James Hadley Chase
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 2,101
- 3,866
Shukran sana mkuuHii ngoma Kama sikosei unaseme muvi inaitwa SAVIOR ni mercenary wanakwenda kwenye vita vya chechnia halafu jamaa Yuko na partner wake anataka kumshoot mjamzito anayetaka kujifungua,jamaa inabidi amshuti partner wake then aanze kupambana kumuokoa huyo mama na mtoto wake,anafanikiwa ila ndio mama wa mtoto anapigwa nyundo ya kichwa pamoja na mateka wengine alipokamatwa akiwa ammenda kusaka msaada town
Kaangalie A$I na Theory of EverythingMi nahitaji movie zenye kutumia akili kuielewa kama ile Players & Race ya kihindi
We were soldierOyaa... Mtumoja anipe movie la kivita Kali sana la huko Afghanistan nidownload chap niangalie usiku huu
NotedTENET
Thanks mkuuKaangalie A$I na Theory of Everything
12 strongOyaa... Mtumoja anipe movie la kivita Kali sana la huko Afghanistan nidownload chap niangalie usiku huu
wanakuja na li dege lao la duara huku duniani alafu linakaa juu linatoa mwanga mkali ukiangalia tu ule mwanga unavutwa juu unaenda ndani ya hilo dege unatolewa ubongo alafu ubongo huo wanawekewa ma Alien wengine wanao tengenezwa maabara.Hii inaonesha itachekesha mno😂Sijaiona lkn. View attachment 2271810
Mr Bean tena huyo.Hii inaonesha itachekesha mno![]()
Imeshatoka?Mr Bean tena huyo.
Sina muda lkn nikitulia nitai download
Yani MB 180 ZIMESHUSHA EPISODES 9 😂😂😂 netnaija wanajua kunifurahiaha and the quality to me is not so bad MP4 inanitoshaSijaiona lkn. View attachment 2271810
Asante mkuu kwa kutujuza kumbe netnaija ipoYani MB 180 ZIMESHUSHA EPISODES 9 😂😂😂 netnaija wanajua kunifurahiaha and the quality to me is not so bad MP4 inanitoshaView attachment 2272393