BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
Mkuu DC, mie kibao cha ''Mwanamke Hulka'' nakifagilia mbayaa!!..halooooo!
Hivi Teacher,
Ina maana hayo mashairi yako kwa kichwa au???
Haya bwana....kwa hilo tu,.....nimekuvulia kofia!!
Hivi hayo ma ujuzi hayomo kwenye ile package ya kizuri ukile na mwenzio (sharing is caring)??
Nitajaribu jaribu ingawa kichwa sasa kimesha-jam!
DC mambo ya vidole juu sio???
Mie nakumbuka wimbo mmoja aliimba nani sijui "Natanga na njia nahangaika ooohhh" Naupenda sana huu wimbo
Duh ....kwa hapo pekee sijaujua, hebu ongeza mistari kidogo.
DC mambo ya vidole juu sio???
Mie nakumbuka wimbo mmoja aliimba nani sijui "Natanga na njia nahangaika ooohhh" Naupenda sana huu wimbo
Gaijin bana mie mistari siijui.
But nakumbuka aliimba mwanaume eeehhh nimekumbuka jina kama sijakosea anaitwa Ali Star wakati akiwa na TOT nafikiri aahh bana kumbukumbu ziro
hahahaaa lol...
Dena umechoka??? au njaa??
Ha!! We nae kunisema hadharani ndo nini?? Sijaishika mistari bana
Asante Gaijin atakuwa ameuelewa sasa watu wengine kuimba hatujui bana
Ha!! We nae kunisema hadharani ndo nini?? Sijaishika mistari bana
Asante Gaijin atakuwa ameuelewa sasa watu wengine kuimba hatujui bana
aah hata bafuni bibie weye waoga bila kijiwimbo?? akhaa hebu usiniangushe kwani wewe unataka kuimba sauti ka Bi Malika???
jipe raha mwenyewe bana imba hata 'flat' tu
Bee mwambie huyo kuwa ukizowea kuimba hizi hata sauti inakuwa inajifanyia automatic tuning......inageuka nyororoooooo lolz
Unaosha vyombo huku na "fanya wema wende zako singojee shukurani"
ushajifunza pia hahaha
aah hata bafuni bibie weye waoga bila kijiwimbo?? akhaa hebu usiniangushe kwani wewe unataka kuimba sauti ka Bi Malika???
jipe raha mwenyewe bana imba hata 'flat' tu