi sita na kuendelea.
5. baada ya miezi sita unaweza kufunga tayari kwa kuuza; ukitaka chupa, lebo, sili unaweza kuniuliza zaidi.

Karibuni kwa maswali maoni na ushauri.

Nawakilisha.

Naweza pata mawasiliano yako kama upo dar nataka kujifunza zaidi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukrani sana kwa elimu hii..ila miezi sita unsikiliza i mature mbona muda sana..
Mods, chonde chonde, huu uzi nakuombeni muuache hapa hapa.

Leo tutengeneze mvinyo wa rozela; Kutengeneza mvinyo wa rozela .......... lita 20.

Viambaupishi;
rozela gramu 200;
sukari kilo 12;
chungwa 2
limao 1
hamira vijiko vidogo 6
sufuria,
ndoo ya lita 20
dumu la lita 20
air lock 1
mwiko 1
jiko na mkaa au kuni


NAMNA YA KUTENGENEZA

1. chemsha maji pamoja na rozela, chuja weka kwenye ndoo, ikianza kupoa weka sukari, juisi ya chungwa, limao juisi yake pamoja
na maganda ya nje yaparue (hii ni kwa ajili ya fleva), hamira, koroga funika vizuri.
2. koroga kila siku mara moja kwa muda wa siku sita
3. siku ya saba chuja, tia kwenye dumu la lita ishirini, weka air lock ikiwa na maji ndani (kama huna air lock unaweza
kutumia mrija ambao utauingiza kwenye chombo chenye maji) hii ni kwa ajili ya kutoa hewa ndani ya mvinyo wako;
4. Mvinyo mzuri ni ule uliosindikwa ukakaa muda wa kutosha ....... miezi sita na kuendelea.
5. baada ya miezi sita unaweza kufunga tayari kwa kuuza; ukitaka chupa, lebo, sili unaweza kuniuliza zaidi.

Karibuni kwa maswali maoni na ushauri.

Nawakilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna vipimo maalum vya kupimia alcohol;
wakati fulani vilikuwa kwenye maduka ya sido
kwa miaka hii naamini kuwa vinapatikana mahali pengi zaidi.
Hamira inayo zungunziwa hapa ni hii hii ya kuumulia mikate tunayo nunua kwa mangi? Au ipo special yeast kwa ajili ya wine?
Uzi ni long time lakin ndio hivyo
 
Back
Top Bottom