Norton82
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 1,187
- 1,060
Toba, kumbe ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha ♂️♂️♂️Wapemba na waunguja wooteeeeeeee warudi kwao. hili nalo mlitambue sio mnangngana na muungano uvunjike tu. Wallah hadi makaburi ya ndugu zenu mliowazika bara mtayabeba mgongoni.