Aliyekufa na faili lake limefungwa. TUPOKEE WALIO WAZIMA.Nguo ya kuomboleza msiba vaa wewe, sisi tutavaa nyeupe tu ya kuonesha nuru imekuja.
Karibu comrade Lissu nyumbani, kura yangu unayo.
Aliyekufa na faili lake limefungwa. TUPOKEE WALIO WAZIMA.Nguo ya kuomboleza msiba vaa wewe, sisi tutavaa nyeupe tu ya kuonesha nuru imekuja.
Karibu comrade Lissu nyumbani, kura yangu unayo.
Alikuwa wapi kwa kipindi chote hicho... Nani kamtuma kuja kugombea uraisi,,, kwa nn hajagombea ubunge.Amani iwe nanyi wadau wote!
Najua Tanzania tuko na msiba mzito wa mzee wetu Benjamin William Mkapa na pia siku ya Jumatatu tutakuwa na tukio kubwa na la kipekee la kumpokea shujaa yetu, mtu wetu na nuru iliyoletwa kwetu na Mungu. Si mwingine bali ni Tundu Antipas Lissu.
Hivyo basi katika siku Hii ni mapendekezo yangu kuwa watu wengi tujitokeze kwa wingi kumpokea huyu shujaa wetu pale uwanja wa ndege kuanzia Majira ya asubuhi kwa ajili ya kumpokea.
Pia kutokana na siku hii kuwa pia na huu msiba mzito napendekeza watanzania wote siku hiyo tuvae nguo nyeupe na nyeusi kwa sababu kuu mbili.
Nguo nyeupe zitaashiria alama ya Nuru kutokana na kuja kwa Tundu Lissu anayewakilisha Nuru kwa watanzania.
Nguo nyeusi zitaashiria kuomboleza kwetu kutokana na Kofi cha mzee wetu Benjamin William Mkapa.
Kama watanzania tukifanya hivi tutakuwa tumeheshimu msiba wa mzee wetu na mapokezi makubwa ya Nuru iliyotumwa kwetu na Mungu Tundu Antipas Lissu.
Tumpokee wa wingi shujaa wetu Tundu antipas Lissu huku tukimuomboleza mzee wetu Mkapa.
Maandamano ya kumpokea Lissu yatakuwa ya amani na hakutakuwa na fujo yeyote.
No Hate No Fear
Mapokezi ni ya amani kama tu ilivyokuwa kwenye mapokezi ya Hussein Mwinyi kule UNGUJA na Pemba bwashee. Hakuna haja ya kubeba maji na vitambaa . Tuaenda kufanya kama wana CCM walivyomfanyia Hussein Mwinyi kule Zanzibar
Queen EstherAcha kudandia treni kwa mbele! Wakristo wamezoea kuvaa nyeusi na nyeupe msibani hivyo usije ukajifanya baadaye kuwa nilisema.
Pili mlikuwa na Tahirts zenu jitahidini kuzifua mvae, pia hizo mlizochapisha zivaeni maisha yaendelee.
Mwisho kama kawaida wazee wa kuandamana mitandaoni tunawatakia kila lakheri. Vidole na macho vitaendelea kudumu kwenye keybords zenu.
Pumzika kwa Amani Mzee wetu Benjamin William Mkapa. Tunaheshimu msiba wako na atakaeleta fyoko imekula kwake.
Queen Esther
Kwa nini Magufuli hagombei ubunge???Alikuwa wapi kwa kipindi chote hicho... Nani kamtuma kuja kugombea uraisi,,, kwa nn hajagombea ubunge.
Sawasawa ila watanzania na wanachadema tunampokea kwa amani bila vurugu zozote.Sawa ila Mimi nitabeba kabisa Maji yangu ya Kuoshea Uso wangu, nitavaa Raba Nyepesi na kuhakikisha Vichochoro vyote Muhimu viko Kichwani.
Tayari ni raisi kakaKwa nini Magufuli hagombei ubunge???
USIMUHUSISHE MUNGU NA UHUNI WENU NA HUYO TUNDU LISU WENU MNAMCHOSHA SASA HUYO ANA NURU GANI BEBERU MKUBWA HUYO
Litakufa jituAisee,upumbavu upumbavu tu na hii minyumbu.
Kama raisi kwa nini anagombea tena uraisi??? Si angeendelea tuTayari ni raisi kaka
Sawasawa ila watanzania na wanachadema tunampokea kwa amani bila vurugu zozote.
Polee kaka. Anza kumlaumu Mungu kwanza kama unaweza maana yeye ndo alimponya na risasi zenu 38 mlimpiga ili kumuuaAisee,upumbavu upumbavu tu na hii minyumbu.
Hahaha Genta Kama Genta. Ndege anayokuja nayo inakuja na watalii 100Nimesikia mahala japo ni Tetesi kuwa kuna uwezekano mkubwa Anga la Tanzania Siku hiyo likafungwa kwakuwa tunapulizia Dawa ya COVID-19.
Hahaha Genta Kama Genta. Ndege anayokuja nayo inakuja na watalii 100
Mbona juzi mliwasomba watu kutoka unguja na Tanganyika,kwenda Pemba kumpokea mgombea wenu ili wapemba wamfahamu.USIMUHUSISHE MUNGU NA UHUNI WENU NA HUYO TUNDU LISU WENU MNAMCHOSHA SASA HUYO ANA NURU GANI BEBERU MKUBWA HUYO
Hahaaa..... Mkuu km ulikua hujui basi jua leo kua haya mashetani maccm hayashindwi.......Wafuasi wa Lisu na akili imejaa matope!
Inabidi ukaisaidie Polisi. Huenda unahusika kumnanihino malisasi!USIMUHUSISHE MUNGU NA UHUNI WENU NA HUYO TUNDU LISU WENU MNAMCHOSHA SASA HUYO ANA NURU GANI BEBERU MKUBWA HUYO
Wamefeli sn ng'ombe hawa....... Mshenzi Mwingine eti anamtumbua mkandarasi kwa kutokukusanya wananchi....... PATHETICMbona juzi mliwasomba watu kutoka unguja na Tanganyika,kwenda Pemba kumpokea mgombea wenu ili wapemba wamfahamu.
Haya ni maswali ya mtu asiye na akili kabisa....... KichaaAlikuwa wapi kwa kipindi chote hicho... Nani kamtuma kuja kugombea uraisi,,, kwa nn hajagombea ubunge.