Kwanza uasisi wake tu ni magumashi, LISSU aliwahi kuuchambua bungeni kiundani saana huu muungano namna ulivyoasisiwa na jinsi gani ulivyo batili, hiyo video ipo Youtube.Jamani naomba anayefahamu faida za huu muungano kwa Tanzania bara au Tanganyika anifahamishe,mm uelewa wangu ni mdogo Kila nikijaribu kutafuta faida za muungano sizioni
Ilikuwa ni kamati ya maridhiano ya muundo wa katiba mpya, kamati ilikuwa chini ya Jaji Warioba na Spika wa kipindi hiko alikuwa Samwel Sitta.