Ha ha haaa ndo upi;
Mie ndo nausikia kwako leo.
Osie waaahemba iwe..!Hahaaaa mchanganyo huu nahisi unaweza ukalala siku tatu,sasa Mamndenyi mchanganyo aina ya air lock 1 kwangu mtihani ujue Lol!
Hahahaaaaa..! Mkuu huogopi bistula? Jamaa yake mch..g..!Nakuja niunywe usiku , afu mi nikilewa hua sioni njia .
Si utani dischurge hata usubui ?
Kuna tatizo ?
Ni mvinyo wa kiroba, ujazo wake ni almost 1/4 hafu jero tu n very steaming kaa ushazoea Kunywa kesto usijaribu hii kitu, buku 2 tu waweza chojoa mpaka pichu huku unaimba nani kamwaga pombe yangu...!?
Chungwa, limao, na hamira haujaeleza vinatumika wakati gani
Chungwa, limao, na hamira haujaeleza vinatumika wakati gani
Kuna vipimo maalum vya kupimia alcohol;
wakati fulani vilikuwa kwenye maduka ya sido
kwa miaka hii naamini kuwa vinapatikana mahali pengi zaidi.
Yaa uko sawa kawape hiyo fomula watengeneze mvinyo
binamu hujawahi kuusikia.....
​najua basi,mi hua nakunywa tu!!Poa. Ila fomula hiyo hawawezi kuwa nayo. Jaribu kuweka fomula yao hapa ili tuwasaidie.
Upo juu mam embu tuambie najinsi ya kuandaa mbege a.k.a wari