chabuso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 6,379
- 5,887
Mungano utafika kikomo chake sio kwa kesi kama hiyokwani sifikirii kama watawala wa CCM watakubali kutoa nchi kirahisi hivyo,kama waliweza kukataa kuwapa wazanzibari haki yao ya waliomchagua,wakahairisha matokeo...Labda hao waliofungua hiyo kesi wana na Plan BUkiwa tutashinda hii case, Sijajua hatua zitakazo fuata, kwa sababu mimi sio mtu wa sheria, lkn naamini ya kwamba, muungano utafikia kikomo chake kwa sababu huu Muungano ni maigizo, na fidia watalipa. Subiri tu


