Muongozo: Mapokezi ya Lissu

Muongozo: Mapokezi ya Lissu

Hii Tabia ya kuwasemea watanzania ikome!
Hii Tabia ya kuwahusisha watanzania na Mambo ya kihuni na muhuni wenu mkome!
Lisu ni na Nani nchi hii?
Wewe humo, hebu punguza kiherehere...
 
Kuna haja Sirro aandae bakora za kutosha
Siro hana haja ya kuandaa bakora ataweka vijana wake tu ili wawalinde vizuri watu watakaompokea shujaa Lissu kama alivyoweka vijana wake wakati wa Mapokezi ya Hussein Mwinyi Zanzibar
 
Usimuhusishe mungu na vitu vya kijinga popoyo wewe
Najua wajua kuwa huwezi kupona risasi 38 bila kuwepo kwa mkono wa Mungu. Mungu tu pamoja na Lissu na lolote mtakalopanga dhidi yake hamtafanikiwa. Amewaonyesha ana atazidi kuwaonyesha
 
Hii Tabia ya kuwasemea watanzania ikome!
Hii Tabia ya kuwahusisha watanzania na Mambo ya kihuni na muhuni wenu mkome!
Lisu ni na Nani nchi hii?
unaharaka sana yani humjui kiboko ya MEKO? hebu tuliza makalio vizuri upako usambae mwilini mwako vizuri akili ikurudi
 
Tuko pamoja mkuu.... Ila nadhani huu msiba umetengenezwa na ccm ili kuvuruga mapokezi muhimu sana ya mh Tundu LISSU......

Ccm chama na serikali yake ya kishetani hawashindwi
Mbona hawa watu wana polisi, kwanini waue mtu muhimu kama huyu?
 
Tuko pamoja mkuu.... Ila nadhani huu msiba umetengenezwa na ccm ili kuvuruga mapokezi muhimu sana ya mh Tundu LISSU......

Ccm chama na serikali yake ya kishetani hawashindwi
Nami nimewaza kama wewe
 
Hivi kwa nini ukiwa CCM lazima uwe na roho mbaya,Muuaji,msema uongo,hutendi haki,ni zaidi ya mchawi,kama huamini angalia michango ya wana CCM inavyomzungumzia Tundu lisu,yaani ni zaidi ya makaburu kipindi kile cha ubaguzi wa rangi
 
Back
Top Bottom