Muungano ukivunjika

Muungano ukivunjika

Umesahau kitu kimoja, na Pemba itapata Uhuru wake na kuwa nchi na kupata mazagazaga kibao, kwa hiyo ngoma droo
 
Umesahau kitu kimoja, na Pemba itapata Uhuru wake na kuwa nchi na kupata mazagazaga kibao, kwa hiyo ngoma droo
Unaijua Pemba ilivyo kaa? "bila ya Pemba hakuna Zanzibar, bila ya Unguja hakuja Zanzibar.
 
One day dreams will come true, our hopes will never die, vitakufa vyama tu.
FB_IMG_1527645233591.jpg
 
Zanzibar kuwa full membership united nation
Zanzibar kuwa na mabalozi wake all over the world

Zanzibar kuwa member wa Fifa
Zanzibar kuwa member wa Caf
Zanzibar kuwa member wa OIC
Zanzibar kuwa na passport yake
Zanzibar kuwa member wa East Africa community(EAC)
Zanzibar kuwa na nyanja nzuri za kiuchumi, kimataifa na kitaifa bila ya vikwazo.
Zanzibar kuwa na sarafu yake.
Zanzibar kuwa na wizara yake ya elimu,
Zanzibar kuwa na wizara ya Anga
Zanzibar kuwa na bank kuu.
Zanzibar kuwa na jeshi lake coast guard
Zanzibar kuwa na jeshi la polisi lake
Zanzibar kuwa na usalama wa taifa
Zanzibar kuwa free port, kama dubai.
Zanzibar kuwa member wa AU


Wizara hizi zote zina ajira zaidi ya 10,000 ni faida kwa wazanzibari.

Kwa upande wa Tanganyika, nahisi kuwa watatumia jina la Tanzania .

Watatumia influence ile ile ya Jamuhuri ya Muungano na Jamuhuri ya Tanzania au tanganyika, ni kubadili kidogo tu.

Siwezi kusubiri case ya Muungano kuja kusikilizwa huku Zanzibar, kwa maana nina kila sababu ya kuunga mkono, faida ni nyingi kwa Wazanzibar kuliko hasara.

InshaAllah
ila wazanzibar wabaguzi jmn dah! Mna hulka kama ya waarabu.
 
Hamjui Wazanzibari walijazana
Zanzibar kuwa full membership united nation
Zanzibar kuwa na mabalozi wake all over the world

Zanzibar kuwa member wa Fifa
Zanzibar kuwa member wa Caf
Zanzibar kuwa member wa OIC
Zanzibar kuwa na passport yake
Zanzibar kuwa member wa East Africa community(EAC)
Zanzibar kuwa na nyanja nzuri za kiuchumi, kimataifa na kitaifa bila ya vikwazo.
Zanzibar kuwa na sarafu yake.
Zanzibar kuwa na wizara yake ya elimu,
Zanzibar kuwa na wizara ya Anga
Zanzibar kuwa na bank kuu.
Zanzibar kuwa na jeshi lake coast guard
Zanzibar kuwa na jeshi la polisi lake
Zanzibar kuwa na usalama wa taifa
Zanzibar kuwa free port, kama dubai.
Zanzibar kuwa member wa AU


Wizara hizi zote zina ajira zaidi ya 10,000 ni faida kwa wazanzibari.

Kwa upande wa Tanganyika, nahisi kuwa watatumia jina la Tanzania .

Watatumia influence ile ile ya Jamuhuri ya Muungano na Jamuhuri ya Tanzania au tanganyika, ni kubadili kidogo tu.

Siwezi kusubiri case ya Muungano kuja kusikilizwa huku Zanzibar, kwa maana nina kila sababu ya kuunga mkono, faida ni nyingi kwa Wazanzibar kuliko hasara.

InshaAllah
hamjui wanzanzibari walijazana huku bara wewe acha zako. Muungano ukuvunjik Znz inagawanyika inakuwa Pemba ya na Unguja ya ASP. Naujua hata na nyie ccm hamuipendi ni basi tu.
 
Wapemba na waunguja wooteeeeeeee warudi kwao. hili nalo mlitambue sio mnangngana na muungano uvunjike tu. Wallah hadi makaburi ya ndugu zenu mliowazika bara mtayabeba mgongoni.
Hicho kitu hakuna.Na huku kuna Watanganyika lukuki tena wamenufaika haswaa
 
Zanzibar kuwa full membership united nation
Zanzibar kuwa na mabalozi wake all over the world

Zanzibar kuwa member wa Fifa
Zanzibar kuwa member wa Caf
Zanzibar kuwa member wa OIC
Zanzibar kuwa na passport yake
Zanzibar kuwa member wa East Africa community(EAC)
Zanzibar kuwa na nyanja nzuri za kiuchumi, kimataifa na kitaifa bila ya vikwazo.
Zanzibar kuwa na sarafu yake.
Zanzibar kuwa na wizara yake ya elimu,
Zanzibar kuwa na wizara ya Anga
Zanzibar kuwa na bank kuu.
Zanzibar kuwa na jeshi lake coast guard
Zanzibar kuwa na jeshi la polisi lake
Zanzibar kuwa na usalama wa taifa
Zanzibar kuwa free port, kama dubai.
Zanzibar kuwa member wa AU


Wizara hizi zote zina ajira zaidi ya 10,000 ni faida kwa wazanzibari.

Kwa upande wa Tanganyika, nahisi kuwa watatumia jina la Tanzania .

Watatumia influence ile ile ya Jamuhuri ya Muungano na Jamuhuri ya Tanzania au tanganyika, ni kubadili kidogo tu.

Siwezi kusubiri case ya Muungano kuja kusikilizwa huku Zanzibar, kwa maana nina kila sababu ya kuunga mkono, faida ni nyingi kwa Wazanzibar kuliko hasara.

InshaAllah
Kuna faida nyingi zaidi kuendelea kua na muungano kuliko kuuvunja
1. Kuendelea kua na jamhuri ya muungano wa Tanzania
2. Kuharamisha maazimio ya mkutano wa Berlin ulioigawanya Africa.
3. Kufuta machozi ya wa africa waliopelekwa bila ridhaa yao Zanzibar
4. Kuharamisha uwepo wa sultani kama raia wa Zanzibar
5. Kuunganisha watu wa historia moja walionyang'anywa uhuru wao na wa-Oman
Kuirudisha sehemu ya Africa ilotwaliwa na waarabu .

Kama haya yote ni sababu basi mtu wa pemba ana fursa sawa na mtu wa Dar es salaam.
 
Vilevile wazanzibari wote waliopo bara itabidi warudi kwao........SASA HUU UTAKUWA NI MSIBA
 
Wenzenu wanazidi kuungana nyie mnafikiria kutengana!! Badala ya kufikiri ni vipi tunaweza kwenda hatua kubwa zaidi katika umoja wa EA tunafikiria kuadd member mwingine Zanzibar!

Hakuna kinachozuia Zanzibar kuendelea ambacho kinakwamishwa na muungano, achilia mbali fikra za jumuiya za misaada.

Nchi inajengwa kupitia rasilimali zake. Leo mafuta yakipatikana Zanzibar yatabaki kuwa ya Zanzibar na hakuna la kubadili hilo. Umoja wetu ndio nguvu yetu, msidanganywe!
wenzenu wapi wanaoungana unaweza kututajia nchi moja tu PLEASE
 
Karume aliposema koti likikubana unalivua akauliwa..Jumbe akafungiwa miaka yote Mjimwema...Maalim Seif akawekwa kizuizini....Wahenga tunataka kujua kuna siri gani Zanzibar mpaka Tanganyika wako tayari kupeleka jeshi kuwatishia...
Ni jambo rahisi mbona wala hauhitaji PhD kuelewa.
We don't need an Islamic State near our borders! Islamic States tend to be security nightmares!
 
Mbona hizi "Artificial Unions" zimeshakufa nyingi tu hapa duniani? Ile ya USSR, Yugoslavia, Senegambia, United Arab Republic, Rep of Somalia, Ethiopia/Eritrea Nk. Hii haitakuwa "Exception" and time will tell.
haitokuja kutokea
 
Wenzenu wanazidi kuungana nyie mnafikiria kutengana!! Badala ya kufikiri ni vipi tunaweza kwenda hatua kubwa zaidi katika umoja wa EA tunafikiria kuadd member mwingine Zanzibar!

Hakuna kinachozuia Zanzibar kuendelea ambacho kinakwamishwa na muungano, achilia mbali fikra za jumuiya za misaada.

Nchi inajengwa kupitia rasilimali zake. Leo mafuta yakipatikana Zanzibar yatabaki kuwa ya Zanzibar na hakuna la kubadili hilo. Umoja wetu ndio nguvu yetu, msidanganywe!
Nani wanaungana Mkuu,juzi juzi tu UK(united Kingdom) imejitoa kwenye Umoja wa Ulaya,Kuungana kitu kizuri, waswahili wana sema "umoja ni nguvu".lakini kama umoja hauna manufaa unakuwa udhaifu,Muungano huu hauna tija kwa taifa,huu mungano haufai..

Mungano wa Tanganyika na Zanzibar unanufaisha kikundi cha watu fulani,yaani CCM hauna manufaa kwa Wazanzibari wala Watanganyika na ndio maana kila siku kero za Mungano hazishi...
 
Ni jambo rahisi mbona wala hauhitaji PhD kuelewa.
We don't need an Islamic State near our borders! Islamic States tend to be security nightmares!
We don't need Crusaders either,..Nimeona picha Magufuli,Ndugai wamevaa kanzu za kiislam,kwenye tafrija ya ubalozi wa Saudi Arabia,Nimecheke mpaka mbavu zimenibana,mkitaka kuomba misaada mnavalishwa kila kitu..😀
 
Back
Top Bottom