Muungano ukivunjika

Muungano ukivunjika

Nani amewashika mkono kujitenga? Sio nyingi mnaokuja Dodoma mkipingana wenyewe? Nishasema siku mtakapoungana kati ya mpemba na muunguja mtajitenga asubuhi na mapema.
Kinachowasumbua ni ule ubaguzi kati ya mjukuu wa Sultani na Mshirazi.
Hakuna mwananchi yoyote wa bara anauhitaji muungano kuliko nyinyi mnavyouhitaji, mtu wa bara ananufaika nini na Zanzibar wakati kila anachokitaka kipo bara kwa wingi wake? Hakuna cha kuwekeza huko sasa kipi mtu wa bara atasikitika mkijitenga?
Msipige kelele tengueni muungano hata kesho, mna wawakilishi wenu mliowachagua wenyewe sasa shida iko wapi kama mnajiweza.
Hicho kikundi cha afro Shirazi unacho ongea wewe ni cha wahuni tu, ni kikundi kidogo tu, afro Shirazi ni kina mzee Nassor moyo, jumbe, na wengine washakufa, in fact, Zanzibar Hakuna anae taka Muungano, fuatilia maoni ya katiba alivyo ongea Warioba
 
Hicho kikundi cha afro Shirazi unacho ongea wewe ni cha wahuni tu, ni kikundi kidogo tu, afro Shirazi ni kina mzee Nassor moyo, jumbe, na wengine washakufa, in fact, Zanzibar Hakuna anae taka Muungano, fuatilia maoni ya katiba alivyo ongea Warioba
Kwani hicho kikundi kipo Zanzibar au bara na kama hakina athar zozote si mfanye mchakato wenu kwa kujitenga hata kesho sheikh?
Mnawalalamikia wabara wakati vikwazo vipo milangoni mwenu? Rejea bunge la katiba kati ya marhum Asha Bakari na CCM wenzake vs Ismai Jusa na CUF wenzake sasa niambie mchawi alikuwa nani pale?
Mkitoka na agenda moja hakuna wa kuwazuia kujitenga hata kesho, lakini kama wazanzibar wenyewe wanaenda kupingana hadharani mbele ya wanayemdai uhuru unategemea mtoa uhuru uotoe kwa nani mmojawapo kati ya hao wawili?
 
Disemba 1993



MJADALA unaendelea nchini kote juu ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika na muundo wa Muungano wa Zanzibar na Tanganyika. Inavyoelekea yapo matatizo, dosari na sababu za msingi zilizopelekea wananchi kuhoji muundo wa sasa wa Muungano na kuleta hoja ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika ni yenye kuundwa kama si leo kesho.

Lakini wapo pia wanaopinga kabisa kuundwa kwa serikali ya Tanganyika.

Aliyejitokeza kwa nguvu na kwa ukali hadharani kupinga hoja hiyo ni Mwalimu Julius Nyerere, katika kupinga hoja hiyo Mwalimu anatoa hoja zifuatazo:

Hoja ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika imeletwa kwa kuwachoka Wazanzibari na Waislamu. Ufupi wa maneno Mwalimu Nyerere anadai hoja ya kuundwa Serikali ya Tanganyika imetokana na chuki za kidini - Wakristo kuwachukia Waislamu.

Hoja haipo katika sera za CCM na taratibu zimekosewa.

Kuundwa kwa serikali ya Tanganyika kutavunja Muungano na kutavunja Tanganyika pia.

Ukizingatia sifa nyingi ambazo Nyerere alijilimbikizia wakati wa utawala wake na sasa si vigumu kuelewa kwa nini anapinga kuundwa kwa serikali ya Tanganyika. Mambo yake yote aliyoyaanzisha kwa vishindo huku akisifiwa kuwa zidumu fikra zake, yamekuwa yakiporomoka moja baada ya jingine huku mwenyewe akiona. Lililosalia ni Muungano; nao ukiporomoka haitaleta picha nzuri katika historia yake katika siasa.

Lakini lililo gumu kueleweka ni hatua ya Mwalimu Nyerere kutumia Turufu ya udini kuwagawa Wabunge; wana-CCM na Wa-Tanzania kwa ujumla katika suala hili. Kauli hiyo ingesemwa na Muislamu ingepewa mtizamo tofauti na labda isingeeleweka hasa miongoni mwa Waislamu. Lakini kusemwa na Mwalimu Nyerere kunaleta mkanganyiko zaidi. Kwanini; (udini ulikuwa umejengeka). Hali hiyo ilipelekea Masheikh kumlalamikia lakini akawanyamazisha kwa kuwashutumu kuwa wanachanganya dini na siasa. Miongoni mwa Masheikh hao wapo waliofukuzwa nchini; waliowekwa kizuizini, waliofukuzwa katika chama na kadhalika.

Sheikh Hassan bin Amir katika waraka wake kwa Waislamu mwaka 1963 aliutaja udini uliokuwa unajengwa Tanzania kwa kutoa mifano ifuatayo:

Kuingizwa nchini Tanganyika mara tu baada ya uhuru vimedali vidogo vidogo vyenye picha ya bendera ya Tanganyika usoni na katikati ya bendera hiyo amesimama Mama Maria na mtoto mchanga na nyuma yake maandiko 'MARIA MTAKATIFU ULINDE UHURU WA TANGANYIKA'.

Gazeti la KIONGOZI la tarehe 1/8/1963 lilimuonyesha Bwana George Kahama akipewa cheo cha dini na Pope kwa kuwakilisha serikali ya Tanganyika katika mkutano wa Makanisa ya Roma.

Mwaka huo huo wa 1963, mnamo tarehe 24 mwezi wa nane, Baraza Kuu la Makanisa ya Kilutheri Tanganyika lilitoa matangazo kuwa Uhuru wa Tanganyika ulikuwa 'Chini ya Msalaba'.

Tarehe 17/5/1963 Makanisa yalifanyia mkutano wao ndani ya Bunge.

Alipokufa Pope Yohana wa 23 bendera ya taifa ilipepea nusu mlingoti nchi nzima!

Kabla ya kifo chake Pope Yohana wa 23 alimletea Mheshimiwa Nyerere barua ya pongezi kwa kuupanua Ukristo- barua ambayo ilitiwa saini na Pope mwenyewe. Barua hiyo imetangazwa kwenye gazeti la Tanganyika Standard.

Gazeti la Reporter la Kenya la tarehe 20/6/1963 lilitangaza katika ukurasa wake wa mbele: "KUIBADILI AFRIKA YA MASHARIKI KUWA KATIKA DINI YA ROMANI CATHOLIC". Ndani ya gazeti hilo ukurasa wa 18 liliwataja waliopewa dhamana ya kufanikisha jambo hilo kuwa ni: Uganda - Kiwanuka, Kenya - Mboya na Tanganyika Mheshimiwa Nyerere.
Haya yote yaliyosimuliwa sio sababu ya Zanzibar kushindwa kujitenga sasa hivi kama wakiamua, Nyerere alifanikiwa kufanya hivyo kwa sababu wapo Wazanzibar kwa hiari yao au kutokujua waliamua kuutukuza muungano mbele yake na wakamuahidi kuwadhibiti wenzao watakaopinga muungano na ndio maana wale wote waliopinga wakaitwa na Nyerere inasemekana waliulizwa swali moja dogo tu ''NANI AMEKUTUMA'' NI WAZANZIBAR? NA KAMA NI WAZANZIBAR ULIWAULIZA LINI KUHUSU MUUNGANO?
 
Kwani hicho kikundi kipo Zanzibar au bara na kama hakina athar zozote si mfanye mchakato wenu kwa kujitenga hata kesho sheikh?
Mnawalalamikia wabara wakati vikwazo vipo milangoni mwenu? Rejea bunge la katiba kati ya marhum Asha Bakari na CCM wenzake vs Ismai Jusa na CUF wenzake sasa niambie mchawi alikuwa nani pale?
Mkitoka na agenda moja hakuna wa kuwazuia kujitenga hata kesho, lakini kama wazanzibar wenyewe wanaenda kupingana hadharani mbele ya wanayemdai uhuru unategemea mtoa uhuru uotoe kwa nani mmojawapo kati ya hao wawili?

Kwani Tanganyika si ishughulike na mambo yake , ya nini kujishughulisha na mambor ya nchi za watu??
 
Haha alikuwa analinda ugali wake pale, hivi hebu angalia baraza la waakilishi hivi sasa ccm wenyewe wanalia na muungano, tena hao afro Shiraz unaowaona wewe, hii nchi sio ya afro, ní ya wazanzibari, haijali wewe una ethnic gani, hizo siasa zenu ya Unguja na Pemba mwisho chumbe
 
Haya yote yaliyosimuliwa sio sababu ya Zanzibar kushindwa kujitenga sasa hivi kama wakiamua, Nyerere alifanikiwa kufanya hivyo kwa sababu wapo Wazanzibar kwa hiari yao au kutokujua waliamua kuutukuza muungano mbele yake na wakamuahidi kuwadhibiti wenzao watakaopinga muungano na ndio maana wale wote waliopinga wakaitwa na Nyerere inasemekana waliulizwa swali moja dogo tu ''NANI AMEKUTUMA'' NI WAZANZIBAR? NA KAMA NI WAZANZIBAR ULIWAULIZA LINI KUHUSU MUUNGANO?


Ulitaka tutumie mizinga ambayo imeshikiliwa na jeshi la uvamizi?? Mbona hamuivamii Kenya?? Wanaosema ukweli mumewakamata na kuwabambikizia kesi za kigaidi
 
Haya yote yaliyosimuliwa sio sababu ya Zanzibar kushindwa kujitenga sasa hivi kama wakiamua, Nyerere alifanikiwa kufanya hivyo kwa sababu wapo Wazanzibar kwa hiari yao au kutokujua waliamua kuutukuza muungano mbele yake na wakamuahidi kuwadhibiti wenzao watakaopinga muungano na ndio maana wale wote waliopinga wakaitwa na Nyerere inasemekana waliulizwa swali moja dogo tu ''NANI AMEKUTUMA'' NI WAZANZIBAR? NA KAMA NI WAZANZIBAR ULIWAULIZA LINI KUHUSU MUUNGANO?

Unao ushahidi wa uliyoyaandika??
 
Ulitaka tutumie mizinga ambayo imeshikiliwa na jeshi la uvamizi?? Mbona hamuivamii Kenya?? Wanaosema ukweli mumewakamata na kuwabambikizia kesi za kigaidi
Kwani tushawahi kuungana na Kenya? Ushawahi kumuona Kenyata akichanganya udongo pale Namanga kama alivyofanya Mzee Karume?
 
Kwani tushawahi kuungana na Kenya? Ushawahi kumuona Kenyata akichanganya udongo pale Namanga kama alivyofanya Mzee Karume?
Mzee Karume hakuchanganya mchanga, alie fanya hivyo ni Nyerere, au unao ushahidi, weka picha na maandishi
 
Haha alikuwa analinda ugali wake pale, hivi hebu angalia baraza la waakilishi hivi sasa ccm wenyewe wanalia na muungano, tena hao afro Shiraz unaowaona wewe, hii nchi sio ya afro, ní ya wazanzibari, haijali wewe una ethnic gani, hizo siasa zenu ya Unguja na Pemba mwisho chumbe
Sasa kama mshaungana ndugu zetu kesho si muanze mchakato wa kujitenga?
Kaka mshatoka huko kwenye Afro na ni kitu kimoja basi yunatarajia bunge linaloendelea Dodoma mtauwasha moto bika kujali huyu ni CCM au CUF kwa maslahi ya Zanzibar na watu wake mkijumlisha na kauli moja ya baraza la wawakilishi kazi kwisha.
 
Mzee Karume hakuchanganya mchanga, alie fanya hivyo ni Nyerere, au unao ushahidi, weka picha na maandishi
Mzee Nyerere alichanganya mchanga akiwa wapi na kwa amri ya nani mpaka achanganye udongo wa wa watu wasiokuwepo au kujadili swala lenyewe? Mbona hakuchanganya wa Kenya, Zambia, Malawi, Msumbiji na kwingineko anakopakana nako akchanganya wa Zanzibar labda mlikuwa na kipi kigeni sana mpaka akawaingiza mkenge watu wazima na masharubu yenu?
 
Kwani tushawahi kuungana na Kenya? Ushawahi kumuona Kenyata akichanganya udongo pale Namanga kama alivyofanya Mzee Karume?


kwani Zanzibar iliungana na Tanganyika ???

Huu si muungano ni uvamizi, Tanganyika chini ya Laanatullahi Nyerere iliivamia Zanzibar na kumkamata Waziri Mkuu Wake Muhammed Shamte aliyechaguliwa na watu kwa kura na kuwakamata mawaziri Wake na kuwafunga katika magereza ya Tanganyika bila kuwafikisha mahakamani kwa zaidi ya miaka 10 kabla ya hata huo uitwao muungano haujafikiriwa na huo mchanga wako wa macho haujachanganywa
 
Umesoma lakini ukaelewa nilichoandika?



ulichokiandika ni hichi


Haya yote yaliyosimuliwa sio sababu ya Zanzibar kushindwa kujitenga sasa hivi kama wakiamua, Nyerere alifanikiwa kufanya hivyo kwa sababu wapo Wazanzibar kwa hiari yao au kutokujua waliamua kuutukuza muungano mbele yake na wakamuahidi kuwadhibiti wenzao watakaopinga muungano na ndio maana wale wote waliopinga wakaitwa na Nyerere inasemekana waliulizwa swali moja dogo tu ''NANI AMEKUTUMA'' NI WAZANZIBAR? NA KAMA NI WAZANZIBAR ULIWAULIZA LINI KUHUSU MUUNGANO?


Tuletee ushahidi wa haya maneno yako
 
wanaodai uhuru au kuvunja muungano hawajui! lifespan ya visiwa hivyo ni 50 years. hata wanao invest dar hali ni hiyo hiyo. barafu inayeyuka, maji yanapanda.
a-surprisingly-subtle-force-may-have-broken-off-one-of-the-largest-icebergs-ever-recorded.png
 
Zanzibar kuwa full membership united nation
Zanzibar kuwa na mabalozi wake all over the world

Zanzibar kuwa member wa Fifa
Zanzibar kuwa member wa Caf
Zanzibar kuwa member wa OIC
Zanzibar kuwa na passport yake
Zanzibar kuwa member wa East Africa community(EAC)
Zanzibar kuwa na nyanja nzuri za kiuchumi, kimataifa na kitaifa bila ya vikwazo.
Zanzibar kuwa na sarafu yake.
Zanzibar kuwa na wizara yake ya elimu,
Zanzibar kuwa na wizara ya Anga
Zanzibar kuwa na bank kuu.
Zanzibar kuwa na jeshi lake coast guard
Zanzibar kuwa na jeshi la polisi lake
Zanzibar kuwa na usalama wa taifa
Zanzibar kuwa free port, kama dubai.
Zanzibar kuwa member wa AU


Wizara hizi zote zina ajira zaidi ya 10,000 ni faida kwa wazanzibari.

Kwa upande wa Tanganyika, nahisi kuwa watatumia jina la Tanzania .

Watatumia influence ile ile ya Jamuhuri ya Muungano na Jamuhuri ya Tanzania au tanganyika, ni kubadili kidogo tu.

Siwezi kusubiri case ya Muungano kuja kusikilizwa huku Zanzibar, kwa maana nina kila sababu ya kuunga mkono, faida ni nyingi kwa Wazanzibar kuliko hasara.

InshaAllah
Mungu ibariki Jamhuri ya watu wa Zanzibar
 
kwani Zanzibar iliungana na Tanganyika ???

Huu si muungano ni uvamizi, Tanganyika chini ya Laanatullahi Nyerere iliivamia Zanzibar na kumkamata Waziri Mkuu Wake Muhammed Shamte aliyechaguliwa na watu kwa kura na kuwakamata mawaziri Wake na kuwafunga katika magereza ya Tanganyika bila kuwafikisha mahakamani kwa zaidi ya miaka 10 kabla ya hata huo uitwao muungano haujafikiriwa na huo mchanga wako wa macho haujachanganywa
Hapo ndio mnapofeli, wakati wengine mkijifanya Karume hakufanya chochote na kuwatukuza kina Shamte ndio hapohapo wengine wanapowaona nyinyi ni mamluki, wengine wanaamini kabisa Karume alikubali muungano baada ya kuwastukia nyinyi masalia wa Sultani mtamsumbua baadae na ndio sababu hiyo hamuwezi kukaa meza moja kwani mna ajenda mbili tofauti.
Yale mnayofanya pale Kisonge ndio taswira halisi ya mnapokwama.
 
ulichokiandika ni hichi


Haya yote yaliyosimuliwa sio sababu ya Zanzibar kushindwa kujitenga sasa hivi kama wakiamua, Nyerere alifanikiwa kufanya hivyo kwa sababu wapo Wazanzibar kwa hiari yao au kutokujua waliamua kuutukuza muungano mbele yake na wakamuahidi kuwadhibiti wenzao watakaopinga muungano na ndio maana wale wote waliopinga wakaitwa na Nyerere inasemekana waliulizwa swali moja dogo tu ''NANI AMEKUTUMA'' NI WAZANZIBAR? NA KAMA NI WAZANZIBAR ULIWAULIZA LINI KUHUSU MUUNGANO?


Tuletee ushahidi wa haya maneno yako
Sasa ukisoma hapo hujui hata maana ya neno Inasemekana? Wewe yale uliyotuletea kupitia migazeti yako unaweza kutuwekea ushahidi hapa?
 
Bila Tanganyika Hamna Zanzibar utaskia Mimi mpemba au Mimi muunguja au Mimi mmafia msiombe damu ya ubaguzi iendelee kusambaa bora tuje na wazo la serikali tatu kuliko kujitenga
 
Back
Top Bottom